Huyu wa pili kutokea chama cha mboga mboga kuamini hivyo maana alianza mwenyekiti wao kufanyia vikao madhabahuniNahisi toka nijiunge JF wewe ndio nimekuona mtu wa kwanza unayejifanya unamfahamu mungu
Halafu kwa kukujuza zaidi mimi sikupingi kwa kuwa pengine mimi ni mwanachadema,mimi sio mwanachadema,hata ningejua wewe ni ccm nisingekupinga kwa u-ccm wako.Mimi ninakupinga kwa kile ulichokiandika ambacho kinaakisi upumbavu wako.Kinachonishangaza kingine, Chadema hamjawahi kuamini uweza wa Mungu, rejea maombi ya korona, sasa kinachowafanya mkimbilie kwake leo ni kipi sasa?
Sasa kama mnakutanika miongoni mwenu kama wewe hauamini hata uwepo wa Mungu, mnachokuwa mnakifanya ni nini sasa wajinga nyinyi?Halafu kwa kukujuza zaidi mimi sikupingi kwa kuwa pengine mimi ni mwanachadema,mimi sio mwanachadema,hata ningejua wewe ni ccm nisingekupinga kwa u-ccm wako.Mimi ninakupinga kwa kile ulichokiandika ambacho kinaakisi upumbavu wako.
Popoma wewe ungekuwa unamjua mungu ungekuwa unashika sheria zake moja wapo ikiwemo ya kutokuwa mpumbavu.Siwashiwi kwamba eti mtu popoma kama wewe unamjua munguSasa kama mnakutanika miongoni mwenu kama wewe hauamini hata uwepo wa Mungu, mnachokuwa mnakifanya ni nini sasa wajinga nyinyi?
Nini kinawaogopesha kuhusu haya maombi ? Kwani wakisali wanawachukulia nini kilicho chenu?Mandiko yanasema, Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, Hivi mandiko yanaposema hivyo huwa inamaanisha nini?
Mambo yanayohitaji utumie nguvu zako kuyakabili na inawezekana kufanya hivyo, fanya, yale yanayohitajika kuyafanya kutumia akili zako na upo upenyo wa aina hiyo fanya, Mungu ni Mungu wa yasiyoaezekana,
Unauchungu na jambo lako, usimfanye Mungu awe mwanasiasa, Unamvalia na gwanda zako na bendera zako kumshawishi awe mwana siasa na kamela juu, 😂 jamani mjue mnafanya vituko kweli kweli, Nani alowaambia kwamba Mungu anaweza kuwa sehemu ya siasa zenu?
Unaweza ukawa na jambo jema la kumwambia Mwenyezi Mungu, lakini ukajikuta umekosea namba ya kumwendea
Tukiacha kukumbushana, tutajikuta tukipoteza muda mwingi ambapo muda huo ungeweza kutusaidi kutufanya tukaingiza chochote kitu
Kama ilivyo kwa Simba na Yanga, ndivyo ilivyo kwa Chadema ama CCM kuwa, Mwenyezi Mungu hana chama na wala hana kadi ya chama chochote, Mungu anachokifanya ni kuweka ulinzi wake katika mechi ili watu wake wasiumie ila hawezi kuwa sababu ya Yanga wala simba kushinda mechi siku hiyo!
Mambo ya Sheria yafanyike kwa sheria zilezile ambazo kama nchi tulipatana kuwa kukitokea hivi, kutafanyika hivi, likitokea jambo hili, basi kifanyike kile
Tunamwendea Mwenyezi Mungu tukiwa na dhana ya kishabiki kwamba Mungu naye awe sehemu ya ushabiki huo? tunafanya maombi kwa sare na kurekodi maombi yetu kwa faida ya nani? Kwani Mwenyezi Mungu ndio hao mnaopenda waone sare zenu, jinsi mnavyoomba ama Mwenyezi Mungu kama anavyosema katika Neno lake ameketi mahali pa siri?
