Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasasa huna akili kabisa P naona umezeeka ubongoNo watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi!.
P
Wewe si utuulize sisi tulio huku field? Kwa Kawe bado tunaendelea kupokea matokeo ingawa kweli mchuano ni mkubwa. Jimbo la Kibamba limekuwa jepesi sana kwa Chadema kuliko ilivyotarajiwa. Iringa mjini baada ya mkurugenzi kugoma kutangaza matokeo wahehe wameingia mtaani. Now naelekeza nguvu hukoUmekariri wewe.
Hapa Kawe Gwajima anaongoza kwa mbali kabisa!
Ngoja tuone![emoji23][emoji23]
Subiri uone!
Wanawaza ICCMnawaza chini ya kiwango sana ninyi Magamba.
Mchungaji Msigwa ameangukia pua!Wewe si utuulize sisi tulio huku field? Kwa Kawe bado tunaendelea kupokea matokeo ingawa kweli mchuano ni mkubwa. Jimbo la Kibamba limekuwa jepesi sana kwa Chadema kuliko ilivyotarajiwa. Iringa mjini baada ya mkurugenzi kugoma kutangaza matokeo wahehe wameingia mtaani. Now naelekeza nguvu huko
MASKIN PASCAL MAISHA YAMEKUPIGA,, WATANZANIA WAMEKUKATAA, WANA-KAWE WAMEKUDHARAU,, NI DHIHAKA KUPATA KURA MOJA(1), SI KIFICHO TENA INAJULIKANA UMEFILISIKA HUNA CHOCHOTE TENA huna kitega uchumi chochote tena zaidi ya kuhangaika huku JF,, pambana kwa nguvu zote hapa JF kumlamba miguu ili akupe chochote mzee Magufuli mbaya zaidi Magufuli hakupendi alishakuita wewe ni njaa nakweli maneno yanaumba sasa wewe ni njaa tupu..No watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi!.
P
SAWA. Sibishani na wehu!Mchungaji Msigwa ameangukia pua!
Naunga mkono!Mhhh hata mmoja tuwapongeze
Wamepita kwenye keyboards au wamepita wapi mkuu?Msigwa keshapita.
Mdee keshapita.
Lemma keshapita...
Hahahaaaa...... Umeshapanic!SAWA. Sibishani na wehu!
Mhhh hata mmoja tuwapongeze
Kwa uchaguzi huu hata hao 3 watatoka wapi? Kwani kuna DED anayetaka kibarua chake kiote nyasi?Kiukweli endapo CHADEMA watabahatika kupata wabunge watatu au zaidi basi watastahili kupongezwa...
Ndo furaha yenu ee eti huyu naye ni mtetezi wa haki na mwanasheria, poorest product za UDSM. Vipi umeziona zile clip zinazoanika wizi wenu wa kura? Madaraja hayakuwasaidia hadi mkaamua kufanya wizi na vitendo vya aibu vya kutoa nje mawakala wa vyama vya upinzani ili muingize kura zeru haramu?No watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi!.
P
Ili 2025 kuwe na tume huru,inabidi mwaka huu asipite hata mbunge mmoja wa Upinzani vyama vya Upinzani visipate ruzuku yeyote ndio vitakumbuka kuhamasisha kudai katiba mpya na tume huru.Hiyo 2025 bila tume huru,tunajidanganya.Sisiem hii haiwez toka madarakani na makaratasi.Maana wamejipanga kila eneo.Pole nyingi kwa upinzani.