Tangaza shida yako na wewe uchangiwe.Mwenye shida ni huyo tu? Tuache usanii basi
Mwenye shida ni huyo tu? Tuache usanii basi
Chaga Gang wanapenda maigizo saana Hawa watu,harafu sijui Ni lini hii Gang itaruhusu viongozi toka Kanda/ dini zingine.
Hiki chama hakifai hata kidogo
Umeona donge tayari!Mwenye shida ni huyo tu? Tuache usanii basi
Ujinga wako ni wa kiwango cha juu sanaM/wakudumu
CCM wanajua tu kudhulumu wahanga, rejea walichofanyiwa wahanga wa tetemeko Kagera@bavicha_taifa wameongoza wananchi waliofika mahakamani kufuatilia kesi ya Mhe. Mbowe na wenzake kumchangia ada na vifaa vya shule mtoto Mariam Mohamed Ling'wenya, mtoto wa mshitakiwa Mohamed Ling'wenya. Aliyefika mahakamani kufuatilia kesi ya baba yake. Imechangwa sh. 545,000.
View attachment 2076069
View attachment 2076062
Wachangue hao kiazi wwMwenye shida ni huyo tu? Tuache usanii basi
SaccosUjinga wako ni wa kiwango cha juu sana
Sijui una elimu gani na ulikulia wapi.???Chaga Gang wanapenda maigizo saana Hawa watu,harafu sijui Ni lini hii Gang itaruhusu viongozi toka Kanda/ dini zingine.
Hiki chama hakifai hata kidogo