Pre GE2025 CHADEMA Walalamika Yanga kuimba " Tuna Imani na Samia" yasema ni Kinyume cha Sheria za FIFA

Pre GE2025 CHADEMA Walalamika Yanga kuimba " Tuna Imani na Samia" yasema ni Kinyume cha Sheria za FIFA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni furaha kwangu kuona kuna mgogoro mkubwa Simba ambao natamani upelekee kuporomoka na hatimaye kupotea kabisa kwa Simba SC. Halafu baadaye Yanga nako kuje kuwake moto ili nayo ipotee mazima.


Haya yakitokea, ndiyo watanzania akili zitawarudia na kuanza kujadili masuala ya msingi na kuachana na ushabiki wa mambo ya kijinga kama ya Simba na Yanga
Kwani kandanda asili yake wapi? 😂
 
Narudia kusema kuwa hakuna mwenye akili Timamu na anayejitambua anayeweza kukataa kumuunga mkono Rais Samia. Zingatia maneno Mtu mwenye akili Timamu na anayejitambua
Kwa hiyo mkuu wewe ndio umeshindwa kabisa kuwa na maisha mazuri bila kuwa kwenye mifumo ya kichawa , yaani upambane kwa akili na uvumilivu bila kuwa mpambe wa mtu?
 
Ndio huezi mchukia mtu anayepambania nchi yako kwa kusikilza propaganda za upinzani
Hakuna mtu anae mchukia mtu , ila wahenga walisema kizuri chajiuza kibaya cha jitembeza .
 
Mkurugenzi wa Chadema mh Jon Mrema amesema kitendo Cha Wanachama.wa Yanga kuimba Wana Imani na Samia kwenye Mkutano mkuu wa Klabu ni Kinyume cha kanuni za FIFA

Ukurasani X mh Mrema amesema Sheria za FIFA zinakataza kufungamanisha Siasa na Mpira

My take; Dar Young Africans ni CCM 😀
ni dalili nzuri ya kufa kwa yanga,mwakani watachukua nafasi ya tatu warudi zao shirikisho
 
Back
Top Bottom