Pre GE2025 CHADEMA Walalamika Yanga kuimba " Tuna Imani na Samia" yasema ni Kinyume cha Sheria za FIFA

Pre GE2025 CHADEMA Walalamika Yanga kuimba " Tuna Imani na Samia" yasema ni Kinyume cha Sheria za FIFA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkurugenzi wa CHADEMA John Mrema amesema kitendo cha Wanachama wa Yanga kuimba Wana Imani na Samia kwenye Mkutano mkuu wa Klabu ni Kinyume cha kanuni za FIFA

Ukurasani X Mrema amesema Sheria za FIFA zinakataza kufungamanisha Siasa na Mpira

View attachment 3013733

My take; Dar Young Africans ni CCM ๐Ÿ˜€
Hati ya jengo ipo kwa fatuma karume hiyo ni ccm!
 
Mkurugenzi wa CHADEMA John Mrema amesema kitendo cha Wanachama wa Yanga kuimba Wana Imani na Samia kwenye Mkutano mkuu wa Klabu ni Kinyume cha kanuni za FIFA

Ukurasani X Mrema amesema Sheria za FIFA zinakataza kufungamanisha Siasa na Mpira

View attachment 3013814

View attachment 3013733

My take; Dar Young Africans ni CCM ๐Ÿ˜€
Kwani Machadema hawajui Yanga ni timu ya CCM? Daima mbele nyuma mwiko?

Kama kusoma hawajui hata rangi za jezi hawaoni? ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Kila mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua vyema ni lazima awe upande wa Rais Samia na kumuunga Mkono kwa kazi nzuri anayoifanya pamoja na uchapakazi wake uliotukuka.

Kama wanaomsifu Samia ni watu pekee wenye akili timamu, mbona wewe huna akili timamu lakini unamsifia Samia na mtu mwingine yeyote mwenye uwezo wa kukurushia makombo?

Ukweli ni kuwa mtu anayejitambua huzingatia taratibu, miongozo, kanuni na sheria zinazosimamia kila jambo. Hawa watu wasiojielewa, chawa punguani, kuna siku wataingia hata mahakamani au makanisani na misikitini wakiimba nyimbo za kumsifu Samia. Tatizo ni njaa. Wanafanya yote hayo ili Samia awaone, awarushie chochote. Umaskini wa mali ukichanganyika na wa kichwani ni hatari sana.
 
Kama wanaomsifu Samia ni watu pekee wenye akili timamu, mbona wewe huna akili timamu lakini lakini unamsifia Samia na mtu mwingine yeyote mwenye uwezo wa kukurushia makombo?

Ukweli ni kuwa mtu anayejitambua huzingatia taratibu, miongozo, kanuni na sheria zinazosimamia kila jambo. Hawa watu wasiojielewa, chawa punguani, kuna siku wataingia hata mahakamani au makanisani na misikitini wakiimba nyimbo za kumsifu Samia. Tatizo ni njaa. Wanafanya yote hayo ili Samia awaone, awarushie chochote. Umaskini wa mali ukichanganyika na wa kichwani ni hatari sana.
Ni wewe tu usiyejitambua na wenzako wachache wenye mawazo na akili kama zako ndio wanaweza kushindwa kutambua mchango chanya wa Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Lakini wenye akili Timamu na wanaojitambua wanatambua mchango chanya wa Rais wetu kipenzi ikiwepo katika Secta ya michezo .ndio maana hawaoni haya wala aibu kumpongeza hadharani na kuonyesha kuwa wana imani naye
 
Acha kuota ndoto mchana mchana. CCM itaendelea kuwepo madarakani kwa kadri ya uhai wa Taifa letu. CCM ndio Tanzania na Tanzania ndio CCM yenyewe.

Ona huyu punguani anavyozidi kuishiwa hata kibaba kidogo cha akili kilichokuwa kimesalia!!!
 
Luka wewe ni mtu mzima ujue[emoji849]
Tangu lini Mwashambwa amekuwa mtu mzima. Huyo ni mgonjwa kichwani. Fuatilia maandiko yake, utamtambua vizuri. Kwa hiyo usishangae anapoleta maandiko yake ya ajabu. Ahurumiwe.
 
Ni furaha kwangu kuona kuna mgogoro mkubwa Simba ambao natamani upelekee kuporomoka na hatimaye kupotea kabisa kwa Simba SC. Halafu baadaye Yanga nako kuje kuwake moto ili nayo ipotee mazima.


Haya yakitokea, ndiyo watanzania akili zitawarudia na kuanza kujadili masuala ya msingi na kuachana na ushabiki wa mambo ya kijinga kama ya Simba na Yanga
Mkuu hizi timu ni matawi ya CCM. Halafu magabachori ndiyo waratibu wakuu. Ushabiki wa mpira wa Bongo mimi nilishaacha siku nyingi kwa sababu ya hawa magabachori.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom