denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Kuhusu CCM kuwalisha wapiga kura wao yamini sifahamu, lakini tukitazama hali halisi field, kama hauna uungwaji mkono na walio wengi habari ya kulisha watu yamini inakuwa haina maana, ndio maana bado wanakimbilia msaada wa polisi na tume.CCM huwà wanawalisha wapiga kura yamini(nipo tayari kusahihishwa),nilikuwa nina maanisha kitu cha aina hiyo(Base) ya waadilifu wa mabadiliko...
Hapo kwa Chadema hali ni tofauti, kama unaouungwaji mkono wa kutosha, ni suala tu lakuwahamasisha hao watu wajitokeze kwa wingi kwenda kuliga kura na wajue wanamchagua nani, baada ya hapo ndio inafuata part ngumu kidogo ya kuzihesabu kura na kumtangaza mshindi.
Hapa napaita pagumu kwasababu mpinzani akizubaa kidogo hata kama ana kura za kutosha anapotezwa, hili lilimtokea mgombea wa ubunge Chadema, Musoma Mjini - Vicent Nyerere, hivyo hapa ndipo mahala pa kujipanga zaidi.
The rest tuko pamoja.