Mzee Wa Republican
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 1,666
- 847
Aisee . . . . hii nzito mkuuHatuna namna kwa hili, lazima watatungaza tu..wakileta za kuleta nikudeal na mtu Kama mtu (DED ) na ikibidi hadi ndg zao kokote waliko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee . . . . hii nzito mkuuHatuna namna kwa hili, lazima watatungaza tu..wakileta za kuleta nikudeal na mtu Kama mtu (DED ) na ikibidi hadi ndg zao kokote waliko
Kweli . . huyu jamaa ndio anatakiwa front. Ndio awe campaign manager na msemaji mkuu wa mgombea uraisKigaila awepo mstari wa mbeleSasa asijifanye Nkosi/Ntemi/Mtwa
Siku hizi mnatengeneza kila kitu kama wachina, mpaka hao "wazee".
Miaka yote ishirini na tamo mnashiriki uchaguzi, mlikuwa mnashinda na kupata madiwani na wabunge. Leo 2020 ndio mlete kisingizio tume sio huru?
Upo sahihi kabisa mkuu.Ubaya ni kuwa JF ukizungumza kitu negative utaonekana unatumiwa na CCM lakini kiuhalisia sivyo.
Kuna mambo yanayoendelea CHADEMA yaani mtu unaona kabisa huu ni uwendawazimu.
Wanaosema Mbowe aachie kiti wana sababu za msingi saana, chama kifight kwa ajili kuchukua dola na sio kutazama maslahi ya kifedha.