Hahaha! Ama kweli mmewabana wapinzani. Nimeamini uchaguzi Tanzania ni wakati wa vote counting! Siyo nyomi ya kampeni ama vote casting.No watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi.
P
Ahaa tatizo humu tunabishana na watu ambao ni maskini na choka mbaya sanaNo watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi.
P
Ndio maana ulipata kura 1 kazi kujipendekeza tuNo watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1,anastahili pongezi.
P
PoleKwa kuwa kura yangu ya uRais sikumpa Magufuli, na ubunge sikuwapa CCM, hata wakiiba Mimi najua sitamtambua moyoni mwangu Magufuli Kama Rais wa nchi nzuri ya Tanzania hata mkimtangaza.
Umaskini mbaya sana sana, huna uwezo wa kuishi na kujenga maisha bila kujipendekeza na majungu[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Povuuuuuuuuu
Ahaaa Mimi ni mwana CCM na nimesomeshwa na wazazi wanaccm na wamefanya kazi huko na tuna kiburi sasa, lakini wazazi waliwaza maisha ya sisi watoto kwanza na si maisha ya CCMUmeshapanic!
Natunza kumbukumbuNo watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi.
P
Wewe huna uccm wowote, Tangu lini mwana ccm akaongelea ubungeGazeti La Sani
Zilipendwa
Ndio Akili za Vibendera wa Chadema mlizo bakinazo
Hata isipopata mbunge mmoja wewe kama CCM utanufaika vipi? Wamepambana wametimiza wajibu wao hata bunge zima likiwa CCM unafikiri ndio mifuko ya watanzania itatuna? Maisha yao yataboreka bila wabunge wa upinzani? Miaka yote hii majority ya wabunge si ni ccm? Nini kimebadilikaNo watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi.
P
Mwana CCM humu ni Gussie tu[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Povuuuuuuuuu
Kama kwa kutukana watu itakupunguzia hasira, stress, na usongo wa kushindwa and make you happy, be happy!.Kwa mnaoufanya a ti mnakubalika wajinga hamna mnalowezakulifanya kwenye uchaguzi huru. Njaa zako tu ...wee
Naniwe hivyo ili wabaki ccm peke yao tuione hiyo kasi ya maendeleo...No watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi.
P
Upinzani inabidi wasipate hata mbunge mmoja,Rais ashinde zaidi ya Asilimia 99 kusiwe na ruzuku kabisa ya Upinzani vyama vyote vife,Tanzania ibaki CCM pekee yakeNo watatu wengi, upinzani hata ukipata Mbunge 1, anastahili pongezi.
P