Chadema acheni utoto.
Mungu daima anasimamia HAKI. Mungu daima hapendi DHULMA. Mungu hapendi uonevu. Dai kubwa la CHADEMA ni kuwa na uwanja ulio sawa wa kufanya siasa. Sio zaidi ya hapo. Umetoa mfano wa Simba na Yanga, kwamba Mungu hawezi kupendelea yeyote kati yao. Ni kweli. Lakini vipi kama Yanga ndio waweke refa wao, linesmen wao, kamisaa wao. Halafu refa anatoa kadi nyekundu kwa wachezaji 5 wa Simba wanatolewa nje, na golikipa pia, hiyo mechi Mungu ataifurahia? Ndiyo ccm inavyofanya. Hapo Mungu mbona anahusika sana tuMandiko yanasema, Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, Hivi mandiko yanaposema hivyo huwa inamaanisha nini?
Mambo yanayohitaji utumie nguvu zako kuyakabili na inawezekana kufanya hivyo, fanya, yale yanayohitajika kuyafanya kutumia akili zako na upo upenyo wa aina hiyo fanya, Mungu ni Mungu wa yasiyoaezekana,
Unauchungu na jambo lako, usimfanye Mungu awe mwanasiasa, Unamvalia na gwanda zako na bendera zako kumshawishi awe mwana siasa na kamela juu, 😂 jamani mjue mnafanya vituko kweli kweli, Nani alowaambia kwamba Mungu anaweza kuwa sehemu ya siasa zenu?
Unaweza ukawa na jambo jema la kumwambia Mwenyezi Mungu, lakini ukajikuta umekosea namba ya kumwendea
Tukiacha kukumbushana, tutajikuta tukipoteza muda mwingi ambapo muda huo ungeweza kutusaidi kutufanya tukaingiza chochote kitu
Kama ilivyo kwa Simba na Yanga, ndivyo ilivyo kwa Chadema ama CCM kuwa, Mwenyezi Mungu hana chama na wala hana kadi ya chama chochote, Mungu anachokifanya ni kuweka ulinzi wake katika mechi ili watu wake wasiumie ila hawezi kuwa sababu ya Yanga wala simba kushinda mechi siku hiyo!
Mambo ya Sheria yafanyike kwa sheria zilezile ambazo kama nchi tulipatana kuwa kukitokea hivi, kutafanyika hivi, likitokea jambo hili, basi kifanyike kile
Tunamwendea Mwenyezi Mungu tukiwa na dhana ya kishabiki kwamba Mungu naye awe sehemu ya ushabiki huo? tunafanya maombi kwa sare na kurekodi maombi yetu kwa faida ya nani? Kwani Mwenyezi Mungu ndio hao mnaopenda waone sare zenu, jinsi mnavyoomba ama Mwenyezi Mungu kama anavyosema katika Neno lake ameketi mahali pa siri?
Chadema acheni utoto.
Japanese unaamini unahoja?? Vita anavyopigwa mbowe na bado anasimamia anachoamini ingekuwa wewe ungemudu? Hatakama mtu anaushirika na majini bora ukae kimya maana hatashetani atakuwa anastaajabuMandiko yanasema, Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, Hivi mandiko yanaposema hivyo huwa inamaanisha nini?
Mambo yanayohitaji utumie nguvu zako kuyakabili na inawezekana kufanya hivyo, fanya, yale yanayohitajika kuyafanya kutumia akili zako na upo upenyo wa aina hiyo fanya, Mungu ni Mungu wa yasiyoaezekana,
Unauchungu na jambo lako, usimfanye Mungu awe mwanasiasa, Unamvalia na gwanda zako na bendera zako kumshawishi awe mwana siasa na kamela juu, 😂 jamani mjue mnafanya vituko kweli kweli, Nani alowaambia kwamba Mungu anaweza kuwa sehemu ya siasa zenu?
Unaweza ukawa na jambo jema la kumwambia Mwenyezi Mungu, lakini ukajikuta umekosea namba ya kumwendea
Tukiacha kukumbushana, tutajikuta tukipoteza muda mwingi ambapo muda huo ungeweza kutusaidi kutufanya tukaingiza chochote kitu
Kama ilivyo kwa Simba na Yanga, ndivyo ilivyo kwa Chadema ama CCM kuwa, Mwenyezi Mungu hana chama na wala hana kadi ya chama chochote, Mungu anachokifanya ni kuweka ulinzi wake katika mechi ili watu wake wasiumie ila hawezi kuwa sababu ya Yanga wala simba kushinda mechi siku hiyo!
Mambo ya Sheria yafanyike kwa sheria zilezile ambazo kama nchi tulipatana kuwa kukitokea hivi, kutafanyika hivi, likitokea jambo hili, basi kifanyike kile
Tunamwendea Mwenyezi Mungu tukiwa na dhana ya kishabiki kwamba Mungu naye awe sehemu ya ushabiki huo? tunafanya maombi kwa sare na kurekodi maombi yetu kwa faida ya nani? Kwani Mwenyezi Mungu ndio hao mnaopenda waone sare zenu, jinsi mnavyoomba ama Mwenyezi Mungu kama anavyosema katika Neno lake ameketi mahali pa siri?
Chadema acheni utoto.
wewe unaona kuna mtu anaogopa hapo? tunakukumbusha kwamba utaratibu mnaoutumia kimaombi, sudhani kama ni sawa kwa sababu mpo kichama zaidi na Mungu si wa chama!Nini kinawaogopesha kuhusu haya maombi ? Kwani wakisali wanawachukulia nini kilicho chenu?
Imeandikwa wawepo wawili nami nitajumuika katikati yao..sasa mnapungukiwa na nini nyie CCM kama wakimlilia Mungu wao kwa yanayowasibu?
mtindo wanaoutumia hawa wenzetu kumwomba Mungu ni sawa kutaka kumshawishi awe wa Chadema ni sahihi, magwanda, makamera na matangazo mbalimbali ya chama, hiyo ni sawa au ni mtazamo wao usio na faida kwa Mwenyezi Mungu?MUNGU hana chama wala hana kadi ya chama wala Yeye si mwanasiasa lakini; MUNGU anasimamia KWELI na HAKI.
Palipo na "uonevu", wakati mwingine huingilia kati na kuwasaidia wale wanaoonewa ikiwa tu ataamua sawa na mapenzi yake.
Mandiko yanasema, Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, Hivi mandiko yanaposema hivyo huwa inamaanisha nini?
Mambo yanayohitaji utumie nguvu zako kuyakabili na inawezekana kufanya hivyo, fanya, yale yanayohitajika kuyafanya kutumia akili zako na upo upenyo wa aina hiyo fanya, Mungu ni Mungu wa yasiyoaezekana,
Unauchungu na jambo lako, usimfanye Mungu awe mwanasiasa, Unamvalia na gwanda zako na bendera zako kumshawishi awe mwana siasa na kamela juu, 😂 jamani mjue mnafanya vituko kweli kweli, Nani alowaambia kwamba Mungu anaweza kuwa sehemu ya siasa zenu?
Unaweza ukawa na jambo jema la kumwambia Mwenyezi Mungu, lakini ukajikuta umekosea namba ya kumwendea
Tukiacha kukumbushana, tutajikuta tukipoteza muda mwingi ambapo muda huo ungeweza kutusaidi kutufanya tukaingiza chochote kitu
Kama ilivyo kwa Simba na Yanga, ndivyo ilivyo kwa Chadema ama CCM kuwa, Mwenyezi Mungu hana chama na wala hana kadi ya chama chochote, Mungu anachokifanya ni kuweka ulinzi wake katika mechi ili watu wake wasiumie ila hawezi kuwa sababu ya Yanga wala simba kushinda mechi siku hiyo!
