Asante sana, kwa taarifa na barua hii kumbe ni Maandamano ya Kanda ya Pwani, tulidhani ni ya kitaifa!.
Barua zote za kiofisi zinatakiwa kuwa na ref number na kusainiwa na office bearers zikiwa signed na stamped. Barua hiyo haina any ref, ofisa habari sio office bearers hawezi kusaini barua ya Ofisi, anasaini kwa niaba!.
All and all, ni muhimu sana, inaonyesha Chadema sasa ni chama makini kinachofuata katiba, sheria taratibu na kanuni.
This is very good news and a good move, ombi kwa uongozi wa Chadema, uwe tayari kupokea majibu yao kesho, wakikataliwa wasiandamane.
P