kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Hawa Viongozi Waendelee hivyo hivyo Kususa mpaka CDM ifutike kwenye Uso Wa Dunia...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Another rubbish.Kwa hiyo Magufuli aliwagaragaza akiwa hai na sasa anaendelea kuwagaragaza akiwa kaburini?
Huyo mama anaweza kudharaulika kwa kiasi kikubwa kama hatalipa suala la katiba mpya, uzito unaostahili.Samia alisema tusahau kabisa, weiti ini 2040,aiwilu bi a Presidenti nitawaletea
Wanafiki hatuwataki kwani wanamchango mkubwa kutuharibia taifa letu.Wanaelekea pabaya sana, uchaguzi mkuu walifanya kwa kuchangisha bakuli, hali ikawa mbaya sana.
Uchaguzi wa Muhambwe huko Kigoma wamekosa kabisa pesa ya kuweka mgombea. Wanasingizia maneno mengine.
Tuwachangie kila mtu bila kujali itikadi zetu. Mfano watu mil 5 wakitoa bukubuku watapata kianzio kikubwa.
Ngoma nzito je,pesa zetu zitakuwa salama mikononi mwa mabwana hawa? Zitajaza matumbo ya watu wachache
Naona umelishwa na shemeji yako ukashiba sasa unaandika kwa kutumia akili ya tumbo badala ya kichwa.Nchi hii inahitaji chama imara kingine cha upinzani kwa faida ya kizazi hiki na kijacho. JPM aliturudisha CCM lakini kama viongozi mahiri kama Bashiru na nduguze watanangwa inabidi kufikiria mara ya pili. Ashutumiwe aliye ingiza CDM gulioni 2015 tulipoteza akili na maarifa yetu bure kabisa kuwapa mawazo.
Hueleweki fafanua hoja yako.Nchi hii inahitaji chama imara kingine cha upinzani kwa faida ya kizazi hiki na kijacho. JPM aliturudisha CCM lakini kama viongozi mahiri kama Bashiru na nduguze watanangwa inabidi kufikiria mara ya pili. Ashutumiwe aliye ingiza CDM gulioni 2015 tulipoteza akili na maarifa yetu bure kabisa kuwapa mawazo.
Hali ilikuwa mbaya au ujambazi ulikuwa ni wakiwango kibaya ,hakikuwahi shuhudiwa tena kwa uwezeshaji wa kidola.Wanaelekea pabaya sana, uchaguzi mkuu walifanya kwa kuchangisha bakuli, hali ikawa mbaya sana.
Uchaguzi wa Muhambwe huko Kigoma wamekosa kabisa pesa ya kuweka mgombea. Wanasingizia maneno mengine.
Tuwachangie kila mtu bila kujali itikadi zetu. Mfano watu mil 5 wakitoa bukubuku watapata kianzio kikubwa.
Ngoma nzito je,pesa zetu zitakuwa salama mikononi mwa mabwana hawa? Zitajaza matumbo ya watu wachache
Unataka kuchangia unaleta kashfa?Wanaelekea pabaya sana, uchaguzi mkuu walifanya kwa kuchangisha bakuli, hali ikawa mbaya sana.
Uchaguzi wa Muhambwe huko Kigoma wamekosa kabisa pesa ya kuweka mgombea. Wanasingizia maneno mengine.
Tuwachangie kila mtu bila kujali itikadi zetu. Mfano watu mil 5 wakitoa bukubuku watapata kianzio kikubwa.
Ngoma nzito je,pesa zetu zitakuwa salama mikononi mwa mabwana hawa? Zitajaza matumbo ya watu wachache
Madhara ya Elimu ya chini ya mwembeWanaelekea pabaya sana, uchaguzi mkuu walifanya kwa kuchangisha bakuli, hali ikawa mbaya sana.
Uchaguzi wa Muhambwe huko Kigoma wamekosa kabisa pesa ya kuweka mgombea. Wanasingizia maneno mengine.
Tuwachangie kila mtu bila kujali itikadi zetu. Mfano watu mil 5 wakitoa bukubuku watapata kianzio kikubwa.
Ngoma nzito je,pesa zetu zitakuwa salama mikononi mwa mabwana hawa? Zitajaza matumbo ya watu wachache
Naona umelishwa na shemeji yako ukashiba sasa unaandika kwa kutumia akili ya tumbo badala ya kichwa.
Kwani A ya darasani na chini ya mwembe zinatofautiana?Madhara ya Elimu ya chini ya mwembe
Siku ukikumbuka kuleta hoja ya kitaifa kweli isiyokuwa na maslahi yako binafsi ni taona umeacha ubinafsi ule wa kimaslahi.Wanaelekea pabaya sana, uchaguzi mkuu walifanya kwa kuchangisha bakuli, hali ikawa mbaya sana.
Uchaguzi wa Muhambwe huko Kigoma wamekosa kabisa pesa ya kuweka mgombea. Wanasingizia maneno mengine.
Tuwachangie kila mtu bila kujali itikadi zetu. Mfano watu mil 5 wakitoa bukubuku watapata kianzio kikubwa.
Ngoma nzito je,pesa zetu zitakuwa salama mikononi mwa mabwana hawa? Zitajaza matumbo ya watu wachache
Huyo awachangie wale walioingia kwenye binge bila chama,wasiendelee kula kodi za raia isivyo halali.Unataka kuchangia unaleta kashfa?
Hii hoja ni ya kitaifa boss, sema unaleta uswahili.Siku ukikumbuka kuleta hoja ya kitaifa kweli isiyokuwa na maslahi yako binafsi ni taona umeacha ubinafsi ule wa kimaslahi.
Tulia uandike tukueleweMboe mwaka 2015 alia humu humu jF baada ya EL kwenda CDM na tulipo anza kukizonga, akasema tukiendelea na mtindo ule cdm ingekufa. Na nilimjibu tuliijenga kwa vidole humu jF na tutaibomoa kwa vidole humu humujF. Mwenye akili na elewe.
Naona Mataga mnalishana nnyaNchi hii inahitaji chama imara kingine cha upinzani kwa faida ya kizazi hiki na kijacho. JPM aliturudisha CCM lakini kama viongozi mahiri kama Bashiru na nduguze watanangwa inabidi kufikiria mara ya pili. Ashutumiwe aliye ingiza CDM gulioni 2015 tulipoteza akili na maarifa yetu bure kabisa kuwapa mawazo.
Uswahili uko kwenu mnatanguliza maslahi binafsi, kwa kudai ni ya kitaifa.Hii hoja ni ya kitaifa boss, sema unaleta uswahili.