CHADEMA/UKAWA: Uwekezaji usiotabirika

CHADEMA/UKAWA: Uwekezaji usiotabirika

Mkuu nadhani kuna wakati tukubaliane kuwa tofauti ya mawazo inajenga. Pia tuangalie mambo kwa upana wake

Kama utamuuliza Alinda hilo swali la mlungula basi pia usiache kumjibu, kwamba, wale wanaosema EL ni fisadi wana evidence yoyote?

Mama Tibaijuka kachukua za mboga, tumeambiwa kimaadili hapaswi. Lakini je, ilikuwa ni jambo pristine?

Tumesikia ya Escrow, kamati zimeundwa. Je, unataka kusema hakuna aliyehusika kwavile tu hakuna ushahidi huo?

Yule mzee aliyegawa kutoka mabenki amefanya hivyo kwa kutumia mikataba. Lakini je, hakukuwa na mziangira ya 'rushwa'?

Point yangu ni kuwa tuangalie mambo kwa mtazamo mpana si kwa kutaka kusikia tunachotaka bali hata tusichokitaka

Hao wengine wametoka wapi wakati tunajadili issue ya Dr. Slaa na kuchukua mlungula?

Ndio maana nasema tunakosea kuligeuza jukwaa la great thinkers kuwa sehemu ya propaganda.

Mtu akisema kuhusu escrow muulize kuhusu escrow na ajibu escrow. Lakini mtu anaposema Dr. Slaa kachukua mlungula halafu anapoulizwa anajibu escrow ni ishara ya kutokulitendea haki hili jukwaa.

Nadhani wote tunajuana kwenye majukwaa ya kejeli kuwa tunaziweza, ila sifa mojawapo ya usomi ni kujua kuwa kila kitu na mahali pake. Kwa kutambua hilo ndio maana jukwaa hili likaanzishwa.
 
Mkuu nadhani kuna wakati tukubaliane kuwa tofauti ya mawazo inajenga. Pia tuangalie mambo kwa upana wake

Kama utamuuliza Alinda hilo swali la mlungula basi pia usiache kumjibu, kwamba, wale wanaosema EL ni fisadi wana evidence yoyote?

Mama Tibaijuka kachukua za mboga, tumeambiwa kimaadili hapaswi. Lakini je, ilikuwa ni jambo pristine?

Tumesikia ya Escrow, kamati zimeundwa. Je, unataka kusema hakuna aliyehusika kwavile tu hakuna ushahidi huo?

Yule mzee aliyegawa kutoka mabenki amefanya hivyo kwa kutumia mikataba. Lakini je, hakukuwa na mziangira ya 'rushwa'?

Point yangu ni kuwa tuangalie mambo kwa mtazamo mpana si kwa kutaka kusikia tunachotaka bali hata tusichokitaka


Unafahamu wakati mwingine siasa za Tanzani zinakufanya kutetea mtu mhovu wakati hupendi kufanya hivyo.

Sioni ni sababu gani tuimbiwe wimbo wa Richmond miaka 8 sasa wakati mahakama zipo, sheria zipo, reseach zao zipo sasa wanachoshindwa ni nini? au wanapiga kelele sisi watanzania tufanye nini hali tulishawapa mamlaka ya kutekeleza sheria na kuchua hatua kwa mtu yeyote yule ambaye amevunja sheria.

Ukiona hivyo ama ni uongo au na wao wana madhambi yao wanaogomba kuyafunua.

Nilikuwa ninamsiliza juzi Mh. Sitta kule Tabora anasema Lowassa ni fisadi amesababisha hasara katika taifa hili kwa kuleta kampuni fake, mpaka sasa tunalipa Dowans yeye mkataba hewa mamilin ya pesa...halafu watu wanapiga makofi???
Sasa kama mnaelewa kuwa ni mkataba fake hayo mamilin unayolipa kwa siku ni ya nini?
 
Hao wengine wametoka wapi wakati tunajadili issue ya Dr. Slaa na kuchukua mlungula?

Ndio maana nasema tunakosea kuligeuza jukwaa la great thinkers kuwa sehemu ya propaganda.

Mtu akisema kuhusu escrow muulize kuhusu escrow na ajibu escrow. Lakini mtu anaposema Dr. Slaa kachukua mlungula halafu anapoulizwa anajibu escrow ni ishara ya kutokulitendea haki hili jukwaa.

Nadhani wote tunajuana kwenye majukwaa ya kejeli kuwa tunaziweza, ila sifa mojawapo ya usomi ni kujua kuwa kila kitu na mahali pake. Kwa kutambua hilo ndio maana jukwaa hili likaanzishwa.



