johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #61
Mbowe, Tundu Lisu, Bulaya, Mnyika, Mdee wote Yanga dadeki na wameimba pale Ukumbini ila Lisu ndio hajakuwepo ๐๐๐๐ฅUWT mnatimu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe, Tundu Lisu, Bulaya, Mnyika, Mdee wote Yanga dadeki na wameimba pale Ukumbini ila Lisu ndio hajakuwepo ๐๐๐๐ฅUWT mnatimu?
Ni mkopo Kutoka Benki ya Dunia ๐Tangu nimepata akili nasikia Yanga(Manji) na Simba zinajenga uwanja mpk leo nimezeeka
Hati ya jengo ipo kwa fatuma karume hiyo ni ccm!Mkurugenzi wa CHADEMA John Mrema amesema kitendo cha Wanachama wa Yanga kuimba Wana Imani na Samia kwenye Mkutano mkuu wa Klabu ni Kinyume cha kanuni za FIFA
Ukurasani X Mrema amesema Sheria za FIFA zinakataza kufungamanisha Siasa na Mpira
View attachment 3013733
My take; Dar Young Africans ni CCM ๐
UWT mnashida siyo kidogoMbowe, Tundu Lisu, Bulaya, Mnyika, Mdee wote Yanga dadeki na wameimba pale Ukumbini ila Lisu ndio hajakuwepo ๐๐๐๐ฅ
Onyesha mkatabaNi mkopo Kutoka Benki ya Dunia ๐
Imesaini Serikali ๐๐๐๐ฅOnyesha mkataba
RushwaImesaini Serikali ๐๐๐๐ฅ
Hivi chadema ni wasafi kupaka kuita wenzao weziHeri kukosa hizo akili timamu na kutojitambua kuliko kukaa kundi mmoja na watu wezi
Kwani Machadema hawajui Yanga ni timu ya CCM? Daima mbele nyuma mwiko?Mkurugenzi wa CHADEMA John Mrema amesema kitendo cha Wanachama wa Yanga kuimba Wana Imani na Samia kwenye Mkutano mkuu wa Klabu ni Kinyume cha kanuni za FIFA
Ukurasani X Mrema amesema Sheria za FIFA zinakataza kufungamanisha Siasa na Mpira
View attachment 3013814
View attachment 3013733
My take; Dar Young Africans ni CCM ๐
Kila mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua vyema ni lazima awe upande wa Rais Samia na kumuunga Mkono kwa kazi nzuri anayoifanya pamoja na uchapakazi wake uliotukuka.
Chadema dah [emoji23] au nyie ni malalamiko foundation?
Wangeimba wana imani na Mbowe Erythrocyte angeleta uzi umerembwa kwa vifijo na nderemo
Ni wewe tu usiyejitambua na wenzako wachache wenye mawazo na akili kama zako ndio wanaweza kushindwa kutambua mchango chanya wa Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Lakini wenye akili Timamu na wanaojitambua wanatambua mchango chanya wa Rais wetu kipenzi ikiwepo katika Secta ya michezo .ndio maana hawaoni haya wala aibu kumpongeza hadharani na kuonyesha kuwa wana imani nayeKama wanaomsifu Samia ni watu pekee wenye akili timamu, mbona wewe huna akili timamu lakini lakini unamsifia Samia na mtu mwingine yeyote mwenye uwezo wa kukurushia makombo?
Ukweli ni kuwa mtu anayejitambua huzingatia taratibu, miongozo, kanuni na sheria zinazosimamia kila jambo. Hawa watu wasiojielewa, chawa punguani, kuna siku wataingia hata mahakamani au makanisani na misikitini wakiimba nyimbo za kumsifu Samia. Tatizo ni njaa. Wanafanya yote hayo ili Samia awaone, awarushie chochote. Umaskini wa mali ukichanganyika na wa kichwani ni hatari sana.
Acha kuota ndoto mchana mchana. CCM itaendelea kuwepo madarakani kwa kadri ya uhai wa Taifa letu. CCM ndio Tanzania na Tanzania ndio CCM yenyewe.
Tangu lini Mwashambwa amekuwa mtu mzima. Huyo ni mgonjwa kichwani. Fuatilia maandiko yake, utamtambua vizuri. Kwa hiyo usishangae anapoleta maandiko yake ya ajabu. Ahurumiwe.Luka wewe ni mtu mzima ujue[emoji849]
Mkuu hizi timu ni matawi ya CCM. Halafu magabachori ndiyo waratibu wakuu. Ushabiki wa mpira wa Bongo mimi nilishaacha siku nyingi kwa sababu ya hawa magabachori.Ni furaha kwangu kuona kuna mgogoro mkubwa Simba ambao natamani upelekee kuporomoka na hatimaye kupotea kabisa kwa Simba SC. Halafu baadaye Yanga nako kuje kuwake moto ili nayo ipotee mazima.
Haya yakitokea, ndiyo watanzania akili zitawarudia na kuanza kujadili masuala ya msingi na kuachana na ushabiki wa mambo ya kijinga kama ya Simba na Yanga
Aisee....una moyo.Kila mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua . Zingatia maneno kuwa kila mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua.
Sawa sawa ๐๐Kila mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua vyema ni lazima awe upande wa Rais Samia na kumuunga Mkono kwa kazi nzuri anayoifanya pamoja na uchapakazi wake uliotukuka.
Mrema ni mwongoJibu hoja, usilete vioja. Je, FIFA inaruhusi au hairuhusiwi, Mrema ni mwongo?