Mambo ya Sheria yafanyike kwa sheria zilezile ambazo kama nchi tulipatana kuwa kukitokea hivi, kutafanyika hivi, likitokea jambo hili, basi kifanyike kile
Tunamwendea Mwenyezi Mungu tukiwa na dhana ya kishabiki kwamba Mungu naye awe sehemu ya ushabiki huo? tunafanya maombi kwa sare na kurekodi maombi yetu kwa faida ya nani? Kwani Mwenyezi Mungu ndio hao mnaopenda waone sare zenu, jinsi mnavyoomba ama Mwenyezi Mungu kama anavyosema katika Neno lake ameketi mahali pa siri?
Chadema acheni utoto.
Ye alishindwaje kuombaNi wajinga sana hawa watu!
Magufuli aliposema tufunge na kuomba ili atuepushe na janga la corona, wenyewe wakawa wanamkejeli eti Mungu ana kazi nyingi za kufanya! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Machadema ni kama hayana vichwa!
🤣🤣🤣🤣Mandiko yanasema, Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, Hivi mandiko yanaposema hivyo huwa inamaanisha nini?
Mambo yanayohitaji utumie nguvu zako kuyakabili na inawezekana kufanya hivyo, fanya, yale yanayohitajika kuyafanya kutumia akili zako na upo upenyo wa aina hiyo fanya, Mungu ni Mungu wa yasiyoaezekana,
Unauchungu na jambo lako, usimfanye Mungu awe mwanasiasa, Unamvalia na gwanda zako na bendera zako kumshawishi awe mwana siasa na kamela juu, 😂 jamani mjue mnafanya vituko kweli kweli, Nani alowaambia kwamba Mungu anaweza kuwa sehemu ya siasa zenu?
Unaweza ukawa na jambo jema la kumwambia Mwenyezi Mungu, lakini ukajikuta umekosea namba ya kumwendea
Tukiacha kukumbushana, tutajikuta tukipoteza muda mwingi ambapo muda huo ungeweza kutusaidi kutufanya tukaingiza chochote kitu
Kama ilivyo kwa Simba na Yanga, ndivyo ilivyo kwa Chadema ama CCM kuwa, Mwenyezi Mungu hana chama na wala hana kadi ya chama chochote, Mungu anachokifanya ni kuweka ulinzi wake katika mechi ili watu wake wasiumie ila hawezi kuwa sababu ya Yanga wala simba kushinda mechi siku hiyo!
Mambo ya Sheria yafanyike kwa sheria zilezile ambazo kama nchi tulipatana kuwa kukitokea hivi, kutafanyika hivi, likitokea jambo hili, basi kifanyike kile
Tunamwendea Mwenyezi Mungu tukiwa na dhana ya kishabiki kwamba Mungu naye awe sehemu ya ushabiki huo? tunafanya maombi kwa sare na kurekodi maombi yetu kwa faida ya nani? Kwani Mwenyezi Mungu ndio hao mnaopenda waone sare zenu, jinsi mnavyoomba ama Mwenyezi Mungu kama anavyosema katika Neno lake ameketi mahali pa siri?
Chadema acheni utoto.
Wakati wa sala, MUNGU haangalii mavazi ya mtu au muonekano wa mtu anayesali, MUNGU anaangalia yale ya moyoni mwa mtu, nia ya dhati ya mtu.mtindo wanaoutumia hawa wenzetu kumwomba Mungu ni sawa kutaka kumshawishi awe wa Chadema ni sahihi, magwanda, makamera na matangazo mbalimbali ya chama, hiyo ni sawa au ni mtazamo wao usio na faida kwa Mwenyezi Mungu?