Hivi ulitaka kuanzia pg ya 1 mpaka ya 26 tunajadili Dr. Slaa na mlungula? Yaani unataka tustick kwa Dr. Slaa na Mlungula bila kupanua mjadala kwa jinsi mtu anavyoona inafaa? hili ni jukwaa huru kuna watu wenye maona tofauti na kila mtu anandika kwa jinsi anavyoona inafaa..

Mfn wakati sisi wengine mahusiano ya katii ya Gwajina na Lowassa au na Dr. Slaa haikuwa "issue" kwako wewe ulipenda kufahamu undani wa utatu huu.. Hii inaonyesha tulivyo watu totauti na unachokiona kwako wewe hakifai si lazima na kwa mwingine kiwe hivyo hivyo..
 
Hivi ulitaka kuanzia pg ya 1 mpaka ya 26 tunajadili Dr. Slaa na mlungula? Yaani unataka tustick kwa Dr. Slaa na Mlungula bila kupanua mjadala kwa jinsi mtu anavyoona inafaa? hili ni jukwaa huru kuna watu wenye maona tofauti na kila mtu anandika kwa jinsi anavyoona inafaa..

Mfn wakati sisi wengine mahusiano ya katii ya Gwajina na Lowassa au na Dr. Slaa haikuwa "issue" kwako wewe ulipenda kufahamu undani wa utatu huu.. Hii inaonyesha tulivyo watu totauti na unachokiona kwako wewe hakifai si lazima na kwa mwingine kiwe hivyo hivyo..

kuoanisha tukio hili na lile? Mjadala wa namna hii ulishauona wapi?

Katika jukwaa hili la great thinkers nimesoma for the first time kuwa Dr. Slaa kachukua mlungula. Hiyo ni taarifa muhimu ambayo anayeitoa anawajibika kuwa tayari kuitolea ufafanuzi.

Tafadhali litendee haki jukwaa hili kwa kutoa ufafanuzi. Je, Slaa amechukua mlungula toka kwa nani?
 
Katika jukwaa hili la great thinkers nimesoma for the first time kuwa Dr. Slaa kachukua mlungula. Hiyo ni taarifa muhimu ambayo anayeitoa anawajibika kuwa tayari kuitolea ufafanuzi.

Tafadhali litendee haki jukwaa hili kwa kutoa ufafanuzi. Je, Slaa amechukua mlungula toka kwa nani?


Hivi Dr. Slaa pesa za kuitisha press alizitoa wapi hali alituambia kuwa anashindia mihogo? Sasa kama waliweza kumlipia Press kwa vyombo vyote walishindwa kumpa hela ya kula walau mkate?

Na nasikitika kukwambia kuwa ufafanuzi zaidi ya hiyo sentensi hapo juu sitatoa..Pole kwa hilo..
 
ZeMarcopolo kuna jambo hapa nadhani ni la kitaifa, hebu tulitendee haki taifa kwa muda

Sitta ananukuliwa na Alinda akiwa Tabora na kusema 'EL ni fisadi kaleta kampuni feki na hadi sasa tunalipia gharama kubwa za umeme''

Kwakweli alichosema ni jambo zito kwasababu kama taifa linaumia kwa ajili ya mtu ,ni jambo la kuangaliwa sana

Turudi upande wa Pili. Kumbu kumbu zinaonyesha suala hilo liliibuka tena bungeni. Mwakyembe akamuomba Sitta kama Spika lifunguliwe na kujadiliwa tana. Kumbu kumbu zinaonyesha Spika Sitta kwa wakati huo akakataa lisijadiliwe

Kumbu kumbu zinaonyesha ziliundwa kamati za kwenda undani wa jambo hili. Hadi leo hatujui matokeo ya kamati hizo

Sasa naomba maoni yako kuhusu hili. Je, kauli ya Sitta inaonyesha ukweli wowote tukizingatia kuwa naye alikataa kulisaidia taifa kwa hoja kurudishwa na Mwakyembe? Nini mtazamo wako kwa ujumla wake
 
Last edited by a moderator:
Nimekuuliza hivi kama Dr. Slaa anakula mihogo hela ya kurushwa press yake alilipiwa na nini? Na je huyu aliyemlipia hakumpa hela (mlungula) wa kununua mkate?

Kwahiyo sasa umeligeuza kuwa swali. Sio mbaya, naamini umeona ulipokosea.

