CHADEMA wamesema hawatoshiriki katika uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Muhambwe

Ccm ni sawa na nyoka
 
We unatakaje?
Yan tuache kufanya mambo ya msingi tuwe busy kutaka kuwaridhisha chadema?

Wakina mnyika na Mbowe walikuwa wabunge kwa tume gani?

Mbona kipindi huko hawakugomea?
Punguza hasira hizo kutesa kwa zamu nyinyi MATAGA zamu yenu ya kulia na kusaga meno ndiyo imefika.
 
Yes.

Wananchi waachwe wachague wawakilishi wao sio tume ya uchaguzi na watendaji wake wawateulie wananchi watu wanaowataka wao, hizo zama zimepita.
Inawezekana mwendazake akawa ameondoka na huo mchezo?
 
Majizi mliobobea
 
Halafu mnashangaa kwanini watu wanafurahia watu wengine wanapopatwa na matatizo kumbe kisa ni kauli na matendo yenu na ya viongozi wenu
Wasitegemee kamwe tuwaunge mkono hata siku moja.

Kama kulia walie pekee yao na kucheka wacheke kivyao
 
Naunga mkono hoja 100%, bamoja na maridhiano KWA Sasa kipaumbele kwanza ni tume huru,katiba mpya, mengine badae,
 
Inawezekana mwendazake akawa ameondoka na huo mchezo?
Huyu aliekuja anaonekana ana dalili za kulegeza, lakini haitakiwi Chadema ishiriki uchaguzi kwa kutegemea fadhila au matakwa ya mwenyekiti wa CCM, inatakiwa ishiriki uchaguzi ikiamini nguvu zake yenyewe na uungwaji mkono wao kwa wananchi ndivyo vitakavyowapa ushindi, sio ushindi wao utokane na utashi wa mwenyekiti wa CCM.
 
Naungana na CHADEMA maana hakuna uchaguzi hapo ni maigizo tupu
 
Good
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…