min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Luka wewe ni mtu mzima ujue🙄Hakuna mwenye akili Timamu na anayejitambua asiyemuunga mkono Rais Samia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Luka wewe ni mtu mzima ujue🙄Hakuna mwenye akili Timamu na anayejitambua asiyemuunga mkono Rais Samia.
Kwani kandanda asili yake wapi? 😂Ni furaha kwangu kuona kuna mgogoro mkubwa Simba ambao natamani upelekee kuporomoka na hatimaye kupotea kabisa kwa Simba SC. Halafu baadaye Yanga nako kuje kuwake moto ili nayo ipotee mazima.
Haya yakitokea, ndiyo watanzania akili zitawarudia na kuanza kujadili masuala ya msingi na kuachana na ushabiki wa mambo ya kijinga kama ya Simba na Yanga
Lucas siyo Jaluo 😀😀Luka wewe ni mtu mzima ujue🙄
Narudia kusema kuwa hakuna mwenye akili Timamu na anayejitambua anayeweza kukataa kumuunga mkono Rais Samia. Zingatia maneno Mtu mwenye akili Timamu na anayejitambuaLuka wewe ni mtu mzima ujue🙄
Sema machawaKila mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua vyema ni lazima awe upande wa Rais Samia na kumuunga Mkono kwa kazi nzuri anayoifanya pamoja na uchapakazi wake uliotukuka.
Kwa hiyo mkuu wewe ndio umeshindwa kabisa kuwa na maisha mazuri bila kuwa kwenye mifumo ya kichawa , yaani upambane kwa akili na uvumilivu bila kuwa mpambe wa mtu?Narudia kusema kuwa hakuna mwenye akili Timamu na anayejitambua anayeweza kukataa kumuunga mkono Rais Samia. Zingatia maneno Mtu mwenye akili Timamu na anayejitambua
Wanalalamika au wanakumbusha sheriaChadema dah 😂 au nyie ni malalamiko foundation?
Wangeimba wana imani na Mbowe Erythrocyte angeleta uzi umerembwa kwa vifijo na nderemo
UCHAWA ni taaluma pale Sociology UDSM 😀😀Kwa hiyo mkuu wewe ndio umeshindwa kabisa kuwa na maisha mazuri bila kuwa kwenye mifumo ya kichawa , yaani upambane kwa akili na uvumilivu bila kuwa mpambe wa mtu?
Tufanye Wangeimba wana imani na Mbowe, unadhani ungewaona wakikumbushia hy sheria?Wanalalamika au wanakumbusha sheria
Walitaka waimbe wana imani na mboweKila mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua vyema ni lazima awe upande wa Rais Samia na kumuunga Mkono kwa kazi nzuri anayoifanya pamoja na uchapakazi wake uliotukuka.
Sheria gani imevunjwa kuwa na Imani na mwanachama mwenzao? 🐼Wanalalamika au wanakumbusha sheria
Dogo ,tunahistoria yakufungiwa na FIFA kushiriki michezo kimataifa kwa miaka 10, kisa ujinga huo sisi wengine nje ya kukaza shangazi zako mpira pia starehe yetuTufanye Wangeimba wana imani na Mbowe, unadhani ungewaona wakikumbushia hy sheria?
Ndio huezi mchukia mtu anayepambania nchi yako kwa kusikilza propaganda za upinzaniKwa hiyo sisi tusio mashabiki wa samia hatuna akili timamu?
Kuna machawa angalau wana hoja ila huyu bwana ni kama chawa aliye katwq kichwa.UCHAWA ni taaluma pale Sociology UDSM 😀😀
Kwamba,samia wa mbangala ndo anaimbwa ,ila sio kizimkazi na magogoni , jaribuni kuwa makini piaSheria gani imevunjwa kuwa na Imani na mwanachama mwenzao? 🐼
Hakuna mtu anae mchukia mtu , ila wahenga walisema kizuri chajiuza kibaya cha jitembeza .Ndio huezi mchukia mtu anayepambania nchi yako kwa kusikilza propaganda za upinzani
ni dalili nzuri ya kufa kwa yanga,mwakani watachukua nafasi ya tatu warudi zao shirikishoMkurugenzi wa Chadema mh Jon Mrema amesema kitendo Cha Wanachama.wa Yanga kuimba Wana Imani na Samia kwenye Mkutano mkuu wa Klabu ni Kinyume cha kanuni za FIFA
Ukurasani X mh Mrema amesema Sheria za FIFA zinakataza kufungamanisha Siasa na Mpira
My take; Dar Young Africans ni CCM 😀
😂😂😂Kuna machawa angalau wana hoja ila huyu bwana ni kama chawa aliye katwq kichwa.