Swala la nani kalipia gharama sio mimi wa kulijibu ila nilisikia Slaa mwenyewe akisema kuwa kwa muda mrefu tu amekuwa na sponsors ambao wamekuwa wakifadhili shughuli zake za kisiasa huku akitoa mfano wa sponsors hao kugharimia safari zake za shughuli za kisiasa nje ya nchi.
 
ZeMarcopolo kuna jambo hapa nadhani ni la kitaifa, hebu tulitendee haki taifa kwa muda

Sitta ananukuliwa na Alinda akiwa Tabora na kusema 'EL ni fisadi kaleta kampuni feki na hadi sasa tunalipia gharama kubwa za umeme''

Kwakweli alichosema ni jambo zito kwasababu kama taifa linaumia kwa ajili ya mtu ,ni jambo la kuangaliwa sana

Turudi upande wa Pili. Kumbu kumbu zinaonyesha suala hilo liliibuka tena bungeni. Mwakyembe akamuomba Sitta kama Spika lifunguliwe na kujadiliwa tana. Kumbu kumbu zinaonyesha Spika Sitta kwa wakati huo akakataa lisijadiliwe

Kumbu kumbu zinaonyesha ziliundwa kamati za kwenda undani wa jambo hili. Hadi leo hatujui matokeo ya kamati hizo

Sasa naomba maoni yako kuhusu hili. Je, kauli ya Sitta inaonyesha ukweli wowote tukizingatia kuwa naye alikataa kulisaidia taifa kwa hoja kurudishwa na Mwakyembe? Nini mtazamo wako kwa ujumla wake

Mkuu, kipindi hiki cha kampeni kunakuwa na matukio na kauli nyingi. Bado sijapata fursa ya kusikiliza alichosema Sitta Tabora, kwa mantiki hiyo siko kwenye position ya kuweza kuitolea tamko kauli hiyo ya Sitta.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, kipindi hiki cha kampeni kunakuwa na matukio na kauli nyingi. Bado sijapata fursa ya kusikiliza alichosema Sitta Tabora, kwa mantiki hiyo siko kwenye position ya kuweza kuitolea tamko kauli hiyo ya Sitta.
Alinda unaweza kutusaidia clip ili mkuu atupe mtazamo wake?

Wakati tunasubiri kama tutapata eveidence ya chochote iwe gazeti, clip n.k. kuna hili lisilohitaji audio au visio

Kumbu kumbu za bunge zinaonyesha Sitta alizuia mjadala wa pili , Mwaktembe aliyoomba ili suala la Richmond lijadiliwe tena.
Hilo lipo wazi. Kwa maoni yako, hilo lilikuwa jambo jema?

Nini mtazamo wako
 
ZeMarcopolo kuna jambo hapa nadhani ni la kitaifa, hebu tulitendee haki taifa kwa muda

Sitta ananukuliwa na Alinda akiwa Tabora na kusema 'EL ni fisadi kaleta kampuni feki na hadi sasa tunalipia gharama kubwa za umeme''

Kwakweli alichosema ni jambo zito kwasababu kama taifa linaumia kwa ajili ya mtu ,ni jambo la kuangaliwa sana

Turudi upande wa Pili. Kumbu kumbu zinaonyesha suala hilo liliibuka tena bungeni. Mwakyembe akamuomba Sitta kama Spika lifunguliwe na kujadiliwa tana. Kumbu kumbu zinaonyesha Spika Sitta kwa wakati huo akakataa lisijadiliwe

Kumbu kumbu zinaonyesha ziliundwa kamati za kwenda undani wa jambo hili. Hadi leo hatujui matokeo ya kamati hizo

Sasa naomba maoni yako kuhusu hili. Je, kauli ya Sitta inaonyesha ukweli wowote tukizingatia kuwa naye alikataa kulisaidia taifa kwa hoja kurudishwa na Mwakyembe? Nini mtazamo wako kwa ujumla wake

Mkuu, kipindi hiki cha kampeni kunakuwa na matukio na kauli nyingi. Bado sijapata fursa ya kusikiliza alichosema Sitta Tabora, kwa mantiki hiyo siko kwenye position ya kuweza kuitolea tamko kauli hiyo ya Sitta.
Mkuu ZeMarcopolo nadhani tutendee taifa haki. Nukuu yangu ya hoja hapo juu sasa unaweza kuijadili

Alicholeta Alinda upo na umechangia ukitibitisha kuwa alichosema Sitta ni kweli #342 na nyingine

