johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #61
Bwashee hapo Machame mmemaliza kuhesabu kura?Baada ya hapo ndiyo utarudishiwa tendag ya kampuni media yako kwenye shuhuli za serikali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwashee hapo Machame mmemaliza kuhesabu kura?Baada ya hapo ndiyo utarudishiwa tendag ya kampuni media yako kwenye shuhuli za serikali?
Duh, Duh, Duh...!, haiwezekani!. siamini mpaka tangazo rasmi!.Na muda huu Nachingwea Chadema imeshinda kata 14 kati ya 15. Utasaga meno nakueleza
Thubutu!Jimbo la Nachingwea nalo rasmi limeenda Chadema
Labda Nachingwea ya TwitterNa muda huu Nachingwea Chadema imeshinda kata 14 kati ya 15. Utasaga meno nakueleza
Nimemaliza mkuu. Now naelekea Iringa mjini nako kuna BREAKING NEWS. Wahehe wamebana kila konaThubutu!
Chama watumishi sana kile. Hawanaga muda wa kujifunza wala hawabadiliki
Tunasubiri matokeo Yohanne
Mzee Mgaya yuko kihesa muda huu hapo Iringa ananiambia kijani imeshamiri!Nimemaliza mkuu. Now naelekea Iringa mjini nako kuna BREAKING NEWS. Wahehe wamebana kila kona
Hujaongelea masanduku na kura bandia zilizo kamatwa sehemu kubwa ya nchi pia mawakala walio ondolewa kwenye vituo pasi na sababu za msingi hebu toa neno kuhusu hilo mdogo wangu paschal mayallaNo watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi!.
P
Jibu zuri sana hiliHata isipopata mbunge mmoja wewe kama CCM utanufaika vipi? Wamepambana wametimiza wajibu wao hata bunge zima likiwa CCM unafikiri ndio mifuko ya watanzania itatuna? Maisha yao yataboreka bila wabunge wa upinzani? Miaka yote hii majority ya wabunge si ni ccm? Nini kimebadilika
Dhuluma iko wapi bwashee!dunia inaenda Kasi sanaa mtu anasifia dhuruma na wizi
Hata mimi, na nimempiga chini mchepuko wangu kwa kumchagua Gwajima, mke wangu amefuata masharti yangu amechagua vilivyo bora,.Kwa kuwa kura yangu ya uRais sikumpa Magufuli, na ubunge sikuwapa CCM, hata wakiiba Mimi najua sitamtambua moyoni mwangu Magufuli Kama Rais wa nchi nzuri ya Tanzania hata mkimtangaza.
Leo nina furaha sana kwa kumchinjilia mbali jiwe.
Msigwa keshapita.Kiukweli endapo CHADEMA watabahatika kupata wabunge watatu au zaidi basi watastahili kupongezwa...
Umekariri wewe.Msigwa keshapita.
Mdee keshapita.
Lemma keshapita.
Mbowe keshapita.
Sugu keshapita.
Bulaya keshapita.
Matiko keshapita.
Catherine keshapita.
Niendelee?
Kuandika tu kiswahili unashindwa utakuwa ndo mazezeta yale ya ccm nduguNi muda sasa wa yule kibaraka wa wazungu kurudi ulaya na. Wafuadi wake wale mafarao wabaki wakipiga miayo naona hata uzi kila muda wa CDM utayeyuka kabisa walizoea kuandika humu mara ooho Lisu akishinda kwenye kura hawajaenda kituo kingine mgombea anakomea kura moja tu
sent from HUAWEI
Pascal huu uchocheziNo watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi!.
P
[emoji23][emoji23]Umekariri wewe.
Hapa Kawe Gwajima anaongoza kwa mbali kabisa!