Uchaguzi 2020 CHADEMA: Wanachama 11 wachukua fomu za kugombea nafasi ya Urais wa Tanzania

Ni jambo jema!
CCM wanawasubiri kwa hamu.
Maendeleo hayana vyama!
Hapana umekosea, CCM haiwasubiri kwa hamu.

Wanaowasubiri kwa hamu ni wananchi wazalendo, waaminifu, wapinga uonevu, wadai wa haki, usawa na uhuru, wapinga udikteta, wanaoheshimu utawala wa sheria, wanaotii na kutetea Katiba na Watanzania wote ambao kwa asili yao ni wakarimu na wasio na chuki wala ubaguzi.

CCM inawasubiri kwa hofu ikiwa imejikunyata nyuma ya vyombo hivi...Polisi, TAKUKURU, TRA, Tume ya Uchaguzi, Usalama wa Taifa, Msajili wa Vyama, Mahakama, Jeshi la Wasiojulikana, Watekaji wa Kitaifa, Watesaji wa Kitaifa, Wauaji wa Kitaifa na serikali inayovisimamia vyombo hivi.
 
Kasubiri CCM Magu kachukua fomu leo
Yes nimemuona live kupitia TBC rais Magufuli akichukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM.

Kule tuu kuonyeshea live kupitia TBC ni kitu kizuri kwa kuonyeshea transparency ya zoezi hili zima, na kwa vile TBC ni public broadcasting station yaani TV ya umma, imetimiza wajibu wake kikamilifu kututangazia live, na natoa wito kwa vyama vyote vya siasa vitakavyo simamisha wagombea urais, kutoa ushirikiano kwa TBC ili TBC iwatangazie live Watanzania wagombea wao na kuwapa fursa Watanzania kuwaona wagombea wote wakipewa haki sawa kwenye vyombo vya habari vya umma.

Pili nimemnote rais Magufuli akitumia usafiri wa gari lenye number binafsi. This is very good thing kwasababu rais Magufuli ametenganisha shughuli za chama na shughuli za serikali. Rais Magufuli hakutumia gari za serikali, wala hakutembea na msafara ikiwemo battalion, rais Magufuli ametumia gari moja tuu yenye number za kiraia.

Hatua hii ni hatua yenye essence kubwa sana kwenye mustakabali wa usawa wa kidemokrasia na usawa wa uwanja wa mapambano kujenga uwanja sawa, the level playing field, hivyo ni hatua muhimu kuifuta ile dhana ya kugombea urais Tanzania kufananishwa na kugombea kisu cha makali kuwili huku mgombea mmoja ameshika mpini na kuwashikisha wapinzani wake upande wa makali kuwili
P
 
Is this normal lakini kwa CCM mtia nia kuwa mmoja tu!?

(Swali la ufahamu).
 

Meya ya Jiji la Dar es salaam Mh. Isaya Charles Mwita ametangaza rasmi nia yake ya kuwania nafasi ya kugombania Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA

Je atawezana !!!!!!!
 
Chadema wanafanya maigizo sana kwenye sehemu nyeti

Ajaribu ubunge kwanza , Uraisi sio lelemama

Lowassa na Mvuto wote alipata kura million 6,

Hawa wagombea wa sasa ,sidhan hata kama watapata kura laki 1
 

Meya ya Jiji la Dar es salaam Mh. Isaya Charles Mwita ametangaza rasmi nia yake ya kuwania nafasi ya kugombania Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA

Je atawezana !!!!!!!
Mbona kwenye uenyekiti hamkufanya hivi mgemtambua yule aliyenunua ile nafasi yake!
 
Chadema wanafanya maigizo sana kwenye sehemu nyeti

Ajaribu ubunge kwanza , Uraisi sio lelemama

Lowassa na Mvuto wote alipata kura million 6,

Hawa wagombea wa sasa ,sidhan hata kama watapata kura laki 1

Na Jiwe ambaye hakuwa na mvuto Kabisa aliyepenyeza Bahati Mbaya akapata kura mil 8
 

Meya ya Jiji la Dar es salaam Mh. Isaya Charles Mwita ametangaza rasmi nia yake ya kuwania nafasi ya kugombania Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA

Je atawezana !!!!!!!
Ile issue ya Makonda kumng'oa kwenye umeya iliishia wapi ?
 

Meya ya Jiji la Dar es salaam Mh. Isaya Charles Mwita ametangaza rasmi nia yake ya kuwania nafasi ya kugombania Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA

Je atawezana !!!!!!!
Demokrasia
 
I am failing to get good words to describe you!
1. Eti ameonyesha transparency.. Tangu 2015 todate TBC imekuwa ikimtangaza yeye peke yake, He has been making himself tranparent at the expense of other parties, leo eti amekuwa transparent! Umelogwa! Unadhani wapinzania hawataki kuonekana? akili imehama , imehama kabisa kabisa!!

2. Eti usafiri binafis! Unajuaje kama kabadilsha namba? Kama amedirki kuchota 1.5 triloni, kujenga uwanja wa ndege bila ruhusa ya bunge, kugawa hela barabarani, leo ashindwe kuchukua gari ya serikali kuchukua fomu . You must be crazy!

3. Eti uswa wa demokrasia, eti makali ya kusu etc . Amefanya siasa peke yake na chama chake for 5 yrs, leo ndiyo ameona kuna demokrasia! "amewanyonga" wapinzani leo eti demokrasia
You are nuts!
 

Msituangushe tunaomba Lissu
 
Ni kupoteza muda kujipa matumaini kwa mambo usiyoyaweza!
Wenye akili wanahangaika Magufuri aoongezewe muda , nyinyi mnahangaika na kutafuta wagombea?

Una maana gani?

Hii kauli itolee ndani ya CCM kwa sbb kwenu Magufuli anayosha na hakuna mwingine kum - challenge.

Nje ya CCM atakutana na wanaume watakaomchambua kama karanga za mboga.

Magufuli hatoshi, hafai kuendelea na tayari alishaanza kulia lia.
 

CHADEMA, please....please and please kupitia utaratibu wenu wowote na vikao vyenu vyote, watanzania tulio mamilioni kwa mamilioni tunamhitaji TUNDU A. M. LISSU apambane na CCM....

there's no way mkatuletea mtu mwingine na kumpa nafasi kuwania Urais wa JMT kwa tiketi ya chama chenu kisha watanzania tunaowaunga mkono tukawaelewa.....

Msifanye kosa la mwaka 2015 lililozaa yote haya. TUNAWAUNGA MKONO, FANYENI MAAMUZI SAHIHI....
 
Hakuna hata Jina lialoanza na Dr? Si ndiyo Chama cha wasomi hichi, au nimechanganya?
 
Mbona mnamuogopa sana Lissu? Huko ccm mnamuona tu kama Messi baada ya lile jaribio lenu dhidi ya uhai wake kubaunz.
 
hawa nao. wasije wakawafukuza uanachama wengine kisa kugombea nafasi pamoja na mwenyekiti wao
 
Sawa CHEDEMA tupeni list yenu, na wana Lumumba tunaisubiri ya kwenu... Hiki ndicho kipimo sahihi cha demokrasia ndani ya vyama vyenu.
Kwa bahati mbaya ccm hawana Presidential Candidate ila wana "The Warlord disguising as a Presidential Candidate"..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…