Uchaguzi 2020 CHADEMA: Tunamuunga mkono Maalim Seif kwa Urais Zanzibar. Lissu hataendelea na kampeni, atapangiwa majukumu mengine

Usihusianishe mambo ya dini na siasa, tabia ya kubaguana kidini ni tabia mbovu kabisa, siungani na wewe katika hiyo dhambi.
Lisu kapata alichostahili kukipata kufanya kampeni hadi saa1 usiku unadhani ni sahihi kwa mujibu wa sheria?
Asalaam alaykum
Hapa sijahusisha dini na siasa, nilikuwa naku challenge katika morals na principles zako hususan ukiwa Mwislam(basing on your name).
Simamia HAKI...hilo la saa moja lifuatilie vizuri ikiwepo sababu ya kucheleweshwa kwa msafara kulikosababishwa na mamlaka za dola.
 
Tuliwaambia Chadema usaliti ni laana, poleni kwa usaliti laana inawakabili
A[iyekuwa mwimbaji kwenye tungo yuko hoi, hata akiwa Njombe anahitaji kiyoyozi. Umebaki nayo pekeyako. Hata superliar Polepole kaiacha, hoinogi.
 
Chadema naona akili zinaanza kuwakaa sawa sasa !
hapo sasa tuko pamoja...

baba kasema hakuna namna
 
Mbowe ameongea kwa busara inaonekana amekomaa badala ya kuhamasisha fujo ameagiza mawakili wa chama wafungue kesi kwa hati ya dharula hizi ndio siasa tunazotaka hata kama demokrasia inaminywa tutajua nani ni tatizo sio kudanganya watu kuingia barabarani na kuganya fujo wakati umekimbizq familia yako nje
 
Chadema ilikataliwa kutumia helikopita lakini imekuwa nafuu ya helikopita sasa wamezuia asifanye mikutano bado itakuwa nafuu ya kumwacha afanye mikutano.
Kila mbinu chafu kwa Lissu ni kete ya kusonga mbele.


Ni yeye Lissu 2020- 2025.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Jifanye mjinga siku ipite," "funika kombe mwanaharamu apite"ni uamuzi wa hekima na mwiba mkali kwa ccm.
siku hizi ukifunika kombe mwanaharamu analifunua hapiti hv hv ndugu
 
Lakini tundu anamuheshimu Lowasa na kuthamini mchango wake ndani ya chadema na hawezi kumtusi na kumdharau hata siku moja, ...
Tundu Lissu yuleyule uliedai hatainuka, hatarudi ndie unaejaribu kumlisha 'utunzi' wako.
 
Kwa yeyote mwenye akili ameelewa mantiki ya kikao hiki Ila Kuna wapuuzi waliozama kwenye ujinga wanaelewa nini Cha kufanya
 
...tunajua mpo mnachochea kuni ili likiharibika au akienguliwa mrudi na gia ya kulaumu kuwa tulishindwa kujizuia kumzuia lissu asifanye kampeni ...mitego mingine inahitaji umakini ..usiwadharau viongozi wetu kwa matakwa yako ya kipumbavu ..
Wabunge 50 na madiwani wasio na idadi wameenguliwa hakuna hatua zozote zilizochukuliwa. Anpigwa ban mgombea urais chama kinatii.

Sasa ccm itaondoa mawakala zaidi ya nusu na hmtafanya chochote. Na wabunge kibao hawatatangazwa na hakutakiwa na chochote.

Huyo Lisu ndo kabisaa. Yeye ndiye atapata less than 10% halafu mtatoka vichwa chini.

Mbowe ana-target ruzuku tu.
 
Kwa muktadha huu CDM wataendelea na kampeni kwa sura ya makamu mwenyekiti anafanya kazi za chama
Ndicho nilichokiona
Hawa CDM wana akili fulani hv
 
Maamuzi ya akili nyingi sana haya.. "majukumu mengine ya kijamii na kisiasa" mf. Kuhuisha chadema ni msingi jimbo la kibamba... Kwa kutumia mifano kuntu tofautisha kuhuisha chadema ni msingi na kampeni!
 
Hapana hiki ni chama makini sana na kinajua kwa hakika kifanye nini kwenye nini na wakati gani...

Naungana nawe Mkuu Mshana Jr kuwa hicho ni chama makini. Bila woga au kumung'unya maneno, leo M/Kiti hadharani:
√ kafutilia mbali uwezekano mdogo uliikuwepo wa kushirikiana na ACT Wazalendo kwa kumtosa rasmi mgombea wao wa Urais wa JMT na hapo hapo kujiondoa kwenye uchaguzi wa Serikali ya Mapinduzii Zanzibar, bila kujali athari za kufanya hivyo kwa wagombea wengine wa CHADEMA na wa ACT wazalendo;
√ kuita vyama vya siasa vingine vinavyoshiriki ni vyama mamluki vya CCM;
√ pamoja na mgombea wao kuzuiwa kufanya kampeni kwa siku 7, nyuma ya pazia, kubariki aendelee na kampeni;
√ kuagiza wanachama kuingia barabarani wasipotangazwa washindi.

Pamoja na umakini huo niwakumbushe yafuatayo:
√ Mbowe huyo huyo alitangaza kususia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kushinikiza urudiwe la hawatashiriki Uchaguzi Mkuu;
√ Mbowe aliagiza wabunge wake kususia Bunge la Bajeti kwa sababu ya korona akishinikiza bunge lisiendelee.

Yajayo yanafurahisha na kila la kheri tukisubiri mrejesho wa maumuzi hayo 29/10/2020
 
Hapana hiki ni chama makini sana na kinajua kwa hakika kifanye nini kwenye nini na wakati gani...
Lissu angekaidi maamuzi ya tume ya maadili iliyopo kwa mujibu wa sheria, angekuwa amefanya kosa la kihaini. Angefunguliwa kesi ya uhaini ambayo haina dhamana. Kwahiyo, nakubaliana na wewe kuwa Mbowe amekuwa makini kulinda ruzuku, maana Lissu angeswekwa remanded Chadema ingekosa ruzuku.
 
Lisu amemtega Mbowe. Ni ama aheshikike ama adhauraulike. Maamuzi ya mgombea tunayajua, maamuzi ya kamati yakiwa kinyume na yale ya mgombea Mbowe utapwaya sana
Mbowe ndio gateway ya mafanikio ndani ya Chadema. Hakuna mtu anayeweza kufanya lolote ndani ya Chadema bila indini ya Mbowe. Kwahiyo Lissu lolote analoongea utekelezaji wake unategemea na kuridhia kwa Mbowe. Katika mambo makubwa usimuamini Lissu kabisa, hana mamlaka ya kuamua lolote.
 
Majukumu ya kichama!kama kuwaona wagonjwa,kuwatembelea wafanya biashara wadogo wadogo,warsha na matamasha !!!hiyo ni kampeni tosha kabisa!!!Wamekwepa risasi za CCM!!!walitaka wapate sababu ya kutumia mabomu ya machozi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…