Mwalimu Nyumba
Member
- Jun 3, 2021
- 14
- 10
Ikikuuma, imekuingia!SAWA MSEMAJI WA CHADEMA JF
Tunajua mbeya hakuna wachaga, si ndiyo maana wakakodi gari za kutosha na kuwapakia hadi huko mbeya ili walete drama?Kwa akili yako ndogo, unafikiria Mbeya imejaa wachagga? Au vijana waliokuwa wanakikusanyika ni wachagaa? Kwa taarifa yako, wachagga wamepiga hatua kubwa kimaendeleao. Na wamefanya mambo makubwa nchi hii. Wakiongoza nchi, tutapiga hatua kuliko hii misukule ya CCM ambayo imejaa chuki, mijizi, milimbukeni, na zaidi kabisa ina uchu kama mifisi, ambayo mpaka leo hatujui inaipeleka wapi nchi yetu.
Hii longolongo kaongee anti mwenzio lokole, usituhstibie Jukwaa adhimu hii.Nimeongea na viongozi wawili wa juu wa CHADEMA waliokamatwa nikawauliza kwanini wanafanya fujo ingali Rais Samia Suluhu,
amerejesha Demokrasia tele?
Wakanijibu: - - Migogoro na Rais na kukamatwa na Polisi ndio uhai wa CHADEMA. Uungwana wa Rais unaiua CHADEMA.
WAMESHUKURU KUKAMATWA
Kazi ya Mbeya imetusaidia kujua viongozi wa CHADEMA wote ni waoga, na wanaoishi kwa kumeza dawaIkikuuma, imekuingia!
Sema Imekusaidia wewe sio wengine!Kazi ya Mbeya imetusaidia kujua viongozi wa CHADEMA wote ni waoga, na wanaoishi kwa kumeza dawa
Bora ungesema walikuwa wakitimiza Ilani za Chama cha Mazezeta.Walitenda kama Taasisi katika kutimiza majukumu yao ya kisheria
Kunywa ulanzi wewe huko waning'ombe acha kelele bwasheeWalitenda kama Taasisi katika kutimiza majukumu yao ya kisheria
Ruzuku za vyama vya siasa zinaletwa na Wabunge wa viti maalum? sikujua kama we jamaa ni bwege namna hiyo!Mbowe ni double agent tuh,hakuna asie jua,kawakataa COVID 19 huku mlango wa nyuma anakula Ruzuku anatufanya sisi mafala,kumbe SI tunajua fala ni yeye na hao jamaa zake wanaomshingilia.
Zama zake zishaisha Tapeli huyo.
Kutimiza majukumu yao au kutafuta sifa za kipumbavuš¤£Walitenda kama Taasisi katika kutimiza majukumu yao ya kisheria
Bwege huyoKama angeua mtu ni kwamba taasisi ndo ilikua imemtuma aue? Kwamba wewe unaijua sheria kuwazidi hao walioshauriana kumpeleka mahakamani?
Mama yako yumoMbowe na saccos yake
Sidhani kama ni suluhisho sahihi kwa tatizo walilonalo.Hii ndio Taarifa Mpya iliyojiri kwenye Mkutano wa viongozi wa Chadema na Waandishi wa habari.
Hawa wawili wataburuzwa Mahakamani wao binafsi kwa makosa ya kijinga na ya kujitakia ili iwe fundisho kwa Maofisa wengine wa serikali waliojisahau na kulewa madaraka.
Labda kwa kuwakumbusha Wanajf Wageni na wale wasahaulifu ni kwamba jambo hili siyo geni Nchini Tanzania, Omary Mahita aliyekuwa IGP (yaani mkubwa kuliko Awadh Haji), Aliburuzwa Mahakamani kwa makosa ya aibu ya kumkongomeka mimba House girl wake mwenyewe na kukataa matunzo ya mtoto, Haikujulikana kama Alimbaka au walikubaliana. Bila shaka hakuna aliyesaha kisa hiki cha aibu.
Binafsi naipongeza Chadema kwa hatua hii ambayo italeta heshima kwa chama chao na kwa Nchi yetu
Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana, na tunatarajia Awadh na Sisty watafukuzwa mara moja .
Hawa wanaringia madalaka mara nyingi wakistaafu wanapata misongo ya mawazo na kufa vibaya sana.Tuache unyanyasaji jamanii.Hii ndio Taarifa Mpya iliyojiri kwenye Mkutano wa viongozi wa Chadema na Waandishi wa habari.
Hawa wawili wataburuzwa Mahakamani wao binafsi kwa makosa ya kijinga na ya kujitakia ili iwe fundisho kwa Maofisa wengine wa serikali waliojisahau na kulewa madaraka.
Labda kwa kuwakumbusha Wanajf Wageni na wale wasahaulifu ni kwamba jambo hili siyo geni Nchini Tanzania, Omary Mahita aliyekuwa IGP (yaani mkubwa kuliko Awadh Haji), Aliburuzwa Mahakamani kwa makosa ya aibu ya kumkongomeka mimba House girl wake mwenyewe na kukataa matunzo ya mtoto, Haikujulikana kama Alimbaka au walikubaliana. Bila shaka hakuna aliyesaha kisa hiki cha aibu.
Binafsi naipongeza Chadema kwa hatua hii ambayo italeta heshima kwa chama chao na kwa Nchi yetu
Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana, na tunatarajia Awadh na Sisty watafukuzwa mara moja .
Majukumu ya polisi sio kumnyima mtuhumiwa dawa zake na kuzimwaga chini wala sio kuamuru watuhumiwa wakanyagwe mgongoni.Walitenda kama Taasisi katika kutimiza majukumu yao ya kisheria