Uchaguzi 2020 CHADEMA wakipata Wabunge zaidi ya watatu tuwapongeze

Uchaguzi 2020 CHADEMA wakipata Wabunge zaidi ya watatu tuwapongeze

Kwa kweli kwa masanduku na mabegi ya kura zilizopigwa tayari niliyoona, kutokuwepo kwa mawakala vituoni, NEC, Msajili, TISS, Polisi, TCRA, Mamlaka ya Anga, makampuni ya simu, TISS, TCRA, Msajili wa Vyama, vyombo vya habari, makampuni ya simu, CCM kulala na masanduku ya kura baada ya kura za 27 Okt 2020 kule Zanzibar, nk. hata wakipata mbunge/diwani mmoja nitawashangaa CCM (siyo CHADEMA). Itakuwa ni muujiza wa Mungu.
Mbazi ikikosa maua husingizia jua!
 
Wapinzani wa sasa wamejitoa mhanga kupambana n mkoloni mweusi ccm n madhira wanayopata ni makubwa sana wakiamua na wao waungane kula keki ya taifa nani ataonesha maovu ktk jamii? Inauma sana sana ila kama kwl mungu yupo atalipia 2
Viongozi wanapambana lakini wameachiwa wachache pia wananchi wanaona Kama sawa tu hawaoni umuhimu wa Upinzani ngoja turudi kwenye mfumo wa chama kimoja labda wanyonge akili zitatukaa sawa
 
Tena ukiona mwanamke wa upinzani kashinda jimbo mpe shkamoo kubwa!
Halima mdee ni mwanamke na nusu ht akishindwa anapambana ile ile c km kina heche kutwa kulalamika twitter
 
Tena ukiona mwanamke wa upinzani kashinda jimbo mpe shkamoo kubwa!
Halima mdee ni mwanamke na nusu ht akishindwa anapambana ile ile c km kina heche kutwa kulalamika twitter
Godbless Lema huwa analalamika Sana Mtandaoni ila Halima chuma yule anaingia front line mwenyewe
 
Mnakwapua masanduku na kutimua mbio halafu mmasherekea ushindi wa mezani? Unafikiri hii ni 1990's eh? Dunia inawatizama tu
 
MASKIN PASCAL MAISHA YAMEKUPIGA,, WATANZANIA WAMEKUKATAA, WANA-KAWE WAMEKUDHARAU,, NI DHIHAKA KUPATA KURA MOJA(1), SI KIFICHO TENA INAJULIKANA UMEFILISIKA HUNA CHOCHOTE TENA huna kitega uchumi chochote tena zaidi ya kuhangaika huku JF,, pambana kwa nguvu zote hapa JF kumlamba miguu ili akupe chochote mzee Magufuli mbaya zaidi Magufuli hakupendi alishakuita wewe ni njaa nakweli maneno yanaumba sasa wewe ni njaa tupu..
Its True, ni kweli kauli huumba, na yote usemayo kunihusu mimi na hali yangu ni kweli, ila japo ni kweli kauli huumba, kauli nyingine ni za binadamu tuu, Mungu yupo.
P
 
Back
Top Bottom