uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Hapana watavaa nguo nyeupe sabasaba na viatu vyeupeNaomba makamanda tukashitaki kwa pompeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana watavaa nguo nyeupe sabasaba na viatu vyeupeNaomba makamanda tukashitaki kwa pompeo
Endeleeni kukariri!"Serikali inayoogopa watu, serikali inayoishi kwa uongo haiwezi kushinda kura. Na mimi niwaambie na hiyo meseji iwafikie. Uchaguzi huu tunaenda hakuna wa kujitoa. Tunaenda tunajua hakuna Tume Huru ya Uchaguzi. Tunajua wanatunga sheria zozote wanazotunga," Mhe. Kigaila, NKMB
Tumeamua tuwaache watunge sheria yoyote. Kusiwe na Katiba au Tume Huru, uchaguzi tunakwenda kushindia kituoni. Wanataka hawataki, watatutangaza. Nani anawadanganya kwamba hamtatangazwa? Toka lini CCM na serikali yake walipanga kuwatangaza wapinzani?," Mhe. Kigaila Benson, NKMB.
Haijawahi kuwa nao, hawana, hawatakuwa nao. Tutawashida hivyohivyo. Ng'ombe huyu mara hii anachinjwa alivyolala. Akilala kifudifudi tunachinja kuanzia mgongoni, akilala kiubavu tunachinja kiubavu. Huyu tunachinja alivyolala. Tutawashinda wanapenda hawapendi," Mhe. Kigaila, NKMB
For your iformation CCM vijijini hamna chenu kabisa, kama huamini zama huko au muulize ndgyo akwambie!!Hahaha, tatizo CHADEMA imebaki mitandaoni tu huku field hawapo kabisa.
Mawazo yako ni mazuri sana. You have a point to ponder! Kama Kigaila alivyosema jana Serengeti kuwa wataingi katika uchaguzi bila tume huru, Katiba etc kwa vile tangu 1995 hawajawahi kuingia kwenye uchaguzi na ridhaa ya watawala. Akataja very nicely and inspiring mafanikio waliyoyapata katika chaguzi hizo! Lakini kumbuka mazingira yakisiasa ya nyuma NI TOFAUTI KABISA NA SASA! Dictatorship huko nyuma ilikuwa 10% or less!tindo , Salary Slip , Retired , Erythrocyte kama mna kumbukumbu nzuri huu ndiyo ulikuwa ushauri na msimamo wangu kamwe CHADEMA wasisusie uchaguzi na kuwapa washindani wao ushindi kwenye sahani ya fedha (not to give or serve CCM everything on a silver platter).
Kususia uchaguzi Tanzania ni sawa na kujimaliza kisiasa, matokeo tumesha yaona kule Zanzibar na huku Tanganyika kwenye chaguzi za kujaza nafasi kwenye majimbo na udiwani na kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa...
HahaaaaaNaomba makamanda tukashitaki kwa pompeo
Mwananchi gani wa kijijini ana shida na hayo masukari?For your iformation CCM vijijini hamna chenu kabisa, kama huamini zama huko au muulize ndgyo akwambie!!
Sukari kijijini Tshs 3200/= kg moja.
Mbaazi ilikuwa Tshs 250,000/= hadi Tshs 300,000/=.
Kwa sasa ni Tshs 50,000/=.
Ni kichaa gani achague watu wa kuwauwa kiuchumi na kihalisia??
Polisi na Watendaji wawasaidie kuiba mabox, vinginevyo mmekwisha!!
Mbowe hawezi kuruhusu kususia uchaguzi, maana anajua hatakuwa na mbunge hata mmoja wa kumpa ruzuku na hivyo atakufa njaa!Mawazo yako ni mazuri sana. You have a point to ponder! Kama Kigaila alivyosema jana Serengeti kuwa wataingi katika uchaguzi bila tume huru, Katiba etc kwa vile tangu 1995 hawajawahi kuingia kwenye uchaguzi na ridhaa ya watawala. Akataja very nicely and inspiring mafanikio waliyoyapata katika chaguzi hizo! Lakini kumbuka mazingira yakisiasa ya nyuma NI TOFAUTI KABISA NA SASA! Dictatorship huko nyuma ilikuwa 10% or less! Leo dictatorship is almost 100%. Kuna uwezekano ikatoka amri kuwa DED wote wawatangaze wagombea wa CCM come whay may! Unafanyaje? Umepata 99% of votes anatangazwa wa NCCR/CCM! Unafanyaje? This is my concern! Unasemaje tindo Salary Slip Erythrocyte
Hatuna namna kwa hili, lazima watatungaza tu..wakileta za kuleta nikudeal na mtu Kama mtu (DED ) na ikibidi hadi ndg zao kokote waliko
Duh hawa watu niwakuonea huruma tuu. Unanikumbusha Kuna mmoja alikimbilia kule WB kuzua pesa za kusaidia elimu kisa kuna jamaa yake kazi yake kuwajaza mimba watoto wa shule, ili kuwaokoa anataka serikali ikubaliane na upuuzi wake wa kufanya shule za tanzania ziwe na cliniki na muda wa kupata break ya kunyonyesha watoto, hii ingekuwa kama drive force ya watoto kuchukulia poa ngono zembe na uvunjifu wa maadili ya utanzania kwa watoto chini ya miaka 18. Hapo hata mimi ninawakubalia makamanda waende kwa pombeo wakashitakiNaomba Makamanda tukashitaki kwa pompeo
Hizi ndizo kauli za kutoa kwa sasa. Masuala ya kubembelezana wakati watu hawataki ustaarabu hapana. Na kwa hii kauli naona CHADEMA imejipanga vilivyo kupambana na mazingira waliyopo. Kwa staili hii uchaguzi huu wa oktoba 2020 utakuwa mgumu sanaSerikali inayoogopa watu, Serikali inayoishi kwa uongo haiwezi kushinda kura. Na mimi niwaambie na hiyo meseji iwafikie. Uchaguzi huu tunaenda hakuna wa kujitoa. Tunaenda tunajua hakuna Tume Huru ya Uchaguzi. Tunajua wanatunga sheria zozote wanazotunga," Mhe. Kigaila, NKMB
Tumeamua tuwaache watunge sheria yoyote. Kusiwe na Katiba au Tume Huru, uchaguzi tunakwenda kushindia kituoni. Wanataka hawataki, watatutangaza. Nani anawadanganya kwamba hamtatangazwa? Toka lini CCM na serikali yake walipanga kuwatangaza wapinzani?," Mhe. Kigaila Benson, NKMB.
We jamaa kwani wananchi wa kijijini wasipende sukari wamekua mazuzu mbona humewadhalilisha ndugu zetu wa kijijin?not fairMwananchi gani wa kijijini ana shida na hayo masukari?
Hayo makitu mnayapapatikia nyie wa mjini kule kijijini wanajilia vyakula natural siyo hayo matakataka mnayobugia huko mjini na kuishia kulazwa muhimbili.