Mandiko yanasema, Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, Hivi mandiko yanaposema hivyo huwa inamaanisha nini?
Mambo yanayohitaji utumie nguvu zako kuyakabili na inawezekana kufanya hivyo, fanya, yale yanayohitajika kuyafanya kutumia akili zako na upo upenyo wa aina hiyo fanya, Mungu ni Mungu wa yasiyoaezekana,
Unauchungu na jambo lako, usimfanye Mungu awe mwanasiasa, Unamvalia na gwanda zako na bendera zako kumshawishi awe mwana siasa na kamela juu, 😂 jamani mjue mnafanya vituko kweli kweli, Nani alowaambia kwamba Mungu anaweza kuwa sehemu ya siasa zenu?
Unaweza ukawa na jambo jema la kumwambia Mwenyezi Mungu, lakini ukajikuta umekosea namba ya kumwendea
Tukiacha kukumbushana, tutajikuta tukipoteza muda mwingi ambapo muda huo ungeweza kutusaidi kutufanya tukaingiza chochote kitu
Kama ilivyo kwa Simba na Yanga, ndivyo ilivyo kwa Chadema ama CCM kuwa, Mwenyezi Mungu hana chama na wala hana kadi ya chama chochote, Mungu anachokifanya ni kuweka ulinzi wake katika mechi ili watu wake wasiumie ila hawezi kuwa sababu ya Yanga wala simba kushinda mechi siku hiyo!
Mambo ya Sheria yafanyike kwa sheria zilezile ambazo kama nchi tulipatana kuwa kukitokea hivi, kutafanyika hivi, likitokea jambo hili, basi kifanyike kile
Tunamwendea Mwenyezi Mungu tukiwa na dhana ya kishabiki kwamba Mungu naye awe sehemu ya ushabiki huo? tunafanya maombi kwa sare na kurekodi maombi yetu kwa faida ya nani? Kwani Mwenyezi Mungu ndio hao mnaopenda waone sare zenu, jinsi mnavyoomba ama Mwenyezi Mungu kama anavyosema katika Neno lake ameketi mahali pa siri?
Chadema acheni utoto.
Mambo yanayohitaji utumie nguvu zako kuyakabili na inawezekana kufanya hivyo, fanya, yale yanayohitajika kuyafanya kutumia akili zako na upo upenyo wa aina hiyo fanya, Mungu ni Mungu wa yasiyoaezekana,
Unauchungu na jambo lako, usimfanye Mungu awe mwanasiasa, Unamvalia na gwanda zako na bendera zako kumshawishi awe mwana siasa na kamela juu, 😂 jamani mjue mnafanya vituko kweli kweli, Nani alowaambia kwamba Mungu anaweza kuwa sehemu ya siasa zenu?
Unaweza ukawa na jambo jema la kumwambia Mwenyezi Mungu, lakini ukajikuta umekosea namba ya kumwendea
Tukiacha kukumbushana, tutajikuta tukipoteza muda mwingi ambapo muda huo ungeweza kutusaidi kutufanya tukaingiza chochote kitu
Kama ilivyo kwa Simba na Yanga, ndivyo ilivyo kwa Chadema ama CCM kuwa, Mwenyezi Mungu hana chama na wala hana kadi ya chama chochote, Mungu anachokifanya ni kuweka ulinzi wake katika mechi ili watu wake wasiumie ila hawezi kuwa sababu ya Yanga wala simba kushinda mechi siku hiyo!
Mambo ya Sheria yafanyike kwa sheria zilezile ambazo kama nchi tulipatana kuwa kukitokea hivi, kutafanyika hivi, likitokea jambo hili, basi kifanyike kile
Tunamwendea Mwenyezi Mungu tukiwa na dhana ya kishabiki kwamba Mungu naye awe sehemu ya ushabiki huo? tunafanya maombi kwa sare na kurekodi maombi yetu kwa faida ya nani? Kwani Mwenyezi Mungu ndio hao mnaopenda waone sare zenu, jinsi mnavyoomba ama Mwenyezi Mungu kama anavyosema katika Neno lake ameketi mahali pa siri?
Chadema acheni utoto.