johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Heri kukosa hizo akili timamu na kutojitambua kuliko kukaa kundi mmoja na watu weziKila mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua vyema ni lazima awe upande wa Rais Samia na kumuunga Mkono kwa kazi nzuri anayoifanya pamoja na uchapakazi wake uliotukuka.
Basi washtakiwe FIFA.
Kila mtanzania au kila chawa wa kitanzania πKila mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua vyema ni lazima awe upande wa Rais Samia na kumuunga Mkono kwa kazi nzuri anayoifanya pamoja na uchapakazi wake uliotukuka.
Simba na Yanga zitakufa baada ya ccm kung"olewa, ndio ilivyotokea Kenya, Gormahia na Leopard baada ya KANU kufaMkurugenzi wa Chadema mh Jon Mrema amesema kitendo Cha Wanachama.wa Yanga kuimba Wana Imani na Samia kwenye Mkutano mkuu wa Klabu ni Kinyume cha kanuni za FIFA
Ukurasani X mh Mrema amesema Sheria za FIFA zinakataza kufungamanisha Siasa na Mpira
My take; Dar Young Africans ni CCM π
Kila mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua . Zingatia maneno kuwa kila mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua.Kila mtanzania au kila chawa wa kitanzania π
Acha kuota ndoto mchana mchana. CCM itaendelea kuwepo madarakani kwa kadri ya uhai wa Taifa letu. CCM ndio Tanzania na Tanzania ndio CCM yenyewe.Simba na Yanga zitakufa baada ya ccm kung"olewa, ndio ilivyotokea Kenya, Gormahia na Leopard baada ya KANU kufa
Kwa hiyo sisi tusio mashabiki wa samia hatuna akili timamu?Kila mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua . Zingatia maneno kuwa kila mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua.
Hakuna mwenye akili Timamu na anayejitambua asiyemuunga mkono Rais Samia.Kwa hiyo sisi tusio mashabiki wa samia hatuna akili timamu?
Yanga ndiyo nchiMkurugenzi wa Chadema mh Jon Mrema amesema kitendo Cha Wanachama.wa Yanga kuimba Wana Imani na Samia kwenye Mkutano mkuu wa Klabu ni Kinyume cha kanuni za FIFA
Ukurasani X mh Mrema amesema Sheria za FIFA zinakataza kufungamanisha Siasa na Mpira
My take; Dar Young Africans ni CCM π
Mbowe na Mdee walikuwepo mkutanoni nao wameimba ππChadema dah π au nyie ni malalamiko foundation?
Wangeimba wana imani na Mbowe Erythrocyte angeleta uzi umerembwa kwa vifijo na nderemo