CHADEMA waendelea na ajenda yao ya maandamano ya amani. Wapeleka barua Polisi kuomba ulinzi

CHADEMA waendelea na ajenda yao ya maandamano ya amani. Wapeleka barua Polisi kuomba ulinzi

Asante sana, kwa taarifa na barua hii kumbe ni Maandamano ya Kanda ya Pwani, tulidhani ni ya kitaifa!.
Barua zote za kiofisi zinatakiwa kuwa na ref number na kusainiwa na office bearers zikiwa signed na stamped. Barua hiyo haina ref wala stamp!. Ofisa habari sio office bearers hawezi kusaini barua ya Ofisi, anasaini kwa niaba ya office bearers.

All and all, ni muhimu sana, inaonyesha Chadema sasa ni chama makini kinachofuata katiba, sheria taratibu na kanuni.

This is very good news and a good move, ombi kwa uongozi wa Chadema, uwe tayari kupokea majibu yao kesho, wakikataliwa wasiandamane.

P
Umeniaibisha sana mzee mwenzangu wakili msomi.
Hiyo sio barua bali ni taarifa rasmi kwa umma kuutaarifu umma kuwa wameitaarifu mamlaka juu ya ruti za MAANDAMANO YA AMANI ya jumatatu hivyo hakuna umuhimu wa ref no. Kwa taarifa kwa umma wala sio kosa afisa habari kusaini tangazo.
Hii sasa aibu kama wakili msomi kwa sababu ya mahaba tuu unaweza kutoliona hilo na kupotosha. Ni vema ndugu zangu mnapo ona kunakucha na mwanga unajitokeza kutoendelea kuishi gizani kwani mtaumbuka soon.
 
Familia ya mbowe na ya lisu ni raia wa nchi nyingine kwa hiyo hawawezi kushiriki maandamano kwenye nchi ya kigeni. Inawezekana pia mbowe na lisu wenyewe hawatakuwa mstari wa mbele kwenye maandamano. Wao watakuwa mahali wanakula kiyoyozi wakisubiri kutoa taarifaya maandamano. Makapuku ndiyo watawekwa frontline.
Hata kama ikawa hivyo, maandamano hayo ni kuwakomboa haohao makapuku sasa shida iko wapi?
Hivi hamuoni gharama wanayo ilipa hao viongozi utadhani wakikosa kuwa viongozi nao watakuwa makapuku?
Kwenye kupambania haki kila mtu ashiriki kwa nafasi yake.
 
Familia ya mbowe na ya lisu ni raia wa nchi nyingine kwa hiyo hawawezi kushiriki maandamano kwenye nchi ya kigeni. Inawezekana pia mbowe na lisu wenyewe hawatakuwa mstari wa mbele kwenye maandamano. Wao watakuwa mahali wanakula kiyoyozi wakisubiri kutoa taarifaya maandamano. Makapuku ndiyo watawekwa frontline.
We mbwah hv unajikuaga ni nani kwenye hii nchi...!!
 
Hofu yangu je wakikataliwa katiba inataka waandamane hivyo hivyo ?

Ama katiba inasema mkikataliwa muisfanye ?

Au katika inasema mkikataliwa fanyeni hivyo hivyo ?

Isijekuwa kuna gap la kisheria ambalo litaupa kila upande hoja za kuhalaljsha watakachofanya siku hiyo
Ambao hawataikubali ndio watakuwa wanakiuka katiba na Sheria za nchi. Hivyo shurti wakubali Ili kuitii na kuiheshimu katiba
 
Maneno ya hivi huwa naona kama vile mnakaririshwa kama kasuku, bila ya kutafakari. Jamani sio lazima familia nzima ifanane misimamo. Mbona baadhi ya watoto wa Warioba sio wanasiasa kabisa?

Hata Makongoro Nyerere alikuwa Chadema na huku baba yake ni gwiji wa CCM. Sio lazima watoto wa Mbowe na Lissu nao ni wanaharakati za kisiasa, nao wana maamuzi yao kama binadamu.

Usikariri ndugu yangu, ndiyo maana hata wewe hauko hapa JF na ukoo wako wote, wengine wako busy huko hata na kucheza ngoma zenu za kitamaduni, JF wanaona kama vile ni kijiwe cha kupoteza muda.

Ova
Ndio maana huwa namiss posts zako, nimecheka mno!
 
