CHADEMA wakaneni hadharani chawa hawa wa mitandaoni


Tujikumbushe:

Your browser is not able to display this video.


Kuwapiga vita chawa bila kujali waliko ni jukumu takatifu.

Cc: imhotep
 
Mkuu brazaj , naunga mkono hoja, angalia tarehe ya uzi huu Swali: CHADEMA Ifanye Nini Kuwadhibiti kina Shibuda Wapya?
P
 

Salamaleko Ustaadhi, tusiache kujikumbusha.

Ama kweli tumetoka mbali!
 
Nionavyo mimi wewe ndio uwe wa kwanza kukemewa na Chadema uache unafiki maandazi kuwatetea watu kina (Slaa) waliokataliwa na chama.

Bado hukuwa umekemewa ndiyo maana uko rasmi kikazi zaidi:

 
Salamaleko Ustaadhi, tusiache kujikumbusha.

Ama kweli tumetoka mbali!

Umeumbuka siyo? Kumbe wananchi wana upuuzi? Sisi huo hatuujui kwa maana hao ndiyo mabosi wetu.

Msidhani hatuwajui. Kutwa kucha mnahaha kutusambaratisha:

Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa

Rudisheni mrejesho:

"Kimenuka!"
Naona unabwatuka tu, uadhani katka hilo sakata kauli yangu imewahi kubadilika? Sijawahi kubadilisha kauli, najiulza hata unavyoni quote na kujiongeleasha una maanisha nini.
 
Seems seriously frustrated. Wacha nikuachie.

Hopefully you are very much impressed with the going.

Bila shaka mlikuwa kwenye kupanda bangi.



Bure kabisa!
 
Mbona hao chawa huwataji zaidi ya ngonjera???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