Uchaguzi 2020 CHADEMA wakipata Wabunge zaidi ya watatu tuwapongeze

Uchaguzi 2020 CHADEMA wakipata Wabunge zaidi ya watatu tuwapongeze

Kwa wizi, mkakati uliopo kuhakikisha wabunge wa upinzani wazalendo wanaomnyima usingi jamaa asiongeze muda awarudi bungeni
 
Umekariri wewe.

Hapa Kawe Gwajima anaongoza kwa mbali kabisa!
Wewe si utuulize sisi tulio huku field? Kwa Kawe bado tunaendelea kupokea matokeo ingawa kweli mchuano ni mkubwa. Jimbo la Kibamba limekuwa jepesi sana kwa Chadema kuliko ilivyotarajiwa. Iringa mjini baada ya mkurugenzi kugoma kutangaza matokeo wahehe wameingia mtaani. Now naelekeza nguvu huko
 
Wewe si utuulize sisi tulio huku field? Kwa Kawe bado tunaendelea kupokea matokeo ingawa kweli mchuano ni mkubwa. Jimbo la Kibamba limekuwa jepesi sana kwa Chadema kuliko ilivyotarajiwa. Iringa mjini baada ya mkurugenzi kugoma kutangaza matokeo wahehe wameingia mtaani. Now naelekeza nguvu huko
Mchungaji Msigwa ameangukia pua!
 
Embu nilale usingizi mie kata yetu kashinda mtu wa ccm yaani full mvurugano na haya yote wamesababisha ccm kuharibu upinzani kwa kiasi kikubwa
 
No watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi!.
P
MASKIN PASCAL MAISHA YAMEKUPIGA,, WATANZANIA WAMEKUKATAA, WANA-KAWE WAMEKUDHARAU,, NI DHIHAKA KUPATA KURA MOJA(1), SI KIFICHO TENA INAJULIKANA UMEFILISIKA HUNA CHOCHOTE TENA huna kitega uchumi chochote tena zaidi ya kuhangaika huku JF,, pambana kwa nguvu zote hapa JF kumlamba miguu ili akupe chochote mzee Magufuli mbaya zaidi Magufuli hakupendi alishakuita wewe ni njaa nakweli maneno yanaumba sasa wewe ni njaa tupu..
 
Nadhani unatumia makadi kufikiri
Sina hakika kama hata unaelewa unachoongea chief

Hivi unaelewa kuwa kauli ya mwanasiasa inatosha kubadili maisha ya wananchi kabisa
 
Kiukweli endapo CHADEMA watabahatika kupata wabunge watatu au zaidi basi watastahili kupongezwa...
Kwa uchaguzi huu hata hao 3 watatoka wapi? Kwani kuna DED anayetaka kibarua chake kiote nyasi?

Ila matokeo yake ni uwezekano mkubwa wa nchi kuwaka moto kila mahali, hili likitokea hata hao watakaoshinda makalio yao lazima yatawaka moto!
 
No watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi!.
P
Ndo furaha yenu ee eti huyu naye ni mtetezi wa haki na mwanasheria, poorest product za UDSM. Vipi umeziona zile clip zinazoanika wizi wenu wa kura? Madaraja hayakuwasaidia hadi mkaamua kufanya wizi na vitendo vya aibu vya kutoa nje mawakala wa vyama vya upinzani ili muingize kura zeru haramu?
 
Hiyo 2025 bila tume huru,tunajidanganya.Sisiem hii haiwez toka madarakani na makaratasi.Maana wamejipanga kila eneo.Pole nyingi kwa upinzani.
Ili 2025 kuwe na tume huru,inabidi mwaka huu asipite hata mbunge mmoja wa Upinzani vyama vya Upinzani visipate ruzuku yeyote ndio vitakumbuka kuhamasisha kudai katiba mpya na tume huru.
 
Back
Top Bottom