Hapana, Mungu hapendezwi na dhuluma, Mungu anapendezwa na haki, ila pia Mungu huyo huyo ni mwenye kulinda maagano kati yake na watu waliokubaliana nayeMimi sina ufahamu mzuri kwenye siasa ila ukweli nikuwa ulichoandika kina mapungufu mengi
Hoja ni hivi sare za chama cha kisiasa ni utambulisho wao, na kama ni hivyo basi kitendo cha wao kwenda na sare ilikuwa sehemu ya kutambuliwa na kanisa kama ni watu wapi wamefika pale. Mind you! sare sio zilizopeleka maombi kwa Mwenyezi Mungu
Nimeona unaongelea habari za Mwenyezi Mungu sana hivyo naomba nkuulize hili.Vp Mwenyezi Mungu anapendezwa na dhuluma?
Ngoja na tulia yeye ni mwenye haki, kaliumba taifa hili na vitu vyote vilivyomo ,hataliacha Sasa twendeMandiko yanasema, Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, Hivi mandiko yanaposema hivyo huwa inamaanisha nini?
Mambo yanayohitaji utumie nguvu zako kuyakabili na inawezekana kufanya hivyo, fanya, yale yanayohitajika kuyafanya kutumia akili zako na upo upenyo wa aina hiyo fanya, Mungu ni Mungu wa yasiyoaezekana,
Unauchungu na jambo lako, usimfanye Mungu awe mwanasiasa, Unamvalia na gwanda zako na bendera zako kumshawishi awe mwana siasa na kamela juu, 😂 jamani mjue mnafanya vituko kweli kweli, Nani alowaambia kwamba Mungu anaweza kuwa sehemu ya siasa zenu?
Unaweza ukawa na jambo jema la kumwambia Mwenyezi Mungu, lakini ukajikuta umekosea namba ya kumwendea
Tukiacha kukumbushana, tutajikuta tukipoteza muda mwingi ambapo muda huo ungeweza kutusaidi kutufanya tukaingiza chochote kitu
Kama ilivyo kwa Simba na Yanga, ndivyo ilivyo kwa Chadema ama CCM kuwa, Mwenyezi Mungu hana chama na wala hana kadi ya chama chochote, Mungu anachokifanya ni kuweka ulinzi wake katika mechi ili watu wake wasiumie ila hawezi kuwa sababu ya Yanga wala simba kushinda mechi siku hiyo!
Mambo ya Sheria yafanyike kwa sheria zilezile ambazo kama nchi tulipatana kuwa kukitokea hivi, kutafanyika hivi, likitokea jambo hili, basi kifanyike kile
Tunamwendea Mwenyezi Mungu tukiwa na dhana ya kishabiki kwamba Mungu naye awe sehemu ya ushabiki huo? tunafanya maombi kwa sare na kurekodi maombi yetu kwa faida ya nani? Kwani Mwenyezi Mungu ndio hao mnaopenda waone sare zenu, jinsi mnavyoomba ama Mwenyezi Mungu kama anavyosema katika Neno lake ameketi mahali pa siri?
Chadema acheni utoto.
Sikia Mwenyezi Mungu hutoa majibu ya kila jambo kulingana mda wake na pili humjibu kila amwombaye sio kwa wakati wala kwa cheo chakeHapana, Mungu hapendezwi na dhuluma, Mungu anapendezwa na haki, ila pia Mungu huyo huyo ni mwenye kulinda maagano kati yake na watu waliokubaliana naye
Unadhani ni kwanini hata sasa kuna wengi tu magerezani watu ambao hawana hatia? Unadhini Mungu kafumbia macho hao ila mmoja mmja tena tu ni kwa sababu ya cheyo chake kuwa kikubwa na umaarufu wake ndio Mungu ashughurikie sana huyo kuliko wasio maarufu na masikini wa kutupwa ambao wako jela na hawana hatia?
Mungu ni mwenye huruma sana ila siyo wa machafuko
Ni wajinga sana hawa watu!
Magufuli aliposema tufunge na kuomba ili atuepushe na janga la corona, wenyewe wakawa wanamkejeli eti Mungu ana kazi nyingi za kufanya! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Machadema ni kama hayana vichwa!