Pre GE2025 CHADEMA: Tuna Wanachama milioni 17 Nchi nzima!

Pre GE2025 CHADEMA: Tuna Wanachama milioni 17 Nchi nzima!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwaka 2020 aliyekuwa Mshindi wa Uchaguzi Mkuu, alishinda Kwa kura 12.5Milioni wakati Mgombea wa Chadema alipata Kura 1.9 Milioni

Kama Chadema Wana Wanachama 17Milioni, basi Idara ya Uenezi haifanyia kazi yake ipasavyo, maana ingewahamasisha Wanachama wao hao millioni 17 kwenda kupiga Kura ina maana Rais wa Nchi saivi angekuwa ni TAL

Idara ya Uenezi ni kama Idara ya Masoko kwasisi tunao-deal na biashara

Kama Idara ya Masoko hafanyi kazi yake vizuri ina maana utapata mauzo hafifu.
Kufanay rejea kwa kutumia uchafuzi wa 2020 ni kujipoteza, pale hakukua na uchaguzi ila uhuni uliobuniwa na yule dhalim aliyeko kuzimu.
 
Kufanay rejea kwa kutumia uchafuzi wa 2020 ni kujipoteza, pale hakukua na uchaguzi ila uhuni uliobuniwa na yule dhalim aliyeko kuzimu.
Nakubaliana na wewe, ila naomba mchukue maoni yangu kwamba Idara ya Uenezi iwe capacitated kufanya majukumu yake vizuri

Idara ya Uenezi Kwa maoni yangu, imelala
 
Mwaka 2020 aliyekuwa Mshindi wa Uchaguzi Mkuu, alishinda Kwa kura 12.5Milioni wakati Mgombea wa Chadema alipata Kura 1.9 Milioni

Kama Chadema Wana Wanachama 17Milioni, basi Idara ya Uenezi haifanyia kazi yake ipasavyo, maana ingewahamasisha Wanachama wao hao millioni 17 kwenda kupiga Kura ina maana Rais wa Nchi saivi angekuwa ni TAL

Idara ya Uenezi ni kama Idara ya Masoko kwasisi tunao-deal na biashara

Kama Idara ya Masoko hafanyi kazi yake vizuri ina maana utapata mauzo hafifu.
Kwani ule ulikuwa uchaguzi au uchafuzi mliouita uchaguzi hapo lumumba?.
 
Serkali ya Awamu ya Sita Imewahi Kunakiliwa Ikisema kuwa Uchaguzi wa Mwaka 2020 Haukuwa wa Huru na Wa Haki..

Sentesi hiyo inatosha???

View attachment 3139064View attachment 3139065
Kama Chama kina Wanachama 17 Milioni, wakati huo CCM ikipata ushindi wa Kura milioni 12 plus ina maana hakukufanyika uhamasishaji wa kutosha Kuwavutia wapiga Kura kujitokeza Kwa wingi kwenda kupiga Kura.

Hilo kosa lisijirudie Mwaka 2025
 
Kwani ule ulikuwa uchaguzi au uchafuzi mliouita uchaguzi hapo lumumba?.
Jumla ya watu 15,91950 walipiga kura hizo wakati waliojiandikisha kupiga kura walikuwa 29,754,699 kwa mujibu wa Tume ya taifa ya Uchaguzi (NEC).

Vyama vyote vijikite kuhamasisha Wanachama wao kujitokeza kipindi cha kupiga Kura
 
Bwashee kuwa Mwanachama haikulazimishi kupiga Kura Kwa sababu Tanzania tunachagua MTU siyo Chama

Chadema watakuwa na Wanachama milioni 1 na Laki 7 😂
Jumla ya watu 15,91950 walipiga kura hizo wakati waliojiandikisha kupiga kura walikuwa 29,754,699 kwa mujibu wa Tume ya taifa ya Uchaguzi (NEC).

