CHADEMA wamesema hawatoshiriki katika uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Muhambwe

CHADEMA wamesema hawatoshiriki katika uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Muhambwe

Wanaelekea pabaya sana, uchaguzi mkuu walifanya kwa kuchangisha bakuli, hali ikawa mbaya sana.

Uchaguzi wa Muhambwe huko Kigoma wamekosa kabisa pesa ya kuweka mgombea. Wanasingizia maneno mengine.

Tuwachangie kila mtu bila kujali itikadi zetu. Mfano watu mil 5 wakitoa bukubuku watapata kianzio kikubwa.

Ngoma nzito je,pesa zetu zitakuwa salama mikononi mwa mabwana hawa? Zitajaza matumbo ya watu wachache
 
Nchi hii inahitaji chama imara kingine cha upinzani kwa faida ya kizazi hiki na kijacho. JPM aliturudisha CCM lakini kama viongozi mahiri kama Bashiru na nduguze watanangwa inabidi kufikiria mara ya pili. Ashutumiwe aliye ingiza CDM gulioni 2015 tulipoteza akili na maarifa yetu bure kabisa kuwapa mawazo.
 
Wanaelekea pabaya sana, uchaguzi mkuu walifanya kwa kuchangisha bakuli, hali ikawa mbaya sana.

Uchaguzi wa Muhambwe huko Kigoma wamekosa kabisa pesa ya kuweka mgombea. Wanasingizia maneno mengine.

Tuwachangie kila mtu bila kujali itikadi zetu. Mfano watu mil 5 wakitoa bukubuku watapata kianzio kikubwa.

Ngoma nzito je,pesa zetu zitakuwa salama mikononi mwa mabwana hawa? Zitajaza matumbo ya watu wachache
Wanafiki hatuwataki kwani wanamchango mkubwa kutuharibia taifa letu.
 
Nchi hii inahitaji chama imara kingine cha upinzani kwa faida ya kizazi hiki na kijacho. JPM aliturudisha CCM lakini kama viongozi mahiri kama Bashiru na nduguze watanangwa inabidi kufikiria mara ya pili. Ashutumiwe aliye ingiza CDM gulioni 2015 tulipoteza akili na maarifa yetu bure kabisa kuwapa mawazo.
Naona umelishwa na shemeji yako ukashiba sasa unaandika kwa kutumia akili ya tumbo badala ya kichwa.
 
Nchi hii inahitaji chama imara kingine cha upinzani kwa faida ya kizazi hiki na kijacho. JPM aliturudisha CCM lakini kama viongozi mahiri kama Bashiru na nduguze watanangwa inabidi kufikiria mara ya pili. Ashutumiwe aliye ingiza CDM gulioni 2015 tulipoteza akili na maarifa yetu bure kabisa kuwapa mawazo.
Hueleweki fafanua hoja yako.
 
Wanaelekea pabaya sana, uchaguzi mkuu walifanya kwa kuchangisha bakuli, hali ikawa mbaya sana.

Uchaguzi wa Muhambwe huko Kigoma wamekosa kabisa pesa ya kuweka mgombea. Wanasingizia maneno mengine.

Tuwachangie kila mtu bila kujali itikadi zetu. Mfano watu mil 5 wakitoa bukubuku watapata kianzio kikubwa.

Ngoma nzito je,pesa zetu zitakuwa salama mikononi mwa mabwana hawa? Zitajaza matumbo ya watu wachache
Hali ilikuwa mbaya au ujambazi ulikuwa ni wakiwango kibaya ,hakikuwahi shuhudiwa tena kwa uwezeshaji wa kidola.
 
Wanaelekea pabaya sana, uchaguzi mkuu walifanya kwa kuchangisha bakuli, hali ikawa mbaya sana.

Uchaguzi wa Muhambwe huko Kigoma wamekosa kabisa pesa ya kuweka mgombea. Wanasingizia maneno mengine.

