Subiri yaje yakuliweshe na mitusi. MaCHADEMA ya hovyooo wewe.!
Kila sekeseke la wanaCcm sisi ni mashibiki. Alivyofukuzwa uspika Ndugai tukageuka kuwa mashabiki.
Sasa tena sekeseke la uchaguzi wa Spika tumegeuka kuwa washabiki. Duh kweli huu ni uzoba wa kisiasa.
Ataamua ya wale walioko bungeni kutokana na ya yao.Samahani wewe kada wa ccm ambaye unajifanya kamanda, hivi unafikiri huyo spika anayetafutwa anaenda kusimamia bunge ambalo linaamua mambo ya wanaccm pekee?
Sasa mna kingine cha kufanya? Chama hakina mpango wowote kisiasa. Mmeshindwa kutoa uamuzi ambao ni water tight kuhusu hatma ya wabunge 19 waliopo bungeni bila chama.
Hao walioko bungeni wanaamua kwa ajili ya watanzania wote au kwa ajili ya wanaccm? Umesahau kuwa mwendazake aliyekuwa mwenyekiti wenu hakutaka bungeni kuwe na watu wasiotaka aongezewe muda wa udikteta, hivyo alifanya mbinu zote ili wasiwepo?Ataamua ya wale walioko bungeni kutokana na ya yao.
Nyinyi hamtaki muwakilushi lakini mnataka kumchagua Spika!
Je mtamchagua kupitia the Space ya Maria Sarungi?
Huyo kazoea huko kwa ccm kila atakalo sema mwenyekiti wao ni ndioooo, huwa hayawezi kuhoji hata nen mojaZuzu Ni wewe unayeongea Jambo usilolijua. Umehudhuria mahakamani leo?. Umeona Kuna wanachama wangapi mahakamani. Tangu kesi ya mbowe inaanza wanachama wanahudhuria kila siku. Ni wapi CHADEMA imemsahau mbowe. Uliona picha ya Juzi wanachama walimsindikza Mh Mbowe mpaka kwenye karandika na kumuimbia wimbo bado kidogo historia itaandikwa. Kuhusu katiba mpya Hilo Ni suala la wananchi wote Kama CHADEMA wamesahau wewe unaweza kuendeldelea nalo.
Haha! Ndo mnaona leo..?
Hii effect niliona toka zamani ccm inasiasa zinazokalisha wote muwe na attention nazo ndio maana wanasema pia upinzani utatoka humohumo ccm na si nje!!.
Angalieni wapi mnakosea maana na nyinyi kwa kuokota vya ccm hamjambo!,mbaya zaidi hata wale mliowasema vibaya mnawapokea mwisho wa siku wanarudi ccm kwa kupaita nyumbani..😂
Ndio nini ?haya kapokee buku 7 yako hapo kwa Shaka chaap.
Sio kila samaki ni wakuvua,samaki wengine ni sumu can harm you!.. usiishi kwa kusema mbona fulani anafanya hivi,inaweza kuwa ni sahihi kwake vipi kwako je,kitu hicho kina pumzi..??Mbona CCM wanaokota pia CHADEMA?. Na CCM inaongoza kwa kuokota CHADEMA. Tena wengine Baraza la mawaziri. CCM Ni chama kinachoongoza dola na serikali hivyo wanna resources za kufanya chochote tofauti na CHADEMA iliyopo outside ya dola, hivyo wakifanya ujinga impact yake Ni kubwa.
Chama cha Upinzani ni ACT sio MACHADEMA.
hongera sana umepewa offer ya kulala siku 2 nyumbani kwa Shaka.Ndio nini ?
Haha! Ndo mnaona leo..?
Hii effect niliona toka zamani ccm inasiasa zinazokalisha wote muwe na attention nazo ndio maana wanasema pia upinzani utatoka humohumo ccm na si nje!!.
Angalieni wapi mnakosea maana na nyinyi kwa kuokota vya ccm hamjambo!,mbaya zaidi hata wale mliowasema vibaya mnawapokea mwisho wa siku wanarudi ccm kwa kupaita nyumbani..😂
Unafikiri yupi anaepoteza zaidi..?..ccm nayo inaokota toka cdm.
..kwa mfano Lijualikali waliyemfunga kwa uonevu.
Sio kila samaki ni wakuvua,samaki wengine ni sumu can harm you!.. usiishi kwa kusema mbona fulani anafanya hivi,inaweza kuwa ni sahihi kwake vipi kwako je,kitu hicho kina pumzi..??
Siasa inahesabu zake I mean maisha ni hesabu.
Si ni KWA sababu wanatumia na kuishi KWA kodi zetu tatizo liko wapi??Kila sekeseke la wanaCcm sisi ni mashibiki. Alivyofukuzwa uspika Ndugai tukageuka kuwa mashabiki.
Sasa tena sekeseke la uchaguzi wa Spika tumegeuka kuwa washabiki. Duh kweli huu ni uzoba wa kisiasa.