Pre GE2025 CHADEMA: Tuna Wanachama milioni 17 Nchi nzima!

Pre GE2025 CHADEMA: Tuna Wanachama milioni 17 Nchi nzima!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwaka 2020 aliyekuwa Mshindi wa Uchaguzi Mkuu, alishinda Kwa kura 12.5Milioni wakati Mgombea wa Chadema alipata Kura 1.9 Milioni

Kama Chadema Wana Wanachama 17Milioni, basi Idara ya Uenezi haifanyia kazi yake ipasavyo, maana ingewahamasisha Wanachama wao hao millioni 17 kwenda kupiga Kura ina maana Rais wa Nchi saivi angekuwa ni TAL

Idara ya Uenezi ni kama Idara ya Masoko kwasisi tunao-deal na biashara

Kama Idara ya Masoko hafanyi kazi yake vizuri ina maana utapata mauzo hafifu.
Wewe unamjua kiongozi wa hiyo idara ua uenezi ya CHADEMA? Hicho chama ni kama familia ya kambale. Kila mmoja ana ndevu
 
Wewe unamjua kiongozi wa hiyo idara ua uenezi ya CHADEMA? Hicho chama ni kama familia ya kambale. Kila mmoja ana ndevu
Sifahamu Mkuu, kama unamjua wape huu Ushauri kabla Maji hayajazidi unga kuelekea 2025
 
Wasipoangalia Chama kitadumaa

Wanashindwa nini kuajiri wataalamu Washauri kwaajili ya kuwapika Viongozi wao na Chama Kwa ujumla.

Chadema kinapokea Ruzuku zaidi ya milioni 100 Kwa Mwezi, wastani wa bilioni 1.2 Kwa Mwaka.

Unashindwa nini kuajiri Consultant firm Kwa kuwalipa maybe 50M kuwapika Viongozi wao Wakuu na wale wa Mikoa na Wilaya??
Ni lazima haya mengine tuyaseme sisi tuliopo nje ya chama hicho huku tukiwa na mategemeo juu ya chama kusaidia kuleta mabadiliko.
Kwa namna fulani hapo katikati CHADEMA ilivurugika kiuongozi, ndani kwa ndani. Kuna kundi lililo kuwa tayari kushirikiana na CCM, mithili ya yanayo fanyika hapo jirani yetu upande wa Kaskazini.

Bado naamini juhudi hizo bado zipo, hata kama kumekuwepo na mkanganyiko hivi karibuni.
 
Naona saivi wamekaa kimya Nchi nzima

Natamani kuiona Chadema ya enzi za miaka ya 2005 kuja 2015

Kulikuwa na Vijana machachali sana na wenye kujua kujenga hoja
Mwaka 2005 kulikuwa na amsha amsha ya Mbowe na helikopta yake ila bahati mbaya sana alikutana na muziki wa JK ikala kwake. CHADEMA ya enzi za operesheni Sangara ilitisha mno. Hata ile CHADEMA ya 2011 - 2015 ilibamba sana. Walipoamua kumuuzia chama Lowassa ndo wakaharibu kila kitu.
 
Naona saivi wamekaa kimya Nchi nzima

Natamani kuiona Chadema ya enzi za miaka ya 2005 kuja 2015

Kulikuwa na Vijana machachali sana na wenye kujua kujenga hoja
Wewe angalia hata humu JF pekee CHADEMA waliamua kujiondoa kabisa! Hiyo inakuonyesha jinsi walivyo vurugwa.
 
Tunajua hawa ni wanachama hai kwenye digital platform - sasa wakitoa ada ya buku buku tu kwa mwezi - chama hakitahitaji tena pesa za masimango toka kwa msajili.

Hongera CDM, msingi ama nguvu ya chama chochote cha siada ni wanachama.
 
Wewe angalia hata humu JF pekee CHADEMA waliamua kujiondoa kabisa! Hiyo inakuonyesha jinsi walivyo vurugwa.
Think tank wa Chadema wakae Chini waje na Mikakati ya kukinusuru Chama.

Kuna taarifa ninayo, japo sio rasmi zinasema Wenye Nchi wamepenyeza Rupia ili kukifanya Chadema kuwa hivi kilivyo
 
Mwaka 2005 kulikuwa na amsha amsha ya Mbowe na helikopta yake ila bahati mbaya sana alikutana na muziki wa JK ikala kwake. CHADEMA ya enzi za operesheni Sangara ilitisha mno. Hata ile CHADEMA ya 2011 - 2015 ilibamba sana. Walipoamua kumuuzia chama Lowassa ndo wakaharibu kila kitu.
Wanasema kumchinja Kobe inahitajika timings

Ngoja tuone come back yao kuelekea 2025
 
Mwaka 2020 aliyekuwa Mshindi wa Uchaguzi Mkuu, alishinda Kwa kura 12.5Milioni wakati Mgombea wa Chadema alipata Kura 1.9 Milioni

Kama Chadema Wana Wanachama 17Milioni, basi Idara ya Uenezi haifanyia kazi yake ipasavyo, maana ingewahamasisha Wanachama wao hao millioni 17 kwenda kupiga Kura ina maana Rais wa Nchi saivi angekuwa ni TAL

Idara ya Uenezi ni kama Idara ya Masoko kwasisi tunao-deal na biashara

Kama Idara ya Masoko hafanyi kazi yake vizuri ina maana utapata mauzo hafifu.

Hayo Matokeo ya kupika.

Kama yangekuwa ya kweli wamngeyapublish ..... Matokeo yalimshangaza JPM mpaka alkaamua kusepa na mpira.
 
Chama kikuu Cha Upinzani nchini Chadema limesema Katika leja yake kina Jumla ya Wanachama milioni 17

Source: East Africa Radio
Wana haki ya kutangaza hivyo maana hata serengeti kuna idadi kubwa sana ya Manyumbu lakini haijulikani wa Tanzania ni wangapi na wa Kenya ni wangapi.
Chama kikuu Cha Upinzani nchini Chadema limesema Katika leja yake kina Jumla ya Wanachama milioni 17

Source: East Africa Radio
 
Hayo Matokeo ya kupika.

Kama yangekuwa ya kweli wamngeyapublish ..... Matokeo yalimshangaza JPM mpaka alkaamua kusepa na mpira.
Kama Chadema ilishinda ule Uchaguzi pamoja na uwepo wa hizo figisu, Wana kazi ya kukiandaa Chama na Wanachama wao kwaajili ya Uchaguzi Mkuu Ujao hapo 2025

Pia CCM ina kazi ya kujiandaa pia..

Changamoto ninayo Iona ni kwamba CCM imeendelea na maandalizi wakati Chadema wao sijaona wakijiandaa
 
Back
Top Bottom