Ccm ni sawa na nyokaNawaunga mkono.
CCM ni ile ile na Tume ni ile ile huku Mama akiwa bado kazungukwa na watu wenye mentalily za Magu.
Kingine:Katika hizi chaguzi ndogo, wanaweza kuwaacha wapinzani washinde/demokrasia itawale ili wawapumbaze waamini sasa Tume inatenda haki chini ya Mama Samia,halafu waje wawageuzie kibao kwenye uchaguzi mkuu wa 2025.
Ogopa nyoka na CCM.
Kakurupuka vibayaWilaya ya KIBONDO au BUHIGWE??
kama ni hvyo basi CHADEMA wana intelijensia ya hali ya juu sana.Wameshapiga hesabu wakaona hawawezi kushinda ndio maana wamejitoa.
Umeonaeeeeeeeeee?Asante kwa taarifa, wanasimamia kile wanachokiamini
Wewe ulishafukuzwa cdm sasa mbona bado unaifuatilia?Mna mgombea?
Punguza hasira hizo kutesa kwa zamu nyinyi MATAGA zamu yenu ya kulia na kusaga meno ndiyo imefika.We unatakaje?
Yan tuache kufanya mambo ya msingi tuwe busy kutaka kuwaridhisha chadema?
Wakina mnyika na Mbowe walikuwa wabunge kwa tume gani?
Mbona kipindi huko hawakugomea?
Inawezekana mwendazake akawa ameondoka na huo mchezo?Yes.
Wananchi waachwe wachague wawakilishi wao sio tume ya uchaguzi na watendaji wake wawateulie wananchi watu wanaowataka wao, hizo zama zimepita.
Nyie majizi mna faida gani kwa taifa hili?Vizuri sana!!! Wamechoka na aibu ya kushindwa kila uchaguzi.
Majizi mliobobeaHata wakishiriki watagalagazwa tu kama walivyogalagazwa mwenyekiti wao na makamu mwenyekiti ktk uchaguzi mkuu uliyofanyika mwaka jana. Ikiwa mwenyekiti aligalagazwa ni nani mungine anaweza kushinda nafasi ya ubunge ktk chama chao. Big up chadema kwa kusoma alama za nyakati
AminaMungu ibariki Chadema
Wasitegemee kamwe tuwaunge mkono hata siku moja.Halafu mnashangaa kwanini watu wanafurahia watu wengine wanapopatwa na matatizo kumbe kisa ni kauli na matendo yenu na ya viongozi wenu
MATAGA wahediWamtoe wapi?
Kabisa mkuu, hata ile 2020 walijua ila wakajifanya vichwa ngumukama ni hvyo basi CHADEMA wana intelijensia ya hali ya juu sana.
na nyie wahuni mna faida gani!Nyie majizi mna faida gani kwa taifa hili?
Naunga mkono hoja 100%, bamoja na maridhiano KWA Sasa kipaumbele kwanza ni tume huru,katiba mpya, mengine badae,Nawaunga mkono.
CCM ni ile ile na Tume ni ile ile huku Mama akiwa bado kazungukwa na watu wenye mentalily za Magu.
Kingine: Katika hizi chaguzi ndogo, wanaweza kuwaacha wapinzani washinde/demokrasia itawale ili wawapumbaze waamini sasa Tume inatenda haki chini ya Mama Samia,halafu waje wawageuzie kibao kwenye uchaguzi mkuu wa 2025.
Ogopa nyoka na CCM.
Tuendelee kudai Katiba Mpya/Tume Huru ya Uchaguzi
Huyu aliekuja anaonekana ana dalili za kulegeza, lakini haitakiwi Chadema ishiriki uchaguzi kwa kutegemea fadhila au matakwa ya mwenyekiti wa CCM, inatakiwa ishiriki uchaguzi ikiamini nguvu zake yenyewe na uungwaji mkono wao kwa wananchi ndivyo vitakavyowapa ushindi, sio ushindi wao utokane na utashi wa mwenyekiti wa CCM.Inawezekana mwendazake akawa ameondoka na huo mchezo?
Naungana na CHADEMA maana hakuna uchaguzi hapo ni maigizo tupuChama cha CHADEMA kimesema hakitashiriki uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Muhambwe lililopo wilayani Kibondo Mkoa wa Kigoma.
Jimbo la Muhambwe liko wazi baada ya aliyekuwa mbunge Atashasta Nditiye kufariki dunia Februari 12, 2021 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa mkoani Dodoma alikokuwa akipatiwa matibabu baada ya kupata ajali ya gari iliyotokea Februari 10, 2021 eneo la Nane Nane, mkoani humo.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi Aprili mosi, 2021 naibu katibu mkuu wa CHADEMA, Benson Kigaila amesema baada ya kikao cha kamati kuu kilichofanyika Machi 31, 2021 kwa njia ya mtandao wameazimia kutoshiriki uchaguzi huo kutokana na mazingira ya tume ya uchaguzi kutotenda haki.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeshatangaza kuwa uchaguzi katika jimbo hilo utafanyika Mei 2, 2021.
Tayari Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemteua Florence Samizi kuwa mgombea wa nafasi ya ubunge katika jimbo hilo.
Chanzo: Mwananchi
na nyie wahuni mna faida gani!Nyie majizi mna faida gani kwa taifa hili?
Kweli kabisaNaunga mkono hoja 100%, bamoja na maridhiano KWA Sasa kipaumbele kwanza ni tume huru,katiba mpya, mengine badae,
GoodHuyu aliekuja anaonekana ana dalili za kulegeza, lakini haitakiwi Chadema ishiriki uchaguzi kwa kutegemea fadhila au matakwa ya mwenyekiti wa CCM, inatakiwa ishiriki uchaguzi ikiamini nguvu zake yenyewe na uungwaji mkono wao kwa wananchi ndio vitakavyowapa ushindi, sio ushindi wao utokane na utashi wa mwenyekiti wa CCM.