Pre GE2025 CHADEMA Walalamika Yanga kuimba " Tuna Imani na Samia" yasema ni Kinyume cha Sheria za FIFA

Pre GE2025 CHADEMA Walalamika Yanga kuimba " Tuna Imani na Samia" yasema ni Kinyume cha Sheria za FIFA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkurugenzi wa CHADEMA John Mrema amesema kitendo cha Wanachama wa Yanga kuimba Wana Imani na Samia kwenye Mkutano mkuu wa Klabu ni Kinyume cha kanuni za FIFA

Ukurasani X Mrema amesema Sheria za FIFA zinakataza kufungamanisha Siasa na Mpira

View attachment 3013814

View attachment 3013733

My take; Dar Young Africans ni CCM 😀
We huoni ht jezi zao, mambo mengine ni wivu tu, kila kundi lina haki zake. Hata hivyo Samia kwa sasa ni sawa na maji, huwezi kuyaepuka kwa namna yoyote ile.
 
Mkurugenzi wa CHADEMA John Mrema amesema kitendo cha Wanachama wa Yanga kuimba Wana Imani na Samia kwenye Mkutano mkuu wa Klabu ni Kinyume cha kanuni za FIFA

Ukurasani X Mrema amesema Sheria za FIFA zinakataza kufungamanisha Siasa na Mpira

My take; Dar Young Africans ni CCM 😀
Tanzania ni nchi huru,a souvereign state tunaojitawala wenyewe kwa katiba yetu ya JMT
na hatutawaliwi na katiba ya fifa!, as long as Kandambili hawajavunja sheria yoyote kuimba wimbo wa kuwa na imani na kiongozi wa chama cha sare yao ya Kijani na Manjano, timu yenye jezi za rangi za Chadema, nao rukhsa kuimba wana imani na kamanda ila hata kamanda mwenyewe ana imani na Samia Nimemwelewa sana Mbowe, usipoteze imani na Rais Samia. Alivyo kwa Kauli na Matendo hawezi kuwa ni yeye!
p
 
Tanzania ni nchi huru,a souvereign state tunaojitawala wenyewe kwa katiba yetu ya JMT
na hatutawaliwi na katiba ya fifa!, as long as Kandambili hawajavunja sheria yoyote kuimba wimbo wa kuwa na imani na kiongozi wa chama cha sare yao ya Kijani na Manjano, timu yenye jezi za rangi za Chadema, nao rukhsa kuimba wana imani na kamanda ila hata kamanda mwenyewe ana imani na Samia Nimemwelewa sana Mbowe, usipoteze imani na Rais Samia. Alivyo kwa Kauli na Matendo hawezi kuwa ni yeye!
p
Safi Sana 😀
 
Tanzania ni nchi huru,a souvereign state tunaojitawala wenyewe kwa katiba yetu ya JMT
na hatutawaliwi na katiba ya fifa!
Ni maswala ya namna hii ndiyo hunifanya nikushangae akili zako huwa zinafanya kazi vipi!
Hayo maelezo marefu huko chini sikuyasoma. Yote niliyahusisha na maneno machache niliyonyanyua hapa.
 
Mkurugenzi wa CHADEMA John Mrema amesema kitendo cha Wanachama wa Yanga kuimba Wana Imani na Samia kwenye Mkutano mkuu wa Klabu ni Kinyume cha kanuni za FIFA

Ukurasani X Mrema amesema Sheria za FIFA zinakataza kufungamanisha Siasa na Mpira

View attachment 3013814

Ulikuwa View attachment 3013733

My take; Dar Young Africans ni CCM 😀
Huu ulikuwa ni upumbavu wa kiwango cha PhD kwa timu yangu.
 
Mkurugenzi wa CHADEMA John Mrema amesema kitendo cha Wanachama wa Yanga kuimba Wana Imani na Samia kwenye Mkutano mkuu wa Klabu ni Kinyume cha kanuni za FIFA

Ukurasani X Mrema amesema Sheria za FIFA zinakataza kufungamanisha Siasa na Mpira

View attachment 3013814

View attachment 3013733

My take; Dar Young Africans ni CCM 😀
Wafadhili wakuu wa Yanga ni kundi la mafisadi wanaoshirikiana na serikali ya Samia na CCM kutuibia
 
Mkurugenzi wa CHADEMA John Mrema amesema kitendo cha Wanachama wa Yanga kuimba Wana Imani na Samia kwenye Mkutano mkuu wa Klabu ni Kinyume cha kanuni za FIFA

Ukurasani X Mrema amesema Sheria za FIFA zinakataza kufungamanisha Siasa na Mpira

View attachment 3013814

View attachment 3013733

My take; Dar Young Africans ni CCM 😀
Ni kweli, wawe makini siasa na michezi haitakiwi FIFA.
 
Back
Top Bottom