- Thread starter
- #41
Hizi siasa za Chadema ni mbovu na hazifai, kwa sasa hivi ndio wanaona eti Mungu anaweza kutoa msaada kwaoNi wajinga sana hawa watu!
Magufuli aliposema tufunge na kuomba ili atuepushe na janga la corona, wenyewe wakawa wanamkejeli eti Mungu ana kazi nyingi za kufanya! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Machadema ni kama hayana vichwa!