Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Umehama lini kwa Membe?Acha ujinga wewe, utapiga picha uwanja mtupu?? Lissu kaingia bagamoyo saa 11, wakati huo mimi nishasepa
Mkutano ilibidi uwe saa 4 au saa 5 kama ilivyotangazwa, lakini kwa muda huo watu kulikuwa hakuna
Upuuzi mtupu....jana bagamoyo vipi maana wew kibinti unapropaganda za kitoto ambazo ni powerlessInauma eeh? Chomoa ukimbie
Hahaha.....hicho kidada ni kitukoUmehama lini kwa Membe?
Mnafki ana alama 3.
Uchaguzi 2020 - Membe ni msafi sana, Lissu ana makandokando. Upinzani twende na Membe 2020
Unaona sasa, hako kajamaa ni kachawi kako lumumba, muda mrefu nilikuwa nakacheki tu, cha kupuuza na hizi thread zake za kipuuzi.
Huyo hapo salumu mwalimu muheza, nimekuwekea videoKwa hiyo jana ulikuwa na Lissu bagamoyo, leo Uko na Salim Mwalimu Muheza???? Kawadanganye majuha wenzako wa Lumumba
Matusi hayasaidii, video na picha hizo hapoMbona unakuwa gasho sana au umetoka kuchzea ndizi za wanaume wenzako
Tuwekee za saa 10 jioniPicha imepigwa saa moja asubuhi mkutano saa kumi jioni akili za uvccm
Video hiyi hapo msikilize hapo salum mwalimuYaani wewe umechukuwa picha alfajiri na mapema halafu unaleta blah blah hapa?
Leta ya saa kumi jioni ili kuikata ngebe misulule ya lumumbaMisukule ya lumumba ni shida sana
Hii hapa kamandaWeka clip
Usihangaike nao, nimewapa video hii hapa. Wao kazi yao kubwata humu jf, sisi wengine tupo kila sehemuLeta ya saa kumi jioni ili kuikata ngebe misulule ya lumumba
Kuwa chadema haimaanishi nifumbie macho na wala nisikosoe. Kwanza wewe chadema wa mtandaoni tu, huku kwenye mikutano haupoUnaona sasa, hako kajamaa ni kachawi kako lumumba, muda mrefu nilikuwa nakacheki tu, cha kupuuza na hizi thread zake za kipuuzi.
Wewe mpenda Chadema uchwara ushapoteza credibility, unachagua video za kuweka nyingine unaficha, wacha uchawi kijana.Chungulia hii video, makamanda wa muheza wamenitumiaView attachment 1566609
Umehama lini kwa Membe?
Mnafki ana alama 3.
Uchaguzi 2020 - Membe ni msafi sana, Lissu ana makandokando. Upinzani twende na Membe 2020
Wewe ni mjinga aisee funga mdomo wako, umeshaumbuliwa juu kule, siku nyingine ujue hii jf sio ya watoto wenzio.Kuwa chadema haimaanishi nifumbie macho na wala nisikosoe. Kwanza wewe chadema wa mtandaoni tu, huku kwenye mikutano haupo
Nafichaje?? Angalia na sikiliza sera hizo za salum mwalimu, ametuahidi fao la kujitoa litarudiWewe mpenda Chadema uchwara ushapoteza credibility, unachagua video za kuweka nyingine unaficha, wacha uchawi kijana.
Wewe ni mjinga aisee funga mdomo wako, umeshaumbuliwa juu kule.
Nyomi wapi?Jana kwa bagamoyo huyu dada alifungua uzi ila baada ya nyomi akakimbia