- Thread starter
- #21
Kuna account ya CDM official humu, kimyaaa!!
Inasikitisha ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna account ya CDM official humu, kimyaaa!!
Wewe ni wa kuhurumiwa tu na kukuacha ulivyoUmeumbuka siyo? Kumbe wananchi wana upuuzi? Sisi huo hatuujui kwa masna hao ndiyo mabosi.
Msidhani hatuwajui. Kutwa kucha mnahaha kutusambaratisha:
Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
Rudisheni mrejesho:
"Kimenuka!"
Wewe ni wa kuhurumiwa tu na kukuacha ulivyo
Mnachokitaka kutoka Chadema ni kipi hasa , maana hata mleta uzi bado sijamuelewa , yeye anasema chawa wa chadema , wakati Chadema haijawahi kuwa na Chawa .Kuna account ya CDM official humu, kimyaaa!!
Orodhesha ID zao ili tujadili
Nasiki huko ccm mwanzo yalisajiliwa kama machawa sasa yamekua makunguni, mpaka yanasumbua nje ya mipaka uko UfaransaHuu ni ushauri wa bure kwenu kama mdau.
Niliwahi kuandika uzi huu pia:
Lissu rudini ubaoni, Majukwaani hakutamng'oa CCM
Humo pia kitengo cha Habari na Propaganda kiliangaziwa ambayo haya yaliwekwa wazi:
View attachment 2774316
Kulikoni kuwaendekeza watu hawa ambao kwa sasa wanapigania utengano, badala ya mashirikiano au mapambano kamili dhidi ya adui?
Kulikoni watu hawa kuachwa kuandika wakijinasibu kwa niaba ya chama huku chama kikiwa kimya?
Watu hawa ni mzigo wasiokuwa na msaada wowote kwa chama wala ukombozi wa nchi hii.
Mnachokitaka kutoka Chadema ni kipi hasa , maana hata mleta uzi bado sijamuelewa , yeye anasema chawa wa chadema , wakati Chadema haijawahi kuwa na Chawa .
Halafu hao anaowaita chawa hata sijaona akiwataja ni akina nani , je ni sisi wanachadema wa humu jf au wako wengine anaowalenga ?
Ni lazima afunguke vizuri ili aeleweke na asaidiwe
Machawa ya ccm yamekua makunguni sasa yanatafuta wapi yajiegeshe ,yamefika mpaka Ufaransa hukoMnachokitaka kutoka Chadema ni kipi hasa , maana hata mleta uzi bado sijamuelewa , yeye anasema chawa wa chadema , wakati Chadema haijawahi kuwa na Chawa .
Halafu hao anaowaita chawa hata sijaona akiwataja ni akina nani , je ni sisi wanachadema wa humu jf au wako wengine anaowalenga ?
Ni lazima afunguke vizuri ili aeleweke na asaidiwe
Machawa ya ccm yamekua makunguni sasa yanatafuta wapi yajiegeshe ,yamefika mpaka Ufaransa huko
Mkanye kwanza Lucas mwashambwaHasa Chawa Retired 😂😂🐼
Makunguni kazi mnayo
Makunguni kazi mnayo
Ila si walisha sajililiwa rasmi na chama cha kijani auMachawa kazi hamna.
Ila si walisha sajililiwa rasmi na chama cha kijani au
Mtoa mada anajenga HOJA kukihusu CDM,Mnachokitaka kutoka Chadema ni kipi hasa , maana hata mleta uzi bado sijamuelewa , yeye anasema chawa wa chadema , wakati Chadema haijawahi kuwa na Chawa .
Halafu hao anaowaita chawa hata sijaona akiwataja ni akina nani , je ni sisi wanachadema wa humu jf au wako wengine anaowalenga ?
Ni lazima afunguke vizuri ili aeleweke na asaidiwe
Mtoa mada anajenga HOJA kukihusu CDM,
Kwamba zipo ID zinaanzisha thread kama vile zimetumwa na chama Kutoa misimamo au uelekeo kuhusu issues zinazoendelea.
IPO haja ya ID ya CDM Official JF Kitengo Cha propaganda Kutoka na Kutolea ufafanuzi HOJA hizo.
Kukaa kimya kutoatoa tafsiri ingawa Si ya moja Kwa moja kuwa,
ID hizo ni za viongozi wa CDM zinazotumika kurusha mawe gizani.
Wekeni hapa hicho walichokianzisha hao mnaowaita viongozi wa ChademaMtoa mada anajenga HOJA kukihusu CDM,
Kwamba zipo ID zinaanzisha thread kama vile zimetumwa na chama Kutoa misimamo au uelekeo kuhusu issues zinazoendelea.
IPO haja ya ID ya CDM Official JF Kitengo Cha propaganda Kutoka na Kutolea ufafanuzi HOJA hizo.
Kukaa kimya kunatoa tafsiri ingawa Si ya moja Kwa moja kuwa,
ID hizo ni za viongozi wa CDM zinazotumika kurusha mawe gizani.
Wekeni hapa hicho walichokianzisha hao mnaowaita viongozi wa Chadema