Mboe mwaka 2015 alia humu humu jF baada ya EL kwenda CDM na tulipo anza kukizonga, akasema tukiendelea na mtindo ule cdm ingekufa. Na nilimjibu tuliijenga kwa vidole humu jF na tutaibomoa kwa vidole humu humujF. Mwenye akili na elewe.
Mbinu za KM na mwenezi wake enzi zile za kuimarisha chama kwa masinia ya ubwabwa maharagwe hazikufua dafu. Wanachama waliendelea kuficha jezi zao kwenye mifuko ya kondomo wakielekea na wakituka mikutanoni. Ndio sababu na wahurumia vilivyo wanao mchafua JPM leo.
Dr Slaa was brave alitumia sana madini ya jF enzi hizo. Haya mambo ni karama ya Mungu wa Mbinguni. Hii siri nafikiri alipa JPM.