CHADEMA wakaneni hadharani chawa hawa wa mitandaoni

CHADEMA wakaneni hadharani chawa hawa wa mitandaoni

Tafuta wenye kuandika kwa niaba ya CCM na ghafla wanalia machozi ya mamba, utawaona tu labda uwe kipofu ..

Wengine wako humu:

Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa

Na pia humu:

Lissu rudini ubaoni, Majukwaani hakutamng'oa CCM

Kipi kipya ndugu?
Badala ya kujenga hoja hao ni kina nani umebaki wewe kujitetea kuwa sio chawa wa CCM kwa kuleta thread zako za zamani na kuziacha za leo unazowahurumia kina Slaa kuwa wanaonewa.

Ukweli ni kwamba baada ya kuona kuwatetea kina Slaa na kikundi chake ni kazi umerudi kujipendeleza Chadema.
 
Rudi kwenye uzi wako ulioanzisha kuwahurumia kina Mwambukusi ukajibu hoja za watu.

 
Rudi kwenye uzi wako ulioanzisha kuwahurumia kina Mwambukusi ukajibu hoja za watu.


Ninasimama na nyuzi zangu 1,000 kIdogo na mabandiko yangu makumi elfu kIdogo yaliyoko JF na kwingi kwingineko.

Ukinihitaji kwenye hoja kaa kwenye mada husika.

Nikupe moyo ndugu, kuwa huru kujikita kwenye mada.

Usikimbie hoja. Pia zingatia:

"Mimi siyo mwanamuziki kukuimbia wewe unachopenda. Kwa Mila na desturi za JF tambua niko huru kuandika Mawazo yangu."
 
Wote Wanarudisha nyuma harakati za kukutana Tahril Square watambulike na kumulikwa!!
 
Demokrasia ni kukubali watu watoe opinion zao.

Umeeilewa mada lakini? Rejea kusoma. Kama bado, kuelewa hapa chini ni ufafanuzi zaidi:

Screenshot_20231007-172902.jpg


Kama bado huelewi nakupa na nyongeza juu:

Kuzuiwa Lissu, habari na Propaganda CHADEMA mko wapi?
 
Badala ya kujenga hoja hao ni kina nani umebaki wewe kujitetea kuwa sio chawa wa CCM kwa kuleta thread zako za zamani na kuziacha za leo unazowahurumia kina Slaa kuwa wanaonewa.

Ukweli ni kwamba baada ya kuona kuwatetea kina Slaa na kikundi chake ni kazi umerudi kujipendeleza Chadema.

Usitucheleshe ndugu. Tukutane Tahrir:

Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir
 
Hata CCM na vibaraka wao kwa kujua au kutokujua wana mawazo kama wewe. Vipi, ni wenzako? Kama siyo tukutane Tahrir mwisho wa matatizo:

Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir
Hahahahah.......Mkuu mbona wewe hutaki kuitwa chawa lakini unapenda kuita wenzio machawa?! Niliamua kukuita chawa wa Mwabukusi nikitaka kuona unajisikiaje kuitwa chawa? Ukiita wenzako cahwa Na wewe ikubali kuitwa chawa. Action must be equal to reaction.
 
Back
Top Bottom