Kuwaarifu polisi walinde wanaandamanaji Ili wapaze sauti kuwatuhumu polisi hao hao kuwaachia waliotekwa,

Jambo Hilo kulielewa linahitaji uwe na akili za mwendawazimu.
Ipo clear tu... ” au unahitaji ufafanuzi zaidi. Sipo CCM wala CHADEMA
 
Regardless CHADEMA wanafanya haya kwa maslahi yao binafsi au laah,! Ila kwa nchi hii safari bado ni ndefu sana kupata ukombozi, ni kama hawa wanajiita wasomi wamelishwa unga wa ndele. Watu wametawaliwa na ubinafsi, unafiki, kujipendekeza kuonekana, (In islam we call it riyaa) hii ni nusu ya ushirikina.
Wanacho demand CHADEMA kipo clear kabisa wala hakihitaji uwe na 1st class ya university, logically waachwe waandamane kushinikiza matukio machafu na hata yasiyompendeza Mwenyezi Mungu, inside that maandamo hayo yakibainika na uvunjifu wa Amani sheria ichukue mkondo wake haswa. " Remember that haki huinua taifa
 
CHADEMA leo ijumaa imewasilisha taarifa ya Maandamano ya Amani tarehe 23 SEPTEMBA, 2024 kama sheria inavyoelekeza.

Yaonyesha njia, ajenda na hitimisho litakuwa wapi. Watimiza masharti ya kuwasilisha taarifa saa 48 kabla ya Maandamano kufanyika.

Soma Pia:

20240921_064714.jpg
View attachment 3101471
 
Jambo linalo nishangaza sasa hivi baada ya kukufahamu vizuri ni jinsi wewe na mwenzako aitwae Paskal Njaa mnavyo fanana kitabia!
Tofauti kati yenu ni ndogo sana. Paskal hupenda kuandika matakataka marefu sana; huku wewe ukiishia tu kuweka vimaneno vichache vya mipasho kwenye michango yako. Lakini mwelekeo wa maudhui ni yale yale.

Mnaishi nyumba moja, au ofisi zenu ndizo zimeunganishwa?
Maandamano yenu yalishapigwa Marufuku kitambo tu

Sasa barua ya nini tena?
 
Asante sana, kwa taarifa na barua hii kumbe ni Maandamano ya Kanda ya Pwani, tulidhani ni ya kitaifa!.
Barua zote za kiofisi zinatakiwa kuwa na ref number na kusainiwa na office bearers zikiwa signed na stamped. Barua hiyo haina ref wala stamp!. Ofisa habari sio office bearers hawezi kusaini barua ya Ofisi, anasaini kwa niaba ya office bearers.

All and all, ni muhimu sana, inaonyesha Chadema sasa ni chama makini kinachofuata katiba, sheria taratibu na kanuni.

This is very good news and a good move, ombi kwa uongozi wa Chadema, uwe tayari kupokea majibu yao kesho, wakikataliwa wasiandamane.

P
Nguli wa Tasinia ya habari kama Paschal Mayalla sikutegemea kama ungekuja na hoja ya aina hii, kwanza hii ni taarifa kwa umma na siyo barua ya kiofisi, nikualike ukasome taarifa kwa vyombo vya habari kutoka ofisi ya raia namba moja wa hii nchi, taarifa zao hazina ref na wala haziko stamped lakin taarifa zake zinafika kwa walengwa.
Cha muhimu sana ,nikukaribishe tarehe 23 September, usipange kukosa.
 
Nguli wa Tasinia ya habari kama Paschal Mayalla sikutegemea kama ungekuja na hoja ya aina hii, kwanza hii ni taarifa kwa umma na siyo barua ya kiofisi, nikualike ukasome taarifa kwa vyombo vya habari kutoka ofisi ya raia namba moja wa hii nchi, taarifa zao hazina ref na wala haziko stamped lakin taarifa zake zinafika kwa walengwa.
Cha muhimu sana ,nikukaribishe tarehe 23 September, usipange kukosa.
Duh...!, kweli Mzee Mwenzangu, kiukweli uzee unanijia vibaya!. Nitashiriki kikamilifu maandamano tena sio tuu kushiriki bali mimi ni miongoni mwa wahamasishaji wa maandamano hayo!. Kufuatia Umuhimu wa Maandamano ya UKUTA: Nimehamasika, Nitashiriki, Tujitokeze kwa Wingi! Ila...!
P
 
Za kuambiwa changanya na zako. Mbaiwayu wataonekana hiyooo tar 23. Kuna mbaiwayu humu najua itakua Kama vile anaandamana mara paap tunasoma comment zake kupitia keyboard.
 
Ndani ya Taarifa yao wameonyesha Maandamano yao yatakapoanzia na kuishia, pamoja na Njia ambazo Maandamano hayo yatakamopita.

Taarifa yao hii hapa


Mungu Ibariki Chadema.
Yaani Chadema kiboko yaani Afisa habari ndie anaomba kibali cha Maandamano

Hiki ni kituko cha karne

Yaani Chadema hata protocol ya bani aandike kuomba kibali hawajui

Viongozi wa juu wa kanda wana mgomo wamegoma kuandika nini?

Hiyo sio barua ya kiofisi hiyo
Jeshi la polisi halihitaji hata kuijibu
 
Back
Top Bottom