CHADEMA wamesema hawatoshiriki katika uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Muhambwe

CHADEMA wamesema hawatoshiriki katika uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Muhambwe

Chadema wapo sahihi kushiriki ni kupotez muda kwa tume hii n watu walewale ndani ya tume
 
Huyu aliekuja anaonekana ana dalili za kulegeza, lakini haitakiwi Chadema ishiriki uchaguzi kwa kutegemea fadhila au matakwa ya mwenyekiti wa CCM, inatakiwa ishiriki uchaguzi ikiamini nguvu zake yenyewe na uungwaji mkono wao kwa wananchi ndivyo vitakavyowapa ushindi, sio ushindi wao utokane na utashi wa mwenyekiti wa CCM.
Haswaaaaa
 
Naunga mkono hoja 100%, bamoja na maridhiano KWA Sasa kipaumbele kwanza ni tume huru,katiba mpya, mengine badae,
Sahihi maana kutegemea huruma ya mtu kwa sasa ni kujiingiza kibra kisiasa
 
chadema haipo Buhigwe,ikitokea kiti kipo wazi jimbo lolote la kilimanjaro,zitatolewa sababu tu za kushiriki
Tunaowajua chadema hawatuumizi vichwa
 
We unatakaje?
Yan tuache kufanya mambo ya msingi tuwe busy kutaka kuwaridhisha chadema?

Wakina mnyika na Mbowe walikuwa wabunge kwa tume gani?

Mbona kipindi huko hawakugomea?
Hapo kabla Mwenyekiti hakuwa Kaijage, na mkurugenzi wa uchaguzi hakuwa Mahera bali Kailima
 
Sio lazima kushiriki uchaguzi kama hawana ubavu, wanaweza kubaki kutoa ushauri wa jinsi mambo yanavyo kwenda humu jf, twitter, insta, na fb kama wapo.
 
Back
Top Bottom