Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sasa Viongozi wa Kisiasa ndio wanamiliki timu huko duniani na Soka inabebwa na kamari Hiyo Sheria inazihusu Serikali kama Taasisi. 😀Kwamba,samia wa mbangala ndo anaimbwa ,ila sio kizimkazi na magogoni , jaribuni kuwa makini pia
Manji alitaka kujibinafsisha Jengo la Yanga kilichomkuta hatakaa asahau dadeki 😂Kiini Cha Yanga ni TAA, TAA kamzaa TANU.... TANU kamzaa CCM. BENDERA na rangi mama ya jezi za Yanga ni za TAA. Huyo mrema alishawahi kujiuliza mwenge kwenye logo ya Yanga umefuata nini.
Hawa watoto hawajuiManji alitaka kujibinafsisha Jengo la Yanga kilichomkuta hatakaa asahau dadeki 😂
Tutofautishe mpira ma siasa. Mbona hatukulalamika wakati anatoa pesa ya goli La mama na ndege?Mkurugenzi wa Chadema mh Jon Mrema amesema kitendo Cha Wanachama.wa Yanga kuimba Wana Imani na Samia kwenye Mkutano mkuu wa Klabu ni Kinyume cha kanuni za FIFA
Ukurasani X mh Mrema amesema Sheria za FIFA zinakataza kufungamanisha Siasa na Mpira
My take; Dar Young Africans ni CCM 😀
Ahsante sana 😂Tutofautishe mpira ma siasa.Mbona hatukulalamika wakati ana yo a pesa ya goli La mama na ndege?
Mkurugenzi wa CHADEMA mh Jon Mrema amesema kitendo Cha Wanachama.wa Yanga kuimba Wana Imani na Samia kwenye Mkutano mkuu wa Klabu ni Kinyume cha kanuni za FIFA
Ukurasani X mh Mrema amesema Sheria za FIFA zinakataza kufungamanisha Siasa na Mpira
My take; Dar Young Africans ni CCM 😀
Simba SC ni CCM Watupu kuanzia mmiliki MO Dewji hadi Wanachama akina Kigwangalla, Zitto, January, Dr Tulia, Zungu nkCCM wanafurahia hilo kwa sasa .... ila siku Simba nao wakichagua chama ndipo hali ya kisiasa itakapobadilika kabisa. Kwa salama yao CCM wasiendekeze siasa na mpira ..... itawatokea PUANI.
Simba SC ni CCM Watupu kuanzia mmiliki MO Dewji hadi Wanachama akina Kigwangalla, Zitto, January, Dr Tulia, Zungu nk
..nk
Ndiyo maana hizi team hazifiki mbali kimataifaCCM INATAFUTA WAFUASI MPAKA MPIRA NI KOSA KISHERIA
Hata mimi nimemshangaaIna maana hadi sasa Mrema na Chadema hawajui kuwa Yanga ni timu ya CCM?
Yani hili nalo linahitaji mjadala kabisa? Hivi unawezaje kuitenganishs CCM na Yanga?
Ndiyo maana kimataifa huwa hawafiki popote sababu ya upumbavu kama huuIna maana hadi sasa Mrema na Chadema hawajui kuwa Yanga ni timu ya CCM?
Yani hili nalo linahitaji mjadala kabisa? Hivi unawezaje kuitenganishs CCM na Yanga?
Nakubaliana na weweNi furaha kwangu kuona kuna mgogoro mkubwa Simba ambao natamani upelekee kuporomoka na hatimaye kupotea kabisa kwa Simba SC. Halafu baadaye Yanga nako kuje kuwake moto ili nayo ipotee mazima.
Haya yakitokea, ndiyo watanzania akili zitawarudia na kuanza kujadili masuala ya msingi na kuachana na ushabiki wa mambo ya kijinga kama ya Simba na Yanga
Yanga iko mbali sana na sasa wanajenga Uwanja wa kisasa kama ule wa Manchester United 😂Ndiyo maana hizi team hazifiki mbali kimataifa
Mpira ni siasa manka 😀🔥Ndiyo maana kimataifa huwa hawafiki popote sababu ya upumbavu kama huu
Labda Machester ya MagomeniYanga iko mbali sana na sasa wanajenga Uwanja wa kisasa kama ule wa Manchester United 😂
UWT mnatimu?Mpira ni siasa manka 😀🔥
Subiri ujionee hapo Mto Msimbazi 😀Labda Machester ya Magomeni
Tangu nimepata akili nasikia Yanga(Manji) na Simba zinajenga uwanja mpk leo nimezeekaSubiri ujionee hapo Mto Msimbazi 😀