CHADEMA waendelea na ajenda yao ya maandamano ya amani. Wapeleka barua Polisi kuomba ulinzi

CHADEMA waendelea na ajenda yao ya maandamano ya amani. Wapeleka barua Polisi kuomba ulinzi

Familia ya mbowe na ya lisu ni raia wa nchi nyingine kwa hiyo hawawezi kushiriki maandamano kwenye nchi ya kigeni. Inawezekana pia mbowe na lisu wenyewe hawatakuwa mstari wa mbele kwenye maandamano. Wao watakuwa mahali wanakula kiyoyozi wakisubiri kutoa taarifaya maandamano. Makapuku ndiyo watawekwa frontline.
Maneno ya hivi huwa naona kama vile mnakaririshwa kama kasuku, bila ya kutafakari. Jamani sio lazima familia nzima ifanane misimamo. Mbona baadhi ya watoto wa Warioba sio wanasiasa kabisa?

Hata Makongoro Nyerere alikuwa Chadema na huku baba yake ni gwiji wa CCM. Sio lazima watoto wa Mbowe na Lissu nao ni wanaharakati za kisiasa, nao wana maamuzi yao kama binadamu.

Usikariri ndugu yangu, ndiyo maana hata wewe hauko hapa JF na ukoo wako wote, wengine wako busy huko hata na kucheza ngoma zenu za kitamaduni, JF wanaona kama vile ni kijiwe cha kupoteza muda.

Ova
 
Ndani ya Taarifa yao wameonyesha Maandamano yao yatakapoanzia na kuishia, pamoja na Njia ambazo Maandamano hayo yatakamopita.

Taarifa yao hii hapa

View attachment 3101505

Mungu Ibariki Chadema.
Ndani ya taarifa hiyo, sijaona mahali popote panapoonyesha maandamano ni ya vurugu, uvunjaji amani, n.k..

Kama polisi wanadhani hivyo, ni wajibu wao kuonyesha kifungu kinacho chochea ghasia kabla hawajazuia maandamano.

Na je, polisi bado waking'ang'ania kuzuia maandamano kwa shari; nini plani B waliyo nayo CHADEMA?

Ushauri wangu juu ya hilo ni kuachana na kichaa. Ujumbe wao utakuwa umewasilishwa kikamilifu.

Lakini, kutopenda kupigana mieleka na kichaa siyo kwamba ni uoga; ni kupisha shari tu ipite ili kujenga nguvu zaidi ambayo hata kichaa hataweza kuizuia siku za usoni (karibuni); hasa wakati wa chaguzi zote mbili. Hapo hata kichaa akitupa nguo zote na kubaki uchi wa mnyama, ni kumkabili tu.
 
Hofu yangu je wakikataliwa katiba inataka waandamane hivyo hivyo ?

Ama katiba inasema mkikataliwa muisfanye ?

Au katika inasema mkikataliwa fanyeni hivyo hivyo ?

Isijekuwa kuna gap la kisheria ambalo litaupa kila upande hoja za kuhalaljsha watakachofanya siku hiyo
Hivi kwenye barua hiyo kuna mahali popote ilipo omba ruhusa ya kuandamana?
 
Hofu yangu je wakikataliwa katiba inataka waandamane hivyo hivyo ?

Ama katiba inasema mkikataliwa muisfanye ?

Au katika inasema mkikataliwa fanyeni hivyo hivyo ?

Isijekuwa kuna gap la kisheria ambalo litaupa kila upande hoja za kuhalaljsha watakachofanya siku hiyo
Walishakataliwa labda kwa taarifa hii mpya. Ambayo haina mashiko.

Najiuliza, hawa wachaga hawstaki tufunguwe biashara zetu kutwa nzima siku ya mwanzo wa wiki?

Mimi nashauri msimamo wa polisi uwe uleule wa marufuku kwa maandamno, kabisa tena. Wakikaidi wafinywe tu.
 
Chadema vituko haviishagi 😀
Jambo linalo nishangaza sasa hivi baada ya kukufahamu vizuri ni jinsi wewe na mwenzako aitwae Paskal Njaa mnavyo fanana kitabia!
Tofauti kati yenu ni ndogo sana. Paskal hupenda kuandika matakataka marefu sana; huku wewe ukiishia tu kuweka vimaneno vichache vya mipasho kwenye michango yako. Lakini mwelekeo wa maudhui ni yale yale.

Mnaishi nyumba moja, au ofisi zenu ndizo zimeunganishwa?
 
Walishakataliwa labda kwa taarifa hii mpya. Ambayo haina mashiko.

Najiuliza, hawa wachaga hawstaki tufunguwe biashara zetu kutwa nzima siku ya mwanzo wa wiki?

Mimi nashauri msimamo wa polisi uwe uleule wa marufuku kwa maandamno, kabisa tena. Wakikaidi wafinywe tu.
Inaonyesha ni kiasi gani akili zilivyo waruka kichwani, toka huko kwa 'Chura', ambaye sasa anasikia hadi kwenu chawa.
'Screw' zitaendelea kukazwa tu, hampati pa kutokea tena.
 
Umesema ninanukuu

“ombi kwa uongozi wa Chadema, uwe tayari kupokea majibu yao kesho, wakikataliwa wasiandamane.,,
✍️
Chadema Kwenye barua yao na kwenye vyombo mbali mbali vya habari wamesisitiza kuwa maandamano yao yatakua ya AMANI.

Je, kwanini unahisi watakataliwa ikiwa kuandamana ni haki yao kikatiba?

Je, ni kweli kuwa “utawala,, huu haufuati sheria, kanuni na kwamba hauzingatii katiba inavyo elekeza?
Unaomba ulinzi kwa unaemfanyia maandamano kuwa hafanyi kazi yake?

Ni kama unamwambiya "dereva wewe hujuwi kuendesha gari" halafu unamwomba akufikishe safari yako?

Kama si ujinga ni nini huo?
 
Asante sana, kwa taarifa na barua hii kumbe ni Maandamano ya Kanda ya Pwani, tulidhani ni ya kitaifa!.
Barua zote za kiofisi zinatakiwa kuwa na ref number na kusainiwa na office bearers zikiwa signed na stamped. Barua hiyo haina ref wala stamp!. Ofisa habari sio office bearers hawezi kusaini barua ya Ofisi, anasaini kwa niaba ya office bearers.

All and all, ni muhimu sana, inaonyesha Chadema sasa ni chama makini kinachofuata katiba, sheria taratibu na kanuni.

This is very good news and a good move, ombi kwa uongozi wa Chadema, uwe tayari kupokea majibu yao kesho, wakikataliwa wasiandamane.

P
Utakuwepo kwenye MAAANDAMANO; ? au wewe ni muumini wa TANU…. Zidumu fikra za mwenyekiti
 
Back
Top Bottom