comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
Kiongozi wa Ujerumani Angela Merkel amekuwa chancellor wa Ujerumani toka 2005
Jakaya Kikwete kamkuta kamuacha
John Pombe Magufuli kamkuta kamuacha
Samia Suluhu Hassan kamkuta
Huko duniani kafanya kazi na:-
Marais 4 wa Marekani,
Mawaziri Wakuu 2 wa Canada,
Mawaziri Wakuu 3 wa Japan,
Marais 4 wa Ufaransa
Mawaziri 5 wa Uingereza na
Mawaziri 10 wa Italia
NA MWENYEKITI MMOJA WA CHADEMA KAMANDA MBOWE
Jakaya Kikwete kamkuta kamuacha
John Pombe Magufuli kamkuta kamuacha
Samia Suluhu Hassan kamkuta
Huko duniani kafanya kazi na:-
Marais 4 wa Marekani,
Mawaziri Wakuu 2 wa Canada,
Mawaziri Wakuu 3 wa Japan,
Marais 4 wa Ufaransa
Mawaziri 5 wa Uingereza na
Mawaziri 10 wa Italia
NA MWENYEKITI MMOJA WA CHADEMA KAMANDA MBOWE