CHADEMA tulieni huu sio wakati wa kuleta kokoro, Uongozi dhaifu wa Mwenyekiti kuishiwa mbinu na kuanza kutengeneza makundi tatizo lilianzia hapo

Naikumbuka tu sababu ya kipuuzi kabisa ya wapinzani kususia bunge eti sababu ya Corona wakati waliendelea kuchangamana huko mitaani
Kweli kabisa kichapo cha wananchi kutoka kwa JPM kilianzia hapa
 
nilivyoona wwanasusia bunge mim pia nikajua wale walibaki wataugua ila bwana mungu mkubwa hakuna aliyeugua.
kitwndo cha kutoka bungeni hakitasahaulika kwa watz .walitusaliti wanaachi wao tuliowachagua.na ndio mana mim nikampigia kura Jpm[emoji818]
 
Sappoti ya Marekani haiji wafuasi wa Trump wanataka kuanzisha vita uchaguzi ahuu 2020. Wana shida zao kibao
 
Hata kama wangeshinda uchaguzi bado wangekuwa na kazi nzito.

Intelligence kali ilikuwa wapi wakati Polisi walipoteka chama chote na kukisweka Lockup?
Mama mama haya ni hataree
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…