Tuwachangie kila mtu bila kujali itikadi zetu. Mfano watu mil 5 wakitoa bukubuku watapata kianzio kikubwa.

Ngoma nzito je,pesa zetu zitakuwa salama mikononi mwa mabwana hawa? Zitajaza matumbo ya watu wachache
Unataka kuchangia unaleta kashfa?
 
Wanaelekea pabaya sana, uchaguzi mkuu walifanya kwa kuchangisha bakuli, hali ikawa mbaya sana.

Uchaguzi wa Muhambwe huko Kigoma wamekosa kabisa pesa ya kuweka mgombea. Wanasingizia maneno mengine.

Tuwachangie kila mtu bila kujali itikadi zetu. Mfano watu mil 5 wakitoa bukubuku watapata kianzio kikubwa.

Ngoma nzito je,pesa zetu zitakuwa salama mikononi mwa mabwana hawa? Zitajaza matumbo ya watu wachache
Madhara ya Elimu ya chini ya mwembe
 
Naona umelishwa na shemeji yako ukashiba sasa unaandika kwa kutumia akili ya tumbo badala ya kichwa.

Mboe mwaka 2015 alilia humu humu jF baada ya EL kwenda CDM na tulipo anza kukizonga, akasema tukiendelea na mtindo ule cdm ingekufa. Na nilimjibu tuliijenga kwa vidole humu jF na tutaibomoa kwa vidole humu humujF. Mwenye akili na elewe.

Mbinu za KM na mwenezi wake enzi zile za kuimarisha chama kwa masinia ya ubwabwa maharagwe hazikufua dafu. Wanachama waliendelea kuficha jezi zao kwenye mifuko ya kondomo wakielekea na wakituka mikutanoni. Ndio sababu na wahurumia vilivyo wanao mchafua JPM leo.

Dr Slaa was brave alitumia sana madini ya jF enzi hizo. Haya mambo ni karama ya Mungu wa Mbinguni. Hii siri nafikiri alipa JPM.
 
Wanaelekea pabaya sana, uchaguzi mkuu walifanya kwa kuchangisha bakuli, hali ikawa mbaya sana.

Uchaguzi wa Muhambwe huko Kigoma wamekosa kabisa pesa ya kuweka mgombea. Wanasingizia maneno mengine.

Tuwachangie kila mtu bila kujali itikadi zetu. Mfano watu mil 5 wakitoa bukubuku watapata kianzio kikubwa.

Ngoma nzito je,pesa zetu zitakuwa salama mikononi mwa mabwana hawa? Zitajaza matumbo ya watu wachache
Siku ukikumbuka kuleta hoja ya kitaifa kweli isiyokuwa na maslahi yako binafsi ni taona umeacha ubinafsi ule wa kimaslahi.
 
Siku ukikumbuka kuleta hoja ya kitaifa kweli isiyokuwa na maslahi yako binafsi ni taona umeacha ubinafsi ule wa kimaslahi.
Hii hoja ni ya kitaifa boss, sema unaleta uswahili.
 
Mboe mwaka 2015 alia humu humu jF baada ya EL kwenda CDM na tulipo anza kukizonga, akasema tukiendelea na mtindo ule cdm ingekufa. Na nilimjibu tuliijenga kwa vidole humu jF na tutaibomoa kwa vidole humu humujF. Mwenye akili na elewe.
Tulia uandike tukuelewe
 
Nchi hii inahitaji chama imara kingine cha upinzani kwa faida ya kizazi hiki na kijacho. JPM aliturudisha CCM lakini kama viongozi mahiri kama Bashiru na nduguze watanangwa inabidi kufikiria mara ya pili. Ashutumiwe aliye ingiza CDM gulioni 2015 tulipoteza akili na maarifa yetu bure kabisa kuwapa mawazo.
Naona Mataga mnalishana nnya
 
Back
Top Bottom