Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Hiyo NCCR yako iliyowekeza kwenye wasomi iko wapi leo? Unapoanzisha thread, jihoji kwanza; achana na hii tabia yako ya kukupuruka kila leo.Tumejaza kwenye chama wafuasi na wanachama wahuni wahuni ambao wanamatusi na hawana uwezo wa kujenga hoja.
Tuwekeze kama ilivyokuwa Nccr mageuzi. Tuwe na wasomi na watu wenye vision kubwa.
Maana wasomi ni watu wenye busara. Sio kama hawa wahuni na wapayukaji.
Kwa hiyo Nccr kupotea na sisi tutapotea? ShwainHiyo NCCR yako iliyowekeza kwenye wasomi iko wapi leo? Unapoanzisha thread, jihoji kwanza; achana na hii tabia yako ya kukupuruka kila leo.
Na wengi wao ni PhD holders, Masters Na degree ya kwanza. Mwenye elimu ndogo mule ni Nape akiwa na master's ya voda faster ya Mzumbe campus ya DSM...๐คฃ๐คฃCCM iwekeze kwny kupata mawaziri wataalamu,maana leo makamu wa rais amesema mawaziri hua wanalogana./kutumia uchawi.
Malema ana degree ngapi?Tumejaza kwenye chama wafuasi na wanachama wahuni wahuni ambao wanamatusi na hawana uwezo wa kujenga hoja.
Tuwekeze kama ilivyokuwa Nccr mageuzi. Tuwe na wasomi na watu wenye vision kubwa.
Maana wasomi ni watu wenye busara. Sio kama hawa wahuni na wapayukaji.
Ujue CDM inafikia hatua siwasomi!Tumejaza kwenye chama wafuasi na wanachama wahuni wahuni ambao wanamatusi na hawana uwezo wa kujenga hoja.
Tuwekeze kama ilivyokuwa Nccr mageuzi. Tuwe na wasomi na watu wenye vision kubwa.
Maana wasomi ni watu wenye busara. Sio kama hawa wahuni na wapayukaji.
Sept 13, 2020....๐คTumejaza kwenye chama wafuasi na wanachama wahuni wahuni ambao wanamatusi na hawana uwezo wa kujenga hoja.
Tuwekeze kama ilivyokuwa Nccr mageuzi. Tuwe na wasomi na watu wenye vision kubwa.
Maana wasomi ni watu wenye busara. Sio kama hawa wahuni na wapayukaji.
Basi we' msomi..Ujue CDM inafikia hatua siwasomi!
Mtatumia mbinu ipi kujua ni wasomi ama si wasomi??
iiiiiiih en'hee ......Tumejaza kwenye chama wafuasi na wanachama wahuni wahuni ambao wanamatusi na hawana uwezo wa kujenga hoja.
Tuwekeze kama ilivyokuwa Nccr mageuzi. Tuwe na wasomi na watu wenye vision kubwa.
Maana wasomi ni watu wenye busara. Sio kama hawa wahuni na wapayukaji
Unaweza kuwa na hoja lakini namna ya kuiwasilisha kumeharibu maudhui nzima,Tumejaza kwenye chama wafuasi na wanachama wahuni wahuni ambao wanamatusi na hawana uwezo wa kujenga hoja.
Tuwekeze kama ilivyokuwa Nccr mageuzi. Tuwe na wasomi na watu wenye vision kubwa.
Maana wasomi ni watu wenye busara. Sio kama hawa wahuni na wapayukaji.
Hoja yako imekaa vizuri.. ila kunakitu umekosea kuhusianinisha hapo.kwa sasa chadema inatakiwa kuachana kabisa na siasa za kiarakati, badala yake iwekeze kwenye watu wenye uelewa mpana wa nini, wanatakiwa kufanya ili kushika dola... kwa maana watafutwe vijana, wenye weledi wa kila nyanja hasa wale waliosoma political Science...Tumejaza kwenye chama wafuasi na wanachama wahuni wahuni ambao wanamatusi na hawana uwezo wa kujenga hoja.
Tuwekeze kama ilivyokuwa Nccr mageuzi. Tuwe na wasomi na watu wenye vision kubwa.
Maana wasomi ni watu wenye busara. Sio kama hawa wahuni na wapayukaji.
Chadema wanamuandaa mdude nyagali kuwa Waziri MkuuTumejaza kwenye chama wafuasi na wanachama wahuni wahuni ambao wanamatusi na hawana uwezo wa kujenga hoja.
Tuwekeze kama ilivyokuwa Nccr mageuzi. Tuwe na wasomi na watu wenye vision kubwa.
Maana wasomi ni watu wenye busara. Sio kama hawa wahuni na wapayukaji.
Rais wa Katiba chakavu kutoka chama chakavu!CCM tuwekeze katika kukataa ufisadi.Kuwa na Rais fisadi anaehamasisha ufisadi kwenye serikali yake tena kupitia TV ya Taifa ni cancer itakayolitafuna Taifa hili kwa miaka mingi sana.
View attachment 2081786
Imagine Rais wa nchi anaagiza viongozi wake waitafune nchi kwa staha kwani wamekuwa wakiitafuna kwa ulafi hadi wanavimbiwa๐๐๐Rais wa Katiba chakavu kutoka chama chakavu!
Na wananchi wanachukulia poa tu...Imagine Rais wa nchi anaagiza viongozi wake waitafune nchi kwa staha kwani wamekuwa wakiitafuna kwa ulafi hadi wanavimbiwa๐๐๐
๐๐๐Na wananchi wanachukulia poa tu...
Nasimama na Job J Ndugai popote pale alipo
Wanakopa madeni kwa ajili ya maendeleo...๐๐๐
View attachment 2082053