CHADEMA tuwekeze kupata wanachama na viongozi wasomi. Hii itabadili mustakabali wetu na kuwa na watu makini

Kupata wanachama wa chama cha siasa sio kama kufanya interview ya ajira...kuwa utawaita watu sehemu kisha uwafanyie usahili kubaini weledi wao katika nyanja husika...siasa ni imani...mtu huamini na kufuata imani fulani kwa utashi wake, hivyo ndivyo ilivyo kwenye siasa...chama kina nadi sera zake na wanachama huamua kujiunga na chama kwa utashi wao baada ya kuvutiwa na sera za chama hicho...so chadema hakiwezi kuwavuta kwa nguvu hao unaoshauri...watajiunga wenyewe kwa utashi wao....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…