Hapa hatudhani unasababu nyingine. Hivyo tunaomba mjadala wa 'kitaifa''
Kumbuka mjadala wa kitaifa ni wa kila mmoja, na si wa kuchagua

Kwavile hoja ni Richmond, na tayari ulishaleta mjadala wa kitaifa, tuanzie hapo

Tafadhali tunaomba maoni yako kuhusu nukuu hapo juu

Kumbuka, ni wewe umesema jukwaa linakuwa la propaganda sasa kama hutakuwa na majibu, tuombe radhi kwa kuanzisha propaganda na kisha kulaani propaganda
 
Jamani maana na great thinkers ni nini? uliposema Lowassa ni mtoa rushwa ulimkamata akitoa rushwa? si unatumia akili zako kujua kile na kile kinatokea hiki au!!Hiyo Richmond nikikuuliza Lowassa alijigawai sh. huna jibu,

Ninachoandika ninaandika mawazo yangu na maono yangu, Sasa wewe ukiona kuwa haviendani na jukwaa hili ni sawa na ni haki yako.. Siwezi kuandika kilichomo kichwani mwako au unachotaka kusikia kwa sababu mimi siko kichwani mwako na sijui unataka kusikia nini..

Umeuliza Gwajima nimekujibu jinsi nilivyoelewa...

Mlungula wa Dr. Slaa nitakuuliza hili swali..

Hivi Dr. Slaa pesa za kuitisha press alizitoa wapi hali alituambia kuwa anashindia mihogo? Sasa kama waliweza kumlipia Press kwa vyombo vyote walishindwa kumpa hela ya kula walau mkate?


Alinda mama yangu,
Tatizo la ZeMarcopo anapenda kusikia kile anachotaka kusikia ndio ataona hapo wewe ni Great Thinker, toka hapo nyuma alikua anamlaumu Nguruvi3 na sisi wengine kwamba tunapendelea upande mmoja na tunafanya against GT, tukamkumbusha namna tunavyowachambua watu wote bila kuwaonea wakifanya madudu kuanzia Lowassa, Mbowe, Zitto, JK, na viongozi wengine wengi kama Thread ya juice ya maembe.

Just atambue tunachambua kwa haki na kila mtu kwa mtazamo wake so asilazimishe wote tufanane mawazo, tatizo kuna baadhi yetu tunapoona kama vile mission ya kusaidia upande wako imekua failed basi unaanza mambo ya maji taka kujiona wewe ni great thinkers zaidi ya wengine, mimi nadhani lazima ifike mahali mara nyingine tukubaline katika kutokukubaliana hata kama hujapendezwa na muelekeo huo.

Mm binafsi ni muumini sana wa Dr.Slaa na nilikua namuona kama mtu mwenye msismo thabiti kabis, lakini kile nilichokisika Serena kinaniuma hadi leo maana sijaamini, na kwa dhati ya moyo wangu naamini kabisa sio akili ya kawaida ya Dr nimfahamuye there is somthing behind destruct his mind, zaidi nawaza labda ni jazaba na hasira, namuheshimu sana kama nilivyosema kabla na nina heshimu maamuzi yake 100%, japo sikubaliani na aproach aliyoifanya.
 
King Suleiman , alidhani ni mahala pa propaganda. Hapana! hapa ni hoja tu. Kakimbia anasubiri uzi usonge mbele

Kuna mwenzetu mmoja alisimama katika uzi huu akisema 'Chadema walifunga ofisi, fomu zisichuliwe'
Tulimuomba ushahidi hakuwa nao hata wa bahati mbaya.Leo Slaa kasema alichukua fomu, tuna kauli za yeye kuteuliwa n.k.

Jitihada ni za kutaka kunyamazisha ukumbi ili watu wajadili kwa mwelekeo wao si ukweli na haki

Mkuu alitaka tujadili kuhusu Lowassa tuu kwa mwelekeo wake kwani huo ndio 'mjadala wa kitaifa'

Ahsante Alinda kwa kulinda heshima ya jukwaa!

Tuendelee na mnakasha wana ukumbi wote
 
My two cents;

Wachangiaji wote humu kwenye jukwaa, hakuna hata moja anayeongelea kiini cha matatizo yaliyotufikisha hapa tulipo nacho ni haki. Imefikia mahali wengi mnaona tendo la kukosa haki ama kunyimwa haki ni la kawaida tu kama sehemu ya maisha. Mnachosahau ni kwamba bila haki hakuna amani, haki hujenga ustaarabu na hivyo kuwezesha maisha kuendeshwa kiutaratibu kwa kufuata sheria.

