Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aise. Haya mkuu. Ijumaa njema.ni alama ya nchi kama alivyo Malkia wa Uingereza
Pilipili usiyoila yakuwashani? Waachie wanachama na chama chao. Wao ndiyo waamuzi. Shughulika na chama chako.Kiongozi wa Ujerumani Angela Merkel amekuwa chancellor wa Ujerumani toka 2005
Jakaya Kikwete kamkuta kamuacha
John Pombe Magufuli kamkuta kamuacha
Samia Suluhu Hassan kamkuta
Huko duniani kafanya kazi na:-
Marais 4 wa Marekani,
Mawaziri Wakuu 2 wa Canada,
Mawaziri Wakuu 3 wa Japan,
Marais 4 wa Ufaransa
Mawaziri 5 wa Uingereza na
Mawaziri 10 wa Italia
NA MWENYEKITI MMOJA WA CHADEMA KAMANDA MBOWE
Kweli mkuu, mfumo huu ni mzuri sana kwani una uwazi na uwajibikaji makini.Hata huijui katiba ya ujerumani
Kwanza Chancellor anachaguliwa na Bunge Kuu la Ujerumani (Bundestag) na wala sio wananchi
Wananchi kazi yao ni kuchagua wabunge tu
Rais mpaka achaguliwe na wabunge apite ni atakua na uwezo mkubwa na ni harder kuliko kutoka kwa wananchi directly.
Chancellor wa Ujeruman anakoma kua Chancellor iwapo tu:
1)Anakufa
2)Ameamua ku-resign
3)Iwapo wabunge hawaridhiki na utendaji wake muda wowote na tarehe yeyote wanapojisikia na kumtoa madarakani dakika hiyo hiyo kwa kupiga kura kwenye box
Hakuna cha term limits wala nini
Merkel mwenyewe hajatawala kiivyo,kuna Helmut Kohl katawala miaka 16
Hii system inaitwa Chancellorship Democracy
Ni ngumu kuliko hii ya kudanganya wananchi kwa tisheti unaiba na kura machakani huko na ni ngumu kukutoa madarakani mpaka miaka 5 iishe
Wakati Chancellorship ni unachaguliwa among the best people waliochaguliwa na wananchi tayari na wapiga kura ni the best people tayari kutoka kwa wananchi na huwezi wadanganya kwa tisheti plus wakiamka asubuhi kama hawakufagilii wakutolea mbali huko uende Chattle mavini huko
Kwahiyo ulitaka watie wapi? Mbona CCM mnatoa China mnajifanya marafiki wa Mao? BullshitKiongozi wa Ujerumani Angela Merkel amekuwa chancellor wa Ujerumani toka 2005
Jakaya Kikwete kamkuta kamuacha
John Pombe Magufuli kamkuta kamuacha
Samia Suluhu Hassan kamkuta
Huko duniani kafanya kazi na:-
Marais 4 wa Marekani,
Mawaziri Wakuu 2 wa Canada,
Mawaziri Wakuu 3 wa Japan,
Marais 4 wa Ufaransa
Mawaziri 5 wa Uingereza na
Mawaziri 10 wa Italia
NA MWENYEKITI MMOJA WA CHADEMA KAMANDA MBOWE
Hajawai kutokeaAngela Merkel wa Tz ni nani sasa
Ikiwa Serikali ya China,ni Udikteta...Basi ni bora tuwe na Serikali mfano wao.CCM inanukuu kila kitu kutoka China ambako ni nchi ya chama kimoja cha kidikteta
CCM Hawawezi kuwa na mfano huo wa serekali, kamwe!. Wanaiga tembo kunya tu ila mziki wake wanaujua.Ikiwa Serikali ya China,ni Udikteta...Basi ni bora tuwe na Serikali mfano wao.
Asante, umejitahidi lakini katika tafsiri yako kuna makosa kidogo. Rais wa Ujerumani hawezi
* "Kumteua na kumtengua Chancellor pamoja na mawaziri" - si azimio lake; rais anampendekeza kiongozi bungeni akiona ana wabunge wa kutosha, baadaye bunga linachagua na rais anapaswa kumteua, pia kumtengua KAMA bunge limeamua dhidi yake.
*Kulivunja bunge ni haki kwa hali maalum pekee kama bunge limeshindwa kumchagua chansela
*kuitisha bunge hapa hana mamlaka
*Kuteua na kufukuza kazi majaji wa shirikisho, wafanyikazi wa serikali, na maafisa walioamriwa na wasioamriwa wa Jeshi Hawezi kufukuza watu. Anatia sahihi kwenye hati za kuteua na kutengua, lakini haamui. Maazimio ni ya watu wengine kufuatana na sheria mbalimbali na katiba.
Mamlaka kuu ya raisi wa Ujerumani ni wakati asilimia 51 za wabunge hazipatikani kumchagua chansela. Hapa ni azimio la rais kama anamkubali chansela mwenye kura nyingi (lakini chini ya nusu ya wabunge) au kama anaamuru uchaguzi mpya wa bunge. haikutokea bado tangu mwanzo wa Jamhuri mwaka 1949.