Hoja yako imekaa vizuri.. ila kunakitu umekosea kuhusianinisha hapo.kwa sasa chadema inatakiwa kuachana kabisa na siasa za kiarakati, badala yake iwekeze kwenye watu wenye uelewa mpana wa nini, wanatakiwa kufanya ili kushika dola... kwa maana watafutwe vijana, wenye weledi wa kila nyanja hasa wale waliosoma political Science...
Nasiyo mtu kasoma education, then hawe mshauri kwenye ishu ku-formulates new philosophy ....