denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Nadhani hiyo base ilitakiwa iwepo mpaka sasa, kura milioni moja itawezekana but someone can prove vipi him/herself kwamba tayari huo mtaji wa milioni moja upo kibindoni?!Tutengeneze base ya kura,let's say million moja,tukatumia hiyo base kushawishi wapiga kura kumi kwa wapiga kura milioni.Hapo utaona namna ilivyo rahisi kuwapiga mapema.Wale wapiga kura million moja Mara kumi,wakihakikisha wanahamasisha wapiga kura hats wawili kila moja,halafu tukalinda hizi kura,sioni jinsi watapona.
CDM+ACT Wazalendo wanayo hiyo base,andaeni mikakamikakati ya pamoja.Watanzania Wanataka mabadiliko,tutengeneze mikakati chanya maana ni wepesi kuliko.Wanajimwambafy ila wanafahamu nguvu ya Wananchi.
Issue hapa ni watu wajitokeze kwa wingi kwenda kupiga kura, hiki ndio kitu CCM hawakipendi wanajua vzr kabisa majority ya wananchi hawako upande wao ndio maana siku zote wanaegemea msaada wa polisi na tume.
Hivyo, hapa kwa mtazamo wangu, ni kuhamasishana wakati wa kwenda kupiga kura, watu wajitokeze kwa wingi, tayari mchezo utakuwa umekamilika.
Uchache wa wapiga kura ndio unaosababisha CCM wafurahie km ilivyotokea kwenye serikali za mitaa, but this time, provided vyama vikubwa vimeshasema vitashiriki uchaguzi, situation will be completely very different compared to serikali za mitaa.
Haya makelele ya hamtatangazwa washindi yapuuzwe, ni kama wanacheza "mind games" kukatisha tamaa wapiga kura wasijitokeze kwa wingi kwenda vituoni hiyo siku ikifika, kwasababu wanapenda watu wachache wajitokeze vituoni.