Ukosefu wa haki hustawisha uonevu kwa mnyonge na kumjengea kiburi mwenye nguvu, kiburi ambacho bila kudhibitiwa hufungua milango ya uhalifu wa aina zote. Binadamu kwa hulka yake hakubali uonevu na ingawa anaweza akavumilia uonevu kwa muda, iko siku uvumilivu wake utafikia mwisho. Hakuna kiumbe hatari kama binadamu anapofikia hali hiyo ya kukata tamaa ya maisha.

Watu mnaongea kama vile uwanja wa ushindani kisiasa upo sawa, mnaongea kama vile uchaguzi ujao, kama zilizopita, utaendeshwa kwa uhuru na haki na mnaongea kama vile vyama vyote vitakayoshiriki vina haki sawa na chama tawala. Manongea kama vile hamuishi Tanzania, mnaishi nchi nyingine tofauti...nchi iliyostaarabika na inayoheshimu misingi ya utawala unaofuata sheria.

Siku Dr. Slaa alipoongea, aliondoa mashaka yote yaliyokuwa moyoni mwangu kuhusu kuteuliwa kwa Lowassa kugombea Uraisi na UKAWA kupitia chama cha Chadema. Mwanzoni, pamoja na kutaka CCM iondoke, nilipokea uteuzi huo shingo upande kidogo nikisubiri msimamo wa Dr. Slaa...naam, nilimsikiliza kwa makini sana na baada ya kumsikiliza sikuwa na wasi wasi tena, UKAWA walikuwa sahihi.

Kauli zinazoendelea kutolewa na viongozi na wafuasi wa CCM si kauli za kiungwana, ni kauli za walevi wa madaraka,kauli za waliojawa kiburi na kauli zisizo na chembe cha ustaarabu...naam ndiko walikotufikisha CCM na kama Lowassa atatusaidia kuondokana na kadhia na manyanyaso haya ya miaka 50 naunga mkono. Dr. Slaa nitaendelea kumheshimu lakini kwangu hapa kapotoka.

Sitaki kuingia ndani sana kwenye swala la Dr. Slaa kwani ni moja katika watu niliokuwa na imani kubwa nao lakini kwa kitendo chake ameonesha ama hakuwa tayari kwa mabadiliko au alijiaminisha bila yeye mabadiliko hayawezekani. Ninachoomba ni wananchi wapewe haki na wawe huru kumchagua watakaye. Serikali isitoe upendeleo kwa CCM bali itoe fursa sawa kwa vyama vyote vinavyoshiriki.

Ndugu zangu, gari (Tanzania) limekwama, limegota kwenye tope...Magufuli anataka kulinasua kwa kulisukuma bila kutoka ndani ya gari, Lowassa kavua buti katoka kwenye gari alisukume. Nawaacha na usemi huu, adverse circumstances need desperate measures...kama hakuna upepo wa kusukuma boti, dawa si kusubiri upepo bali ni kupiga makasia. UKAWA wanapiga makasia.
 
My two cents;

Wachangiaji wote humu kwenye jukwaa, hakuna hata moja anayeongelea kiini cha matatizo yaliyotufikisha hapa tulipo nacho ni haki. Imefikia mahali wengi mnaona tendo la kukosa haki ama kunyimwa haki ni la kawaida tu kama sehemu ya maisha. Mnachosahau ni kwamba bila haki hakuna amani, haki hujenga ustaarabu na hivyo kuwezesha maisha kuendeshwa kiutaratibu kwa kufuata sheria.

Ukosefu wa haki hustawisha uonevu kwa mnyonge na kumjengea kiburi mwenye nguvu, kiburi ambacho bila kudhibitiwa hufungua milango ya uhalifu wa aina zote. Binadamu kwa hulka yake hakubali uonevu na ingawa anaweza akavumilia uonevu kwa muda, iko siku uvumilivu wake utafikia mwisho. Hakuna kiumbe hatari kama binadamu anapofikia hali hiyo ya kukata tamaa ya maisha.

Watu mnaongea kama vile uwanja wa ushindani kisiasa upo sawa, mnaongea kama vile uchaguzi ujao, kama zilizopita, utaendeshwa kwa uhuru na haki na mnaongea kama vile vyama vyote vitakayoshiriki vina haki sawa na chama tawala. Manongea kama vile hamuishi Tanzania, mnaishi nchi nyingine tofauti...nchi iliyostaarabika na inayoheshimu misingi ya utawala unaofuata sheria.

