CHADEMA wamesema hawatoshiriki katika uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Muhambwe

You stupid MOFO. CCM mliiba uchaguzi kwa pesa za kodi za wananchi na kununua wapinzani kwa pesa za michango ya wahanga na kodi za wananchi pia.

Why are you so stupid MOFO? Why?
Kama wapinzani wenyewe ndio wapumbavu kama wewe, hakuna namna. Shurti muibiwe kura kuinusuru nchi
 
Mungu hapangiwi. Huyo umdhaniaye kuwa dhalimu aweza kuwa pazuri kuliko wewe na ukoo wenu wote mtakapowekwa baada ya kuiacha dunia hii.
Alikuwa dhalimu fullstop.
 
Naona kama ni mtu ambae unachuki na hayati Magufuli. Acha chuki kana kwamba alikudhulumu mke. Any way ulikosea kuwekeza pesa ukidhania utashinda ubunge.

Ni hivi, lilikuwa jizi la kura. Hutaki meza sumu.
 
Umeandika Nini mkuu? AISEE

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Alikuwa dhalimu fullstop.
Kwako na ukoo wako, wala sina ubishi. Kwa baadhi alikuwa mtu wa Mungu. Fortunately, none of you'll influence how the Almighty will finally judge him.
 
Kwako na ukoo wako, wala sina ubishi. Kwa baadhi alikuwa mtu wa Mungu. Fortunately, none of you'll influence how the Almighty will finally judge him.

Ni kweli kabisa, kwa Kabudi, Polepole, Makonda, Sabaya and the likes alikuwa ni mtu wa mungu. Lakini kwetu wengine alikuwa ni ibilisi kama maibilisi wengine.
 
Lakini kwetu wengine alikuwa ni ibilisi kama maibilisi wengine.
Ndio maana nikaandika kuwa hatohukumiwa kutokana na alivyoonekana kwako na kwa ukoo wenu, bali kwa matendo yake mbele ya hakimu wa haki.
 
Wanaelekea pabaya sana, uchaguzi mkuu walifanya kwa kuchangisha bakuli, hali ikawa mbaya sana.

Uchaguzi wa Muhambwe huko Kigoma wamekosa kabisa pesa ya kuweka mgombea. Wanasingizia maneno mengine...
Mimba yako inakusababishia kichaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…