Uchaguzi 2020 CHADEMA wakipata Wabunge zaidi ya watatu tuwapongeze

Uchaguzi 2020 CHADEMA wakipata Wabunge zaidi ya watatu tuwapongeze

Ccm wanadhani chadema ndo adui yao mkubwa mnajidanganya sana yawezekana ni kweli wasipate mbunge hata mmoja unadhani madhara ni ya mbowe? Lissu ? au sugu? ,tunaenda kuzika rasmi muhimili wa bunge cz wakibaki ccm wenyew itakuwa ni ndiooooooooo kwenda mbele,naililia Tanzania yangu tukutane 2025
 
Ccm wanadhani chadema ndo adui yao mkubwa mnajidanganya sana yawezekana ni kweli wasipate mbunge hata mmoja unadhani madhara ni ya mbowe? Lissu ? au sugu? ,tunaenda kuzika rasmi muhimili wa bunge cz wakibaki ccm wenyew itakuwa ni ndiooooooooo kwenda mbele,naililia Tanzania yangu tukutane 2025
Napenda wote tuwe CCM tubaki chama kimoja,maana wapinzani wanaonekana Kama maharamia wakati Ni watanzania.Viongozi wote wa Upinzani hamieni CCM ili walalahoi tuisome namba vizuri.
 
Ccm wanadhani chadema ndo adui yao mkubwa mnajidanganya sana yawezekana ni kweli wasipate mbunge hata mmoja unadhani madhara ni ya mbowe? Lissu ? au sugu? ,tunaenda kuzika rasmi muhimili wa bunge cz wakibaki ccm wenyew itakuwa ni ndiooooooooo kwenda mbele,naililia Tanzania yangu tukutane 2025
Hiyo 2025 bila tume huru,tunajidanganya.Sisiem hii haiwez toka madarakani na makaratasi.Maana wamejipanga kila eneo.Pole nyingi kwa upinzani.
 
Napenda wote tuwe CCM tubaki chama kimoja,maana wapinzani wanaonekana Kama maharamia wakati Ni watanzania.Viongozi wote wa Upinzani hamieni CCM ili walalahoi tuisome namba vizuri
Wapinzani wa sasa wamejitoa mhanga kupambana n mkoloni mweusi ccm n madhira wanayopata ni makubwa sana wakiamua na wao waungane kula keki ya taifa nani ataonesha maovu ktk jamii? Inauma sana sana ila kama kwl mungu yupo atalipia 2
 
Hiyo 2025 bila tume huru,tunajidanganya.Sisiem hii haiwez toka madarakani na makaratasi.Maana wamejipanga kila eneo.Pole nyingi kwa upinzani.
Jipe pole wewe na sio upinzani coz leo hii wakiamua kuunga juhudi like dk slaa utawapa pole tena?
 
Miaka mitano.. ya kusubiri Rais kaongea nini ndio waongee.. lazima leo wanalia lia tu...

Magufuli tano tenaaaaaa 💚 💚 💚💛💛💛
 
Ni muda sasa wa yule kibaraka wa wazungu kurudi ulaya na. Wafuadi wake wale mafarao wabaki wakipiga miayo naona hata uzi kila muda wa CDM utayeyuka kabisa walizoea kuandika humu mara ooho Lisu akishinda kwenye kura hawajaenda kituo kingine mgombea anakomea kura moja tu

sent from HUAWEI
 
Ahaaa Mimi ni mwana ccm na nimesomeshwa na wazazi wanaccm na wamefanya kazi huko na tuna kiburi sasa,lakini wazazi waliwaza maisha ya sisi watoto kwanza na si maisha ya ccm
Debe tupu!
 
Leo tumepiga kura.
N ashangaa bado Kuna watu kweli wapumbavu.
Wacha tuone matokeo tu.
Kama Kuna waliofanya ubadhilifu. Wawedisqualified either kupitia Mahakama.

Vinginevyo Maisha yaendelee au mkalinde Ushindi wenu aidha, ni wa NRA, CCM l, chadema, udp, tlp or whatever. . .

Au Kama ninkutetea Ushindi wenu.
 
Back
Top Bottom