Wewe unapowatetea kina Mwambukusi na Slaa umekuwa chawa wao.Umemsahau Uzima Tele
Wewe unapowatetea kina Mwambukusi na Slaa umekuwa chawa wao.
Kwanini Wakili Mwabukusi na wenzake wanastahili kuungwa mkono
Tunza familia yako.Ili ufanikiwe katika hilo ni mwendo wa "SALA NA KAZI".(Ora et Labora).Tafuta timu ya Mpira nunua jezi za hiyo timu kama 6pcs,bakiza 2pcs nyingine gawia unaowapenda.Ya kaisari Mpe kaisari na ya Mungu Mpe Mungu🙏.... Mkuu hata ma CCM, bi tozo, Tulia na vibaraka wao wanayo...www.jamiiforums.com
Kwani nani hawatetei wananchi.Mimi nawatetes wananchi ndugu Wala sijajinasibu kuandika Kwa niaba ya mtu ..
Mbona umeanza kuvuta jezi? Si ulisema una pumzi, speed na nguvu ya kucheza wewe? Imekuwaje tena?Huu ni ushauri wa bure kwenu kama mdau.
Niliwahi kuandika uzi huu pia:
Lissu rudini ubaoni, Majukwaani hakutamng'oa CCM
Humo pia kitengo cha Habari na Propaganda kiliangaziwa ambayo haya yaliwekwa wazi:
View attachment 2774316
Kulikoni kuwaendekeza watu hawa ambao kwa sasa wanapigania utengano, badala ya mashirikiano au mapambano kamili dhidi ya adui?
Kulikoni watu hawa kuachwa kuandika ujinga wakijinasibu kwa niaba ya chama huku chama kikiwa kimya?
Watu hawa ni mzigo wasiokuwa na msaada wowote kwa chama wala ukombozi wa nchi hii.
Kwani nani hawatetei wananchi.
Mbona umeanza kuvuta jezi? Si ulisema una pumzi, speed na nguvu ya kucheza wewe? Imekuwaje tena?
Hivi wewe unapowatetea kina Slaa unaandika kwa niaba ya nani CDM au CCM, JF ina Great thinkers, usijifiche kwenye koti la Chadema kama mwenzako Kamanda Asiyechoka ukadhani hawaelewi lengo lako wanaku-zoom tu.Wanaoandika Kwa niaba ya CCM na vibaraka wao Kwa kujua au kutojua hawawezi kuwa wanawatetea CCM.
Hai wanatetea matumbo yao.
Hivi wewe unapowatetea kina Slaa unaandika kwa niaba ya nani CDM au CCM, JF ina Great thinkers, usijifiche kwenye koti la Chadema kama mwenzako Kamanda Asiyechoka ukadhani hawaelewi lengo lako wanaku-zoom tu.
Kufanana kwa Wanaowanyanyapaa kina Mwabukusi na visa vya Yesu
Kina Mwabukusi na wenzake wametokea na inayoaminika kuwa ni agenda muarobaini wa matatizo yetu ya muda mrefu kama nchi: "Kupambana na maadui zetu kwa vitendo." Haipo siri kuwa hii itatuvusha, na hatimaye ushindi ni dhahiri. "Kwani ni lini maneno matupu hata yalipata kuvunja mfupa?" Ajabu na...www.jamiiforums.com
Nionavyo mimi wewe ndio uwe wa kwanza kukemewa na Chadema uache unafiki maandazi kuwatetea watu kina (Slaa) waliokataliwa na chama.Bandiko hilo wazi wazi linatetea wananchi.
Kwani wewe au mwenzio huyu Uzima Tele hapa kwa ugolo huu mnamtetea nani?
"Sauti ya Watanzania" ni strategy dhaifu sana ya UWT kudhoofisha upinzani. Fuatana nami, unganisha matukio, wajue na kaa nao mbali....
Inaihitaji akili nyIngi kumwona mkaanga mbuyu hapo?
Nionavyo mimi wewe ndio uwe wa kwanza kukemewa na Chadema uache unafiki maandazi kuwatetea watu kina (Slaa) waliokataliwa na chama.
Mbona umeanza kuvuta jezi? Si ulisema una pumzi, speed na nguvu ya kucheza wewe? Imekuwaje tena?
Acha upuuzi kijana, kuwasemea wananchi haimaanishi kuunga mkono kila ujinga wa wananchi. Halafu hao wamasai usiwafanyi kuwa ni wananchi special over others, wote wana stahiki sawa.Wananchi gani unaowaandikia wewe na mabandiko uchwara kama haya hapa chini ndugu?
View attachment 2774470
Endeleeni kuandikia CCM huko. Si kujinasibu na ngozi za kondoo kumbe ndani ni fisi.
Acha upuuzi kijana, kuwasemea wananchi haimaanishi kuunga mkono kila ujinga wa wananchi. Halafu hao wamasai usiwafanyi kuwa ni wananchi special over others, wote wana stahiki sawa.
Wewe unajua hasara na mauaji waliyosababisha hao wamasai kwa kuvamia maeneo ya wengine? Unajua junsi wakulima wameuawa na wengine kupewa vilema vya maisha na wengine kuingizwa hasara za mali na hizo jamii za wafugaji kwa kuvamia maeneo ya wakulima hao?
Siyo unaongea tu sababu za utoto wako wa akili. Grow up!!