CHADEMA wakaneni hadharani chawa hawa wa mitandaoni

CHADEMA wakaneni hadharani chawa hawa wa mitandaoni

Kuna account ya CDM official humu, kimyaaa!!
Mnachokitaka kutoka Chadema ni kipi hasa , maana hata mleta uzi bado sijamuelewa , yeye anasema chawa wa chadema , wakati Chadema haijawahi kuwa na Chawa .

Halafu hao anaowaita chawa hata sijaona akiwataja ni akina nani , je ni sisi wanachadema wa humu jf au wako wengine anaowalenga ?

Ni lazima afunguke vizuri ili aeleweke na asaidiwe
 
Huu ni ushauri wa bure kwenu kama mdau.

Niliwahi kuandika uzi huu pia:

Lissu rudini ubaoni, Majukwaani hakutamng'oa CCM

Humo pia kitengo cha Habari na Propaganda kiliangaziwa ambayo haya yaliwekwa wazi:

View attachment 2774316

Kulikoni kuwaendekeza watu hawa ambao kwa sasa wanapigania utengano, badala ya mashirikiano au mapambano kamili dhidi ya adui?

Kulikoni watu hawa kuachwa kuandika wakijinasibu kwa niaba ya chama huku chama kikiwa kimya?

Watu hawa ni mzigo wasiokuwa na msaada wowote kwa chama wala ukombozi wa nchi hii.
Nasiki huko ccm mwanzo yalisajiliwa kama machawa sasa yamekua makunguni, mpaka yanasumbua nje ya mipaka uko Ufaransa
 
Mnachokitaka kutoka Chadema ni kipi hasa , maana hata mleta uzi bado sijamuelewa , yeye anasema chawa wa chadema , wakati Chadema haijawahi kuwa na Chawa .

Halafu hao anaowaita chawa hata sijaona akiwataja ni akina nani , je ni sisi wanachadema wa humu jf au wako wengine anaowalenga ?

Ni lazima afunguke vizuri ili aeleweke na asaidiwe

Wako humu:

Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
 
Mnachokitaka kutoka Chadema ni kipi hasa , maana hata mleta uzi bado sijamuelewa , yeye anasema chawa wa chadema , wakati Chadema haijawahi kuwa na Chawa .

Halafu hao anaowaita chawa hata sijaona akiwataja ni akina nani , je ni sisi wanachadema wa humu jf au wako wengine anaowalenga ?

Ni lazima afunguke vizuri ili aeleweke na asaidiwe
Machawa ya ccm yamekua makunguni sasa yanatafuta wapi yajiegeshe ,yamefika mpaka Ufaransa huko
 
Mnachokitaka kutoka Chadema ni kipi hasa , maana hata mleta uzi bado sijamuelewa , yeye anasema chawa wa chadema , wakati Chadema haijawahi kuwa na Chawa .

Halafu hao anaowaita chawa hata sijaona akiwataja ni akina nani , je ni sisi wanachadema wa humu jf au wako wengine anaowalenga ?

Ni lazima afunguke vizuri ili aeleweke na asaidiwe
Mtoa mada anajenga HOJA kukihusu CDM,

Kwamba zipo ID zinaanzisha thread kama vile zimetumwa na chama Kutoa misimamo au uelekeo kuhusu issues zinazoendelea.

IPO haja ya ID ya CDM Official JF Kitengo Cha propaganda Kutoka na Kutolea ufafanuzi HOJA hizo.

Kukaa kimya kunatoa tafsiri ingawa Si ya moja Kwa moja kuwa,

ID hizo ni za viongozi wa CDM zinazotumika kurusha mawe gizani.
 
Mtoa mada anajenga HOJA kukihusu CDM,

Kwamba zipo ID zinaanzisha thread kama vile zimetumwa na chama Kutoa misimamo au uelekeo kuhusu issues zinazoendelea.

IPO haja ya ID ya CDM Official JF Kitengo Cha propaganda Kutoka na Kutolea ufafanuzi HOJA hizo.

Kukaa kimya kutoatoa tafsiri ingawa Si ya moja Kwa moja kuwa,

ID hizo ni za viongozi wa CDM zinazotumika kurusha mawe gizani.

Walisema waungwana:

"Kupanga ni kuchagua."
 
Mtoa mada anajenga HOJA kukihusu CDM,

Kwamba zipo ID zinaanzisha thread kama vile zimetumwa na chama Kutoa misimamo au uelekeo kuhusu issues zinazoendelea.

IPO haja ya ID ya CDM Official JF Kitengo Cha propaganda Kutoka na Kutolea ufafanuzi HOJA hizo.

Kukaa kimya kunatoa tafsiri ingawa Si ya moja Kwa moja kuwa,

ID hizo ni za viongozi wa CDM zinazotumika kurusha mawe gizani.
Wekeni hapa hicho walichokianzisha hao mnaowaita viongozi wa Chadema
 
Back
Top Bottom