Haki ya kukwepa majukumuHiyo ni haki yao ya msingi pia ni njia ya diplomasia ya kufikisha ujumbe kwa mtawala Raisi kwamba hawakibaliani nae katika sera zake na utandaji wake hususani kwenye masuala ya utawaala wa sheria dimokurasia na jinsi anavo endesha gonjwa la Corona kwa hilo wako sawa kwa 100%
Sent using Jamii Forums mobile app
naunga mkono hoja kabisaNipo hapa Dodoma kwenye mjadala hapa na wabunge kadhaa wa chadema na ccm kuwa kuna mkakati unasukwa na baadhi ya biongozi wa chama kikuu cha upinzani ili waingie wote kwenye ukumbi wa bunge watulie wasubilie mh rais akianza hotuba tu wasimame waondoke ndani ya ukumbi wa bunge.
Waheshimiwa hawa wanadai kuwa kuna maelekezo ya kutoka juu kuwa kwa kuwa bunge litakuwa live kwa media karibu zote hapa nchini na nje ya nchi hii itaonesha ulimwengu kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la kisiasa ,
My take.hii tabia ya chadema iwe mwisho kama kuna chama kingine cha siasa kikichukua kiti cha kuwa chama kikuu cha upinzani hii tabia ya hovyo ya kulipa taifa taswira mbaya na huku nao ni watanzania
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Wako Sahihi 100% mtu aliyeingia madarakani kwa wizi wa kura na ambaye hawakumtambua mwanzoni watamtambuaje mwishoni? utakuwa ni unafiki.
Hata kipindi kile ishu ya ulimboka na kipondo mlichopata arusha makasema hayahaya tatizo kubwa la nyumbu ni kusahau uliza pale ngorongoro
Sent using Jamii Forums mobile app
Rejea neno nililosema tulikuwa na afadhali kabla ya awamu hii. Jinoe vizuri kwenye kiswahili boss ili ikusaidie kupunguza mihemko.
awamu iliyopita amkusema mtampeleka kikwete the hague ?Rejea neno nililosema tulikuwa na afadhali kabla ya awamu hii. Jinoe vizuri kwenye kiswahili boss ili ikusaidie kupunguza mihemko.
Si ni hawa waliokuwa wanafukuzwa kila uchao,iweje leo iwe nongwa wakitoka kwa hiari yao? Hata ningekuwa mimi ningetoka!Nipo hapa Dodoma kwenye mjadala hapa na wabunge kadhaa wa chadema na ccm kuwa kuna mkakati unasukwa na baadhi ya biongozi wa chama kikuu cha upinzani ili waingie wote kwenye ukumbi wa bunge watulie wasubilie mh rais akianza hotuba tu wasimame waondoke ndani ya ukumbi wa bunge.
Waheshimiwa hawa wanadai kuwa kuna maelekezo ya kutoka juu kuwa kwa kuwa bunge litakuwa live kwa media karibu zote hapa nchini na nje ya nchi hii itaonesha ulimwengu kuwa hapa nchini kuna tatizo kubwa la kisiasa ,
My take.hii tabia ya chadema iwe mwisho kama kuna chama kingine cha siasa kikichukua kiti cha kuwa chama kikuu cha upinzani hii tabia ya hovyo ya kulipa taifa taswira mbaya na huku nao ni watanzania
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa tunazungumzia hatuba ya mkuu wa nchi sio kelele za miongozoSi ni hawa waliokuwa wanafukuzwa kila uchao,iweje leo iwe nongwa wakitoka kwa hiari yao? Hata ningekuwa mimi ningetoka!
Nyumbu kusahau ni sehemu ya maisha yao ndio maana tuliwaita nyumbuawamu iliyopita amkusema mtampeleka kikwete the hague ?
muwe mnakumbuka na matusi yenu nyumbu wa ufipa
Sent using Jamii Forums mobile app
alafu usipende kuipaka matope tanzania bwashee .Wanaoutuheshimu ni wale wenye rekodi mbaya kuliko sisi, nchi kama Somalia, Burundi nk.
Hakuna tofauti kati ya mkuu wa mhimili wa Bunge na Serikali.Wote ni vichwa maji.
Ulipaswa kusema vichwa maji ni hawa wanaokimbia vikao kila siku na pia majimboni hawaonekaniHakuna tofauti kati ya mkuu wa mhimili wa Bunge na Serikali.Wote ni vichwa maji.
Ulipaswa kusema vichwa maji ni hawa wanaokimbia vikao kila siku na pia majimboni hawaonekani
Sent using Jamii Forums mobile app
Safari hii wasichukue posho.Tumeshawazoea kutoroka bunge hata juzi wametoroka kwa kisingizio cha corona!
Umetembelea majimbo yao ukakuta watoro? Kuna wabunge/mawaziri wa ccm yapata miaka hawajawahi kutia mguu bungeni huwasemi kwa nini? NB.Hakuna kupangiana.Ulipaswa kusema vichwa maji ni hawa wanaokimbia vikao kila siku na pia majimboni hawaonekani
Sent using Jamii Forums mobile app