Uchaguzi 2020 CHADEMA: Wanachama 11 wachukua fomu za kugombea nafasi ya Urais wa Tanzania

Je Ile dhana ya Chama cha wasomi inajifia?

Ila katika kuangalia kiongozi Bora Swala la elimu linaweza likawa pendekezo la pili ingawa elimu ni mhumu (baada ya lile mtu mwenye uwezo)
Unachagua sura au matendo ya mtu?.... Unaangalia sifa au hoja/sera za mgombea?
 

Hivi si hata zile za uenyekiti wa taifa na kanda walichukua wengi tu? Maamuzi ya ni nani apitiswe yalifanya na mwenye chama, sijui kama maamuzi ya nain apite kuwa mgombea wa uras yatafanana na yale
 
Tarehe ya kikao cha kamati kuu vipi?
Au hakijapangwa????
Tusubiri tuone kamati kuu ambayo wenyeviti wote ni wagombea watakavyozichanga karata mezani!
 
Kwanza je watafanyi kwa njia ya video? Maaana wanasema corona bado ipo.
 
Kitafanyika nyumbani kwa Mbowe chini ya Heche,Mdee na Mnyika.hawa eti ndo wapewe nchi!!.hovyo kabisa hawa jamaa.
 
Mpaka sasa vyama vimetoa fomu kwa wanachama mbalimbali katika nafasi ya kiti cha Urais

CCM Zanzibar zaidi ya wagombea kumi

CCM Tanzania Bara mgombea mmoja tu kachukua fomu mpaka sasa

CHADEMA zaidi ya wagombea kumi wamejitokeza

TLP fomu ya kiti cha Urais inamsubiri mgombea wa CCM kwenda kuchukua mana chama kilimpitisha mgombea wa chama kingine

NCCR MAGEUZI mgombea mmoja mpaka sasa kachukua fomu
 
Kwanza ikumbukwe kuwa CCM ni chama Dola na kwamba mgombea urais wa JMT anakwenda kuwa mkuu wa vyombo vya dola tofauti na rais wa TFF au CWT.

Pili, uchaguzi mkuu katika ngazi ya chama kuna wagombea urais wawili yule wa JMT na yule wa Zanzibar na wawili hawa wana majukumu tofauti

Nirudi kwenye mada, Rais wa JMT ndiye mkuu wa vyombo vya dola nchini na mihimili yake kwahiyo mgombea wa nafasi hiyo ni lazima awe na sifa za kukubalika kidola.
Je, miongoni mwa wagombea wale 11 wa Chadema kuna yoyote mwenye sifa za kustahili kuwa mkuu wa vyombo vya dola?

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
 
ALL THE BEST!
 
Utasikia MEMBE ametia nia kupitia CHADEMA
Nadhani masharti aliyotoa Membe huko CHADEMA yamewashinda. Hakutaka kushindanishwa na yeyote, alitaka lipite jina lake tu na aungwe mkono na hiyo anayo ita "grand coalition". Hii ni kwa sababu anajua yeye mwenyewe au hata na akina ACT - Wananchi na wengine HAWEZI NA HATOSHI!
 
Update ya mchakato?.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…