Uchaguzi 2020 CHADEMA wakipata Wabunge zaidi ya watatu tuwapongeze

Uchaguzi 2020 CHADEMA wakipata Wabunge zaidi ya watatu tuwapongeze

No watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi.
P
Hahaha! Ama kweli mmewabana wapinzani. Nimeamini uchaguzi Tanzania ni wakati wa vote counting! Siyo nyomi ya kampeni ama vote casting.

Nimejaribu kunukuu haya maneno toka kwenye uzi wako fulani hivi Pascal Mayalla. Kila nikiona rafu uzi wako huo naukumbuka.
 
No watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi.
P
Ahaa tatizo humu tunabishana na watu ambao ni maskini na choka mbaya sana

Watu ambao hawajui Future ya watoto wao ni shida sana sana

Mtu ambaye hajui yeye akitoweka watoto wake wataishi vipi ni shida sana sana

Kuna watu humu nawafahamu wana wake vimeo sana In case of anything watoto wake ndio mwisho wa maisha

Sasa badala ya kujadili habari za wajukuu wao wataishi vipi wanajadili ccm wengi bungeni

Mbona ccm ni wengi lakini kwa umaskini wenu mnapata kura moja kura za maoni kwanini?

Know who know how

Hapa duniani ni connection tu

You are wasting your idiotic time here
 
Kwa kuwa kura yangu ya uRais sikumpa Magufuli, na ubunge sikuwapa CCM, hata wakiiba Mimi najua sitamtambua moyoni mwangu Magufuli Kama Rais wa nchi nzuri ya Tanzania hata mkimtangaza.
Pole
 
Kwa kweli kwa masanduku na mabegi ya kura zilizopigwa tayari niliyoona, kutokuwepo kwa mawakala vituoni, NEC, Msajili, TISS, Polisi, TCRA, Mamlaka ya Anga, makampuni ya simu, TISS, TCRA, Msajili wa Vyama, vyombo vya habari, makampuni ya simu, CCM kulala na masanduku ya kura baada ya kura za 27 Okt 2020 kule Zanzibar, nk. hata wakipata mbunge/diwani mmoja nitawashangaa CCM (siyo CHADEMA). Itakuwa ni muujiza wa Mungu.
 
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Povuuuuuuuuu
Umaskini mbaya sana sana, huna uwezo wa kuishi na kujenga maisha bila kujipendekeza na majungu
 
No watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi.
P
Hata isipopata mbunge mmoja wewe kama CCM utanufaika vipi? Wamepambana wametimiza wajibu wao hata bunge zima likiwa CCM unafikiri ndio mifuko ya watanzania itatuna? Maisha yao yataboreka bila wabunge wa upinzani? Miaka yote hii majority ya wabunge si ni ccm? Nini kimebadilika
 
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Povuuuuuuuuu
Mwana CCM humu ni Gussie tu
 
Tuliwaonya kwamba urais ni zaidi ya kwenda kununua nyanya kariakoo huku housegirl mwenye kazi hiyo akiwa nyumbani
 
No watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi.
P
Naniwe hivyo ili wabaki ccm peke yao tuione hiyo kasi ya maendeleo...
Na ikiwa haitoshi "zile enzi za watu kuvaa chachacha na kukimbiza magari ya ugawaji naziona zikirudi...
Kizuri wanaoshangilia leo watalia kilio cha majuto na waliowapuuza...
Zidumu fikra za.... 😀 😀
 
Back
Top Bottom