Kwa maoni yangu, hakukufanyika uhamasishaji wa kutosha wa watu kwenda kupiga Kura
 
Chama kikuu Cha Upinzani nchini Chadema limesema Katika leja yake kina Jumla ya Wanachama milioni 17

Source: East Africa Radio
Mambo ya vyama kuwa na wanachama mamilioni ni hasara kubwa sana kwa taifa...sema watz wana akili ndogo kuweza kuona madhara yake makubwa na makuu ....kulitakiwa kuwe na sheria inayo zuia wanasiasa kuwa wapiga kura wa chaguzi kuu za kitaifa hii ingefanya vyama kuwa na wanasiasa walio na uwezo tu kisiasa pia kungekuwa na reseni ya siasa ambayo ingelipiwa sh milioni moja kila mwaka au sh milioni 3 kila miaka mitano hii ingepunguza waganga njaa kwenye siasa...pia ingepunguza siasa za uchawa pia ingepunguza siasa kuwa kichaka cha wahalifu na raia feki ..ingepunguza ushabiki wa kisiasa ingepunguza michezo michafu mingi ndani ya siasa na kufanya wanasiasa kuheshimika
 
Jumla ya watu 15,91950 walipiga kura hizo wakati waliojiandikisha kupiga kura walikuwa 29,754,699 kwa mujibu wa Tume ya taifa ya Uchaguzi (NEC).

Kwa maoni yangu, hakukufanyika uhamasishaji wa kutosha wa watu kwenda kupiga Kura
Mosi, Chadema huwa haiwezi kusimamisha Wagombea majimbo yote kwa sababu ya uwezo mdogo wa Wanachama Wao kwenye Kujaza Fomu

Hivyo wanaopiga kura ni takribani 40% ya majimbo yote 😂
 
Kama Chama kina Wanachama 17 Milioni, wakati huo CCM ikipata ushindi wa Kura milioni 12 plus ina maana hakukufanyika uhamasishaji wa kutosha Kuwavutia wapiga Kura kujitokeza Kwa wingi kwenda kupiga Kura.

Hilo kosa lisijirudie Mwaka 2025
Nop Nimesema na Nitarudia Tena kuwa Serkali imewahi kunakilia kupitia viongozi mbalimbali wakisema Uchaguzi haukuwa Huru na wa Haki..
Unalaumu Vipi wao kutokupiga Kura??
 
Nop Nimesema na Nitarudia Tena kuwa Serkali imewahi kunakilia kupitia viongozi mbalimbali wakisema Uchaguzi haukuwa Huru na wa Haki..
Unalaumu Vipi wao kutokupiga Kura??
Pamoja na hoja yako, lakini mnapokuwa mmejitokeza wengi kupiga Kura, mathalani Wanachama wote hao 17milioni, hata kama wakiiba lakini hakutakosekana Kura zaidi ya milioni 8 hadi 10 hapo

Ndiyo maana nasisitiza, watu kujitokeza wengi wakati wa zoezi la kupiga kura
 
Pamoja na hoja yako, lakini mnapokuwa mmejitokeza wengi kupiga Kura, mathalani Wanachama wote hao 17milioni, hata kama wakiiba lakini hakutakosekana Kura zaidi ya milioni 8 hadi 10 hapo

Ndiyo maana nasisitiza, watu kujitokeza wengi wakati wa zoezi la kupiga kura
Unapoteza nguvu zako kumuelekeza mtu ambaye anaongozwa na mahaba ya chama chake
 
Unapoteza nguvu zako kumuelekeza mtu ambaye anaongozwa na mahaba ya chama chake
Binafsi hata kwenye maisha ya kawaida, huwa sipendi kujua nilipodondokea ila Kujua Kipi kimepelekea kudondoka.

Huku kwenye maisha ya biashara huwa tuna kitengo cha Data analysis

Yaani unajiuliza kwanini mapato yameshuka, yameshuka kipindi gani cha Mwaka.
Kipi nifanye niongeze mapato, kuongeza bidhaa/kuboresha bidhaa/Kupunguza bei ya bidhaa sokoni ili niuze zaidi n.k

Sasa ukishakuwa na mtazamo wa kutopenda kujifunza, ndiyo inapelekea downfall yako in anyway
 
Kila la heri Mkuu

Upinzani imara ndiyo check-and balance ya Nchi yeyote kupiga hatua.

Upinzani ukilala, ndiyo watu wanajibebea hela zote za Mikopo ya Nchi na kwenda kufanyia matamasha huko Kila kukicha
Uko sahihi kabisa Mkuu.
 
Back
Top Bottom