CHADEMA wasitafute mchawi 2025 watakapopata kura moja

CHADEMA wasitafute mchawi 2025 watakapopata kura moja

love life live life

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2021
Posts
2,584
Reaction score
3,051
Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi na mtu aliyemchapa.

DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena stori za katiba mpya, anasubiri tena maridhiano 2028.
 
Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza
kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.
DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena
stori za katiba mpya.
Ni wazi umeumia kwa maamuzi ya rais wetu mpendwa, pole sana. Wewe ni sadist bila shaka.
 
Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza
kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.
DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena
stori za katiba mpy, anasubiri tena maridhiano 2028.
Naunga mkono hoja, pale haki inapogeuzwa hisani!. Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga. Kuzuiwa bila kifungu, kuruhusu bila Kifungu. Ni hisani ya Rais Samia. Haki kuhisaniwa hadi lini?
P
 
Hakuna kura zinaleta maendeleo kwenye tafia hili ila tunataka kiongozi ambae atakubali kufanya kazi kwa maridhiano na mawazo ya pande zote hapa ndo maendeleo yatakuja 2020 mbona tulipata kura na mkaziiba zote tena kibabe kikatili kwa rungu na mitutu mkipora wagombea fomu yani figisu nyuma mbele Bora mama ameamua kuweka mpira kati ndanda lipigwe kama zamani.
 
Hakuna kura zinaleta maendeleo kwenye tafia hili ila tunataka kiongozi ambae atakubali kufanya kazi kwa maridhiano na mawazo ya pande zote hapa ndo maendeleo yatakuja 2020 mbona tulipata kura na mkaziiba zote tena kibabe kikatili kwa rungu na mitutu mkipora wagombea fomu yani figisu nyuma mbele Bora mama ameamua kuweka mpira kati ndanda lipigwe kama zamani.
Hapo jamaaa keshakuwa compromised. Wala hana cha kudai kwa watawala
 
Hakuna kura zinaleta maendeleo kwenye tafia hili ila tunataka kiongozi ambae atakubali kufanya kazi kwa maridhiano na mawazo ya pande zote hapa ndo maendeleo yatakuja 2020 mbona tulipata kura na mkaziiba zote tena kibabe kikatili kwa rungu na mitutu mkipora wagombea fomu yani figisu nyuma mbele Bora mama ameamua kuweka mpira kati ndanda lipigwe kama zamani.
Kama mpira kati ndio huu basi mtasubiri sana 2028 subiri tena maridhiano
 
Sasa wewe Paschal ungependa iweje? Kwanini watu wasishukuru kwa kupatikana haki hiyo bada ya kipindi kirefu sana bila kujali imepatikanaje? Huoni kuwa ni mwanzo mzuri wa kurekebisha mengine? Sasa hayo mengine mnayoyawish yanafanyikaje bila kuwa na hali ya kuaminiana kupitia maridhiano? Tuache kukatisha tamaa watu wanaojaribu kurekebisha palipo haribika.
 
Ni mwisho mzuri kwa sa100 kwenda kuzoa kura 99.999% na DJ kulamba asali
ila kwa wengine maumivu yapo pale pale
Hiyo lugha ya "kulamba asali" ni ya maudhi sana. Ukiulizwa utueleze hiyo asali inalambwaje unaweza kueleza? Wewe mwenyewe uko nyuma ya keyboard huku ukitumia fake ID, halafu uko frontline kubeza watu wanaojitolea muda, rasilimali na uhai wao kurekebisha mambo. Afadhali wao wamefikia hapo, wewe mchango wako ni upi? Si ujitokeze unyooshe yaliyoshindikana ili tukuone kidume?
 
Leo naona wanashangilia kama mazuzu, hawana tofauti na mtoto aliyechapwa akaanza
kulia akapewa pipi akanyamaza akiulizwa nani amekuchapa anamnyooshea kidole mtu aliyekuwa anambembeleza kipindi analia kabla ya kupewa pipi.
DJ hana chakupoteza keshalamba asali toka siku ya kwanza anatoka Lupango hana tena
stori za katiba mpy, anasubiri tena maridhiano 2028.
Watu hawajifunzi kwa CUF/ACT kule Zanzibar. Sharif amekaa chini sana na CCM hadi akagaa dunia.
 
Back
Top Bottom