Siku Dr. Slaa alipoongea, aliondoa mashaka yote yaliyokuwa moyoni mwangu kuhusu kuteuliwa kwa Lowassa kugombea Uraisi na UKAWA kupitia chama cha Chadema. Mwanzoni, pamoja na kutaka CCM iondoke, nilipokea uteuzi huo shingo upande kidogo nikisubiri msimamo wa Dr. Slaa...naam, nilimsikiliza kwa makini sana na baada ya kumsikiliza sikuwa na wasi wasi tena, UKAWA walikuwa sahihi.

Kauli zinazoendelea kutolewa na viongozi na wafuasi wa CCM si kauli za kiungwana, ni kauli za walevi wa madaraka,kauli za waliojawa kiburi na kauli zisizo na chembe cha ustaarabu...naam ndiko walikotufikisha CCM na kama Lowassa atatusaidia kuondokana na kadhia na manyanyaso haya ya miaka 50 naunga mkono. Dr. Slaa nitaendelea kumheshimu lakini kwangu hapa kapotoka.

Sitaki kuingia ndani sana kwenye swala la Dr. Slaa kwani ni moja katika watu niliokuwa na imani kubwa nao lakini kwa kitendo chake ameonesha ama hakuwa tayari kwa mabadiliko au alijiaminisha bila yeye mabadiliko hayawezekani. Ninachoomba ni wananchi wapewe haki na wawe huru kumchagua watakaye. Serikali isitoe upendeleo kwa CCM bali itoe fursa sawa kwa vyama vyote vinavyoshiriki.

Ndugu zangu, gari (Tanzania) limekwama, limegota kwenye tope...Magufuli anataka kulinasua kwa kulisukuma bila kutoka ndani ya gari, Lowassa kavua buti katoka kwenye gari alisukume. Nawaacha na usemi huu, adverse circumstances need desperate measures...kama hakuna upepo wa kusukuma boti, dawa si kusubiri upepo bali ni kupiga makasia. UKAWA wanapiga makasia.


Mag3;

Nakuelewa na nakubaliana na wewe kuwa kuvunjwa kwa haki ni msingi wa matatizo mengi. Wazazi wetu walipodai uhuru, walidai haki zao. Hawakudai kuwa matajiri.

Hivyo haki ni msingi wa taifa. Na hatuwezi kusema kuwa haki ni msingi wa taifa na maisha iwapo hatutakuwa wakweli. Hili ndilo tatizo nililonalo mimi na ndugu Lowassa. Kwetu Morogoro kachukua ranchi. Ndani ya ranchi hiyo walikuwa wanakaa watanzania wenye kufanya shughuli za kujikimu. Kawafukuza na kujengea uzio. Tena wengi walioathirika ni wananchi wa jamii ya kimasai waliohamia Morogoro miaka ya 70. Niambie huyu mtu anaijua haki toka lini?

Niambie huyu mtu ataleta mabadiliko gani iwapo kwa like kidogo alichojinyakulia hakuweza kufanya hivyo? Ni kweli ni mtoaji wa vibahasha. Lakini hanavitoa kwa kujipatia yeye umaarufu na sio kunyanyua maisha ya wananchi au kupigania haki zao.

Mimi ni mtafuta ukweli. Katika uchaguzi huu sioni ukweli wowote zaidi ya vichekesho. Kama Lowassa atasaidia kuindoa CCM, hicho ni kitu kimoja. Lakini baada ya hapo na yeye awe njiani. Kwanini upende nusu kamili, wakati kamili inawezekana.
 
Leo nimemsikiliza tena Dr.Slaa Star Tv, nimezidi kuwa confused, yaani bora hata angekaa kimya, most of the time anakwepa hoja za msingi, mara nina moyo wa nyama toka February chama changu kiliniandaa kugombea uraisi na mpaka ziara za nje, mara nasimamia misingi, mara ubunge karatu au kinondoni, duuu mm sijamuelewa kabisa.

labda nimsubiri mwalimu wangu Nguruvi3 aje anipe roadmap sijaelewa kabisa.
 
Leo nimemsikiliza tena Dr.Slaa Star Tv, nimezidi kuwa confused, yaani bora hata angekaa kimya, most of the time anakwepa hoja za msingi, mara nina moyo wa nyama toka February chama changu kiliniandaa kugombea uraisi na mpaka ziara za nje, mara nasimamia misingi, mara ubunge karatu au kinondoni, duuu mm sijamuelewa kabisa.

labda nimsubiri mwalimu wangu Nguruvi3 aje anipe roadmap sijaelewa kabisa.

