Kuandaa tamasha kubwa, sio Chini ya milioni 180 hadi 300Uko sahihi kabisa Mkuu.
Mbona Umetumia Nafsi ya Pili wingi Sheikh??Pamoja na hoja yako, lakini mnapokuwa mmejitokeza wengi kupiga Kura, mathalani Wanachama wote hao 17milioni, hata kama wakiiba lakini hakutakosekana Kura zaidi ya milioni 8 hadi 10 hapo
Ndiyo maana nasisitiza, watu kujitokeza wengi wakati wa zoezi la kupiga kura
Washasema mara nyingi kuwa kura zinazotangazwa hazina uhusiano wowote na kura zilizopigwa. Yaani, matokeo ya kura wanakuwa nayo tayari kabla ya siku ya kupiga kura!Pamoja na hayo Mkuu, hata kama wangeiba hizo kura, lakini wangejitokeza hao Wanachama milioni 17 hamna hamna hapo wangepata Kura kama milioni 10 hivi tukichukulia kura milioni 7 zimeibwa
Hoja yangu ni kwamba Idara ya Uenezi haifanyi kazi zake kiufanisi
Hii ni hatari sasa 🙌Washasema mara nyingi kuwa kura zinazotangazwa hazina uhusiano wowote na kura zilizopigwa. Yaani, matokeo ya kura wanakuwa nayo tayari kabla ya siku ya kupiga kura!
Pre GE2025 - Mbinu za wizi wa kura zinazotumiwa na CCM zabainika; ni hizi hapa
Ikiwa leo ni siku ya mwisho ya uandikishaji wa watu watakoshiriki uchaguzi wa serikali za mitaa, CHADEMA wanahamasisha wananchi wajitokeze kujiandikisha lakini CCM wanaendelea kuimarisha mbinu zao za wizi wa uchaguzi. Kama ulikuwa hujui mbinu za wizi wa uchaguzi zinazotumiwa na CCM, hasa kwenye...www.jamiiforums.com
Niwie radhi Mkuu, Uzee unakuja na mambo mengi 😅Mbona Umetumia Nafsi ya Pili wingi Sheikh??
Mimi si Mmoja wa Nafsi ya Pili wingi
Haijawahi kutokea hivyo chaguzi zilizopita. Kwanini huu na ujao iwezekaneWote
Hiyo milioni saba (7) pekee wakiwa ni wananchama kwelikweli, wakiamua chama chao kisiendelee kuonewa nchi nzima inatosha kabisa kuondoa upuuzi wote wanao fanyiwa na CCM.Chama kikuu Cha Upinzani nchini Chadema limesema Katika leja yake kina Jumla ya Wanachama milioni 17
Source: East Africa Radio
Wewe umeamini hizo takwimu? 🐼😂Hiyo milioni saba (7) pekee wakiwa ni wananchama kwelikweli, wakiamua chama chao kisiendelee kuonewa nchi nzima inatosha kabisa kuondoa upuuzi wote wanao fanyiwa na CCM.
Na bado kutakuwa na akiba ya milioni 10; na wengi wengine wasiokuwa wanachama wasio kubali uchafu wa CCM.
Tatizo la CHADEMA (viongozi) ni kutojuwa kuwapanga tu wana chama wao.
Chadema Digital ,simple kupata Data kuliko kwenye makaratasi.Chama kikuu Cha Upinzani nchini Chadema limesema Katika leja yake kina Jumla ya Wanachama milioni 17
Source: East Africa Radio
Siyo "idara ya uenezi" pekee. Huu ni udhaifu mkubwa wa uongozi wa chama.Inawezekana kweli wanao Wanachama 17 Milioni kama walivyosema kupitia Database waliyonayo
Ila hoja yangu ni kwamba hiyo Idara ya Uenezi imelala, haifanyi kazi yake ipasavyo
Wewe nieleze kwa nini nisiziamini.Wewe umeamini hizo takwimu? 🐼😂
Hapa siyo kweli labda kwenye milioni 5Chama kikuu Cha Upinzani nchini Chadema limesema Katika leja yake kina Jumla ya Wanachama milioni 17
Source: East Africa Radio
Sasa sijui sisi tunao wahimiza CHADEMA wafanye kazi kwa niaba yetu kutusaidia kuondoa uovu huu chini ya CCM, tuyaseme vipi, na mara ngapi haya tunayo washauri ili wapate kuyafanya!Kama Chama kina Wanachama 17 Milioni, wakati huo CCM ikipata ushindi wa Kura milioni 12 plus ina maana hakukufanyika uhamasishaji wa kutosha Kuwavutia wapiga Kura kujitokeza Kwa wingi kwenda kupiga Kura.
Hilo kosa lisijirudie Mwaka 2025
Kuna wakati linakuwa sikio la kufa...Sasa sijui sisi tunao wahimiza CHADEMA wafanye kazi kwa niaba yetu kutusaidia kuondoa uovu huu chini ya CCM, tuyaseme vipi, na mara ngapi haya tunayo washauri ili wapate kuyafanya!
Haya yote unayo yaandika humu mkuu 'Grahams'; wengine tulianza takribani miaka mitano iliyo pita kuwahimiza CHADEMA wajipange na kuwa tayari kwa hii 2025. Tumeshauri njia mbalimbali za kukifanya chama kuwa hai, tokea huko mitaani; kila ngazi hadi makao makuu ya chama..., ilikuwa ni kazi ya kuwaiga tu hao hao CCM kimuundo; lakini naona CHADEMA wao walitumia muda wao kivingine.
Sasa tupo hapa, pamoja na kwamba Magufuli hayupo kufanya yaliyo fanyika 2019/2020; lakini Samia yupo, ambaye yeye kaamua kutumia njia ya pesa, badala ya maguvu. Matokeo yatakuwa ni yale yale.
LejaHao ni wafuasi,,, watu wengi wanaoichukia CCM,,,wanashabikia Chadema lakini sio wanachama.
Wasipoangalia Chama kitadumaaSiyo "idara ya uenezi" pekee. Huu ni udhaifu mkubwa wa uongozi wa chama.
Raslimali muhimu ya chama chochote ni wana chama wake. Sasa kama chama hakiwezi kuitumia ipasavyo raslimali hiyo kutakuwepo tofauti gani kati ya wafugaji wa kimasai wenye mifugo mia na zaidi, wakati wanashindwa hata kuwapeleka watoto shule kwa kukosa ada!
Chama kina mtaji mkubwa, lakini hakijui namna ya kuutumia mtaji huo!
Hata hiyo 5 milioni; kwa namna nchi ilivyo sasa hao wanatosha kabisa kuwaondoa CCM madarakani.Hapa siyo kweli labda kwenye milioni 5