Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wapuuzi nyie, mbona hamtaki tume huru ya uchaguzi?Nawapongeza sana kwa kuona mbali. Maana wangeambulia Aibu ingine kubwa sana. Wananchi watapiga kura za kumuhenzi Rais Magufuli Kipenzi chao.
Na swaga za tumeibiwa kura zisinge wasaidia wazee wa sinema hawa...