Dr. Slaa aliharibu toka ile press conference ya Serena, yeye na CCM wanajua hilo.
Wamekaa na kusoma upepo wakaona wazi kuwa kuna sehemu wamekosea kuchanga karata zao.
Ile ya jana Star TV imezidi kumchafulia Dr. Slaa.
Amejikanyaga sana.
 
-Kule Serena alisema alikuwa hajachukua fomu za kugombea urais lakini baada ya Tundu Lisu kumshika uongo jana kageuza hadithi na kukubali kuwa ni kweli alipitishwa kuwa mgombea wa chadema toka mwanzo. Kule Serena alisema urais sio ishu hana shida lakini jana amekiri kuwa tukio la kuwekwa pembeni lilimuuma yeye kama binadamu mwenye moyo wa nyama!

-Kule Serena alitaja moja za sababu za kumkataa Lowasa ni rushwa iliyotembezwa kwa maaskofu lakini jana kabadili kauli na kusema kwamba ile ilikuwa ni kauli ya Gwajima! Akajisahau kwamba alikuwa mstari wa mbele kuwanyooshea kidole maaskofu wale kuwa wapige magoti watubu dhambi zao! Jana kawageuka ati aliyetamka maneno ni Gwajima.

-Anaulizwa kuhusu gharama za mkutano wa Serena anajibu kuhusu safari yake ya marekani ambayo chadema walimpa laki 5 tu mbona hakuulizwa gharama nyingine zilitoka wapi? Majibu ya kitoto ambayo hayahusiani kabisa! Hiyo safari ya marekani si alikuwa na wenyeji kule? Si inawezekana kwamba walimgharamia kila kitu? Mbona ameshindwa japo kueleza hayo?

-Anakiri kuwa na mawasiliano na Mwakyembe ili kupata data zaidi kutoka kwa source... Ina maana wakati wote huo hakuwa na uhakika?? Tundu Lisu alisema juzi kwamba hizo data zote zipo kwenye ripoti ya kamati ya Mwakyembe wala hakuna jipya, Sasa leo Dr anakuja kutuambia kwamba ana data mpya??

-Leo hii anatuambia kwamba bora tuchague mwenye ufisadi mdogo (Magufuli) kuliko mwenye ufisadi mkubwa (Lowasa)! Yani bora kuwa na fisadi mdogo aliye kwenye chama kilicho source ya mafisadi tumuache fisadi mkubwa aliyeamua kujirudi na kujiunga na chama kisicho cha mafisadi!

-Maswali mengine amekwepa kuyajibu ki-ujanjaujanja...hajajibu juu ya ushiriki wake kwenye mchakato wa kumkaribisha Lowasa chadema. Hajajibu juu ya kufarakana na mkewe/mchumba wake juu ya ujio wa Lowasa. Hajajibu juu ya gharama za Serena...Yaani ni usanii na ujanja ujanja mtupu!

-Shida kubwa ya Slaa na wanasiasa wengine wa aina yake (Kina Zitto) ni kulewa sifa iliyojengwa juu yake kuwa ni kiongozi muadilifu na mpambanani dhidi ya mafisadi kiasi cha kuchukulia kuwa watanzania ni mazezeta wataamini kauli zake milele hata kama anapotosha mambo! Amefikia mahali amejijengea kiburi kwamba yeye pekee ndie mwenye hatimiliki ya kuamua mustakabali wa chama na bila yeye basi mageuzi yanakwama! Ndio maana akashindwa kukubaliana na matakwa ya wengi kwenye kamati kuu juu ya kumkaribisha Lowasa wakati ni yeye huyuhuyu alishiriki mchakato wa awali!
 
Mag3;

Nakuelewa na nakubaliana na wewe kuwa kuvunjwa kwa haki ni msingi wa matatizo mengi. Wazazi wetu walipodai uhuru, walidai haki zao. Hawakudai kuwa matajiri.

Hivyo haki ni msingi wa taifa. Na hatuwezi kusema kuwa haki ni msingi wa taifa na maisha iwapo hatutakuwa wakweli. Hili ndilo tatizo nililonalo mimi na ndugu Lowassa. Kwetu Morogoro kachukua ranchi. Ndani ya ranchi hiyo walikuwa wanakaa watanzania wenye kufanya shughuli za kujikimu. Kawafukuza na kujengea uzio. Tena wengi walioathirika ni wananchi wa jamii ya kimasai waliohamia Morogoro miaka ya 70. Niambie huyu mtu anaijua haki toka lini?

