Nimekukumbusha tu, na narudia tena kama wewe ni mwislamu simamia HAKI, kwa nafasi yako.Umeihusianisha dini wala hupaswi kubisha
Lete ushahidi hapa hivyo vyombo vya dola vimesababisha vipi kuchelewa kwa msafara?
Nadhani anasubiri maccm mtoe ushahidi wa yeye kutumwa na wazunguTuambie mgombea wenu kwanini kila siku anaongea uongo na hamumkemei? Atoe ushahidi Wakurugenzi kuitwa Ikulu! Mbona hiyo hoja haijibiwi?
Kama atakiuka Tratibu na Sheria elekezi atazuiliwa tu. Yeye ni nani ajitunishe mbele ya Sheria? Haki ni lazima kwa wote.Nimekukumbusha tu, na narudia tena kama wewe ni mwislamu simamia HAKI, kwa nafasi yako.
Kama CDM wakifanyiwa tofauti kiri kuwa ni jambo baya. Wakati huo endelea na CCM yako katika mambo yanayokubalika yani ya HAKI.
Ukinijibu hilo gusia na la Lissu kuzuiwa Kiluvya,na what if akaamua kwenda stand ya Mbagala kusubiri apande daladala kwenda Tegeta mtamzuia?
Na kina Mkwame Nkurumah, Nelson Mandela, Nyerere na wengine wengi wangesema kutafuta uhuru ukipigwa Risasi ukafa je, si bora nikae kimy niendelee na shughuri zangu, Africa isinge kuwa hapa, jiongeze wewe kiumbe dhaifu acha mawazo uchwara.Mpaka campaign Zinaisha washabiki wa Lisu wote watakuwa wagonjwa
huu upuuzi umeandika kwa udhamini wa watu lumumba ,haya jipigie makofi kwa mashudu yakoWewe siyo mtu wa kutusi na kukejeli mchango wa Lowasa chadema, kwa maana hata hao unaowasujudia akina tundu wanamuheshimu na kukubali mchango wa E.Lowasa chadema, na hata tundu lisu mwenyewe bado anatembelea nyota ya team Lowasa chadema, kuhusu swali lako jibu utalipata baada ya Oktoba 28 utaona ni Wabunge wangapi na Madiwani chadema itashinda, ni Majijii na Halmshauri ngapi chadema itashinda kutoa Mameya ndiyo labda utaelewa, ...
taratibu zipi amezikiuka siyo unakata mauno hapa na Shanghai kiunoniKama atakiuka Tratibu na Sheria elekezi atazuiliwa tu. Yeye ni nani ajitunishe mbele ya Sheria? Haki ni lazima kwa wote.
Hakutoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu mkusanyiko. ilitakiwa taarifa iwasilishwe mapema.taratibu zipi amezikiuka siyo unakata mauno hapa na Shanghai kiunoni
Tulia hivyo hivyo dawa ikuingie taratibuUseless