Badala ya kujenga hoja hao ni kina nani umebaki wewe kujitetea kuwa sio chawa wa CCM kwa kuleta thread zako za zamani na kuziacha za leo unazowahurumia kina Slaa kuwa wanaonewa.Tafuta wenye kuandika kwa niaba ya CCM na ghafla wanalia machozi ya mamba, utawaona tu labda uwe kipofu ..
Wengine wako humu:
Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
Na pia humu:
Lissu rudini ubaoni, Majukwaani hakutamng'oa CCM
Kipi kipya ndugu?
Badala ya kujenga hoja hao ni kina nani umebaki wewe kujitetea kuwa sio chawa wa CCM kwa kuleta thread zako za zamani na kuziacha za leo unazowahurumia kina Slaa kuwa wanaonewa.
Ukweli ni kwamba baada ya kuona kuwatetea kina Slaa na kikundi chake ni kazi umerudi kujipendeleza Chadema.
Kama wote wanakimbia kujibu HOJA,
Rudi kwenye uzi wako ulioanzisha kuwahurumia kina Mwambukusi ukajibu hoja za watu.
Demokrasia ni kukubali watu watoe opinion zao.Tafuta wenye kuandika kwa niaba ya CCM na ghafla wanalia machozi ya mamba, utawaona tu labda uwe kipofu ..
Wengine wako humu:
Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
Na pia humu:
Lissu rudini ubaoni, Majukwaani hakutamng'oa CCM
Kipi kipya ndugu?
Rudi kwenye uzi wako ulioanzisha kuwahurumia kina Mwambukusi ukajibu hoja za watu.
Kwanini Wakili Mwabukusi na wenzake wanastahili kuungwa mkono
Jitihada za kina Mwabukusi ni zenye mlengo wa kuwakabili maadui zetu kwa vitendo. Kina Mwabukusi hawaongelei agenda za vyama. Kina Mwabukusi wanaongelea agenda za wananchi. Nini kilicho bora kuliko agenda za wananchi? Ikumbukwe ukombozi hauhitaji watu wote: Hapa ndipo zilipo tofauti zetu...www.jamiiforums.com
Demokrasia ni kukubali watu watoe opinion zao.
Wote Wanarudisha nyuma harakati za kukutana Tahril Square watambulike na kumulikwa!!
Badala ya kujenga hoja hao ni kina nani umebaki wewe kujitetea kuwa sio chawa wa CCM kwa kuleta thread zako za zamani na kuziacha za leo unazowahurumia kina Slaa kuwa wanaonewa.
Ukweli ni kwamba baada ya kuona kuwatetea kina Slaa na kikundi chake ni kazi umerudi kujipendeleza Chadema.
Chawa wa Mwabukusi katika ubora wake😡😡
Mbona Mwanza hukuonekana au ulikuwa unasubiri Mbowe atangulie. Acheni kudanganya watu, eti leo Slaa anataka aungane na Lissu aliyefurahia kupigwa kwake risasi.
Ilo ni swali la hovyo nafsi ya mtu huijua mwenyewe,Yako ni maana finyu yao. Hao ni ni wafuasi vipofu hata Rashid na yule wa mawese kawe wanao ..
Vipi na wewe umo?
Hahahahah.......Mkuu mbona wewe hutaki kuitwa chawa lakini unapenda kuita wenzio machawa?! Niliamua kukuita chawa wa Mwabukusi nikitaka kuona unajisikiaje kuitwa chawa? Ukiita wenzako cahwa Na wewe ikubali kuitwa chawa. Action must be equal to reaction.Hata CCM na vibaraka wao kwa kujua au kutokujua wana mawazo kama wewe. Vipi, ni wenzako? Kama siyo tukutane Tahrir mwisho wa matatizo:
Tunataka haki? Hatutaki tozo? Tukutane Tahrir
Hahahahah.......Mkuu mbona wewe hutaki kuitwa chawa lakini unapenda kuita wenzio machawa?! Niliamua kukuita chawa wa Mwabukusi nikitaka kuona unajisikiaje kuitwa chawa? Ukiita wenzako cahwa Na wewe ikubali kuitwa chawa. Action must be equal to reaction.
Mbona Mwanza hukuonekana au ulikuwa unasubiri Mbowe atangulie. Acheni kudanganya watu, eti leo Slaa anataka aungane na Lissu aliyefurahia kupigwa kwake risasi.
Boss unapinga uchawa au tozo?! Hueleweki kabsaaaa?!