CHADEMA waonesha umoja, wamchangia mtoto wa Lingwenya ada na pesa ya vifaa vya shule

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
@bavicha_taifa wameongoza wananchi waliofika mahakamani kufuatilia kesi ya Mhe. Mbowe na wenzake kumchangia ada na vifaa vya shule mtoto Mariam Mohamed Ling'wenya, mtoto wa mshitakiwa Mohamed Ling'wenya. Aliyefika mahakamani kufuatilia kesi ya baba yake. Imechangwa sh. 545,000.

 
Chaga Gang wanapenda maigizo saana Hawa watu,harafu sijui Ni lini hii Gang itaruhusu viongozi toka Kanda/ dini zingine.

Hiki chama hakifai hata kidogo
 
CCM wanajua tu kudhulumu wahanga, rejea walichofanyiwa wahanga wa tetemeko Kagera
 
Wasanii katika ubora wao wanataka kuiamimisha jamii kuwa mtoto anashida sana kwakuwa baba yake Yuko ndani jiulize wangapi wako nje na wanashida kuliko hata za hiyo mtoto na babichabhawasaidii ? Nimaigizo ti ya kijinga ya bavicha
 
Huu ni moyo wa upendo sana, mbarikiwe CDM.
 
Chaga Gang wanapenda maigizo saana Hawa watu,harafu sijui Ni lini hii Gang itaruhusu viongozi toka Kanda/ dini zingine.

Hiki chama hakifai hata kidogo
Sijui una elimu gani na ulikulia wapi.???
Karne ya 21 unawaza ukabila/ udini?
Elimu, elimu, elimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…