Niambie huyu mtu ataleta mabadiliko gani iwapo kwa like kidogo alichojinyakulia hakuweza kufanya hivyo? Ni kweli ni mtoaji wa vibahasha. Lakini hanavitoa kwa kujipatia yeye umaarufu na sio kunyanyua maisha ya wananchi au kupigania haki zao.

Mimi ni mtafuta ukweli. Katika uchaguzi huu sioni ukweli wowote zaidi ya vichekesho. Kama Lowassa atasaidia kuindoa CCM, hicho ni kitu kimoja. Lakini baada ya hapo na yeye awe njiani. Kwanini upende nusu kamili, wakati kamili inawezekana.
Zakumi kuna tofauti kubwa sana kati ya kuiondoa CCM na kumuondoa Lowassa. Nataka kwanza tulivunjilie mbali hili kambi la mafunzo linalotuzalishia viongozi hao...Mwinyi alitoka akaingia Mkapa, akatoka Mkapa akaingia Kikwete. Wakati sisi tunahangaika na taasisi, wewe na wengine wengi tu mmeamua kuhangaika na individual...mimi sihangaiki na individual, nahangaika na institution.

Naomba nikuulize swali moja Zakumi, unadhani ni kwa nini ndani ya CCM ghafla bin vuu, adui nambari one amekuwa Lowassa? Ni kwa sababu Lowassa ni threat kwa institution, he was once part of it but now he is on the other side na hili CCM walilijua toka kitambo na kujiweka tayari. Ambacho hawakutilia maanani ni kiu ya mageuzi waliyo nayo Watanzania...CCM siyo tu kwa sasa haipendwi, inachukiwa.

CCM kwa hulka yake ime declare an all out war against wananchi wasioipenda kwa kutumia silaha yoyote ile na zozote zile na moja wapo katika silaha hiyo ni vulnerable Dr. Slaa. He will soon wake up out of his slumber and slowly realize kwamba Watanzania wa sasa si wale wa 2010, this is a completely new breed. Bila kujua Dr. Slaa anaijeruhi CCM kuliko Lowassa or UKAWA for that matter, mark my words.
 
Zakumi kuna tofauti kubwa sana kati ya kuiondoa CCM na kumuondoa Lowassa. Nataka kwanza tulivunjilie mbali hili kambi la mafunzo linalotuzalishia viongozi hao...Mwinyi alitoka akaingia Mkapa, akatoka Mkapa akaingia Kikwete. Wakati sisi tunahangaika na taasisi, wewe na wengine wengi tu mmeamua kuhangaika na individual...mimi sihangaiki na individual, nahangaika na institution.

Naomba nikuulize swali moja Zakumi, unadhani ni kwa nini ndani ya CCM ghafla bin vuu, adui nambari one amekuwa Lowassa? Ni kwa sababu Lowassa ni threat kwa institution, he was once part of it but now he is on the other side na hili CCM walilijua toka kitambo na kujiweka tayari. Ambacho hawakutilia maanani ni kiu ya mageuzi waliyo nayo Watanzania...CCM siyo tu kwa sasa haipendwi, inachukiwa.

CCM kwa hulka yake ime declare an all out war against opposition kwa kutumia silaha yoyote ile na zozote zile na moja wapo katika silaha hiyo ni mtu moja vulnerable kwa jina Dr. Slaa. He will soon wake up out of his slumber and slowly realize kwamba Watanzania wa sasa si wale wa 2010, this is a completely new breed. Bila kujua Dr. Slaa anaijeruhi CCM kuliko Lowassa or UKAWA for that matter, mark my words.

Mag3;

Kujibu swali lako: Lowassa si adui wa CCM. Matamanio ya kile anachokitaka (Urais), ndio chanzo cha mgogoro wa Lowassa na wenzake. Kwa vitu vingine vilivyobaki, CCM na Lowassa ni damu damu.

Nafasi aliyoleta Lowassa kwenye upinzani ni kubwa. Lakini inategemea jinsi gani wananchi wataitumia nafasi hiyo. Wakimwachia Lowassa, hakutakuwa na mabadiliko yoyote. Atafanya kama yale aliyofanya akiwa CCM.

Wachangiaji maarufu katika ukumbi huu walituambia kuwa Lowassa ali-sponsor ACT, kuisambaratisha CDM. Lowassa ali-sponsor watu mbalimbali wachaguliwe kuwa wajumbe wa NEC. Na hawa watu ndio waliokuwa wamchague Lowassa kupitia CCM. Leo baadhi ya hawa wachangia wanamkumbatia Lowassa as a game changer.
